Rais Hussein Mwinyi amkaribisha Mamadou Sakho Ikulu. Ni nyota wa Crystal Palace na timu ya Taifa Ufaransa

Rais Hussein Mwinyi amkaribisha Mamadou Sakho Ikulu. Ni nyota wa Crystal Palace na timu ya Taifa Ufaransa

Ukiwa na hela bhana,!!! Unaoa mwanamke yeyote. Kweli mwanaume ni hela
 
Tatizo la waafrika wakifanikiwa wanakimbilia kuoa wazungu badala ya kuoa wanawake wa kiafrika ili nao wanufaike na mafanikio ya waafrika wenzao.

Hii ni mental slavery.
 
Back
Top Bottom