comte JF-Expert Member Joined Dec 11, 2011 Posts 9,019 Reaction score 6,825 May 31, 2021 #41 kedekede said: Huyo pembeni ni Demu wake?au Mke wa Rais?hahaha Click to expand... Mke wa SAKHO
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 May 31, 2021 #42 dos.2020 said: jamaa ametafuta dude la mji, Watu weusi kwa kweli hawakomi huko majuu, Hapa talaka haipo mbali na demu atavuta mpunga wa mana Click to expand... Hahaha bwana eh Ila naskia kitambo yuko naye Ova
dos.2020 said: jamaa ametafuta dude la mji, Watu weusi kwa kweli hawakomi huko majuu, Hapa talaka haipo mbali na demu atavuta mpunga wa mana Click to expand... Hahaha bwana eh Ila naskia kitambo yuko naye Ova
D dos.2020 JF-Expert Member Joined Feb 17, 2009 Posts 11,880 Reaction score 10,372 May 31, 2021 #43 mrangi said: Hahaha bwana eh Ila naskia kitambo yuko naye Ova Click to expand... Kawaida huwa hawafanyi haraka kuondoka, mpaka wakishaona kipato kinaanza kushuka ndipo wanapoanza vurugu zao. Rejea Kwa Henry, Ebue
mrangi said: Hahaha bwana eh Ila naskia kitambo yuko naye Ova Click to expand... Kawaida huwa hawafanyi haraka kuondoka, mpaka wakishaona kipato kinaanza kushuka ndipo wanapoanza vurugu zao. Rejea Kwa Henry, Ebue
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 May 31, 2021 #44 Inapendeza sana...
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 May 31, 2021 #45 dos.2020 said: Kawaida huwa hawafanyi haraka kuondoka, mpaka wakishaona kipato kinaanza kushuka ndipo wanapoanza vurugu zao. Rejea Kwa Henry, Ebue Click to expand... Wanawalia timing Ova
dos.2020 said: Kawaida huwa hawafanyi haraka kuondoka, mpaka wakishaona kipato kinaanza kushuka ndipo wanapoanza vurugu zao. Rejea Kwa Henry, Ebue Click to expand... Wanawalia timing Ova
M Muite JF-Expert Member Joined Sep 10, 2013 Posts 2,971 Reaction score 6,607 May 31, 2021 #46 Ukiwa na hela bhana,!!! Unaoa mwanamke yeyote. Kweli mwanaume ni hela
Stroke JF-Expert Member Joined Feb 17, 2012 Posts 37,630 Reaction score 47,434 May 31, 2021 #47 Tatizo la waafrika wakifanikiwa wanakimbilia kuoa wazungu badala ya kuoa wanawake wa kiafrika ili nao wanufaike na mafanikio ya waafrika wenzao. Hii ni mental slavery.
Tatizo la waafrika wakifanikiwa wanakimbilia kuoa wazungu badala ya kuoa wanawake wa kiafrika ili nao wanufaike na mafanikio ya waafrika wenzao. Hii ni mental slavery.
kurlzawa JF-Expert Member Joined Jan 23, 2018 Posts 16,695 Reaction score 20,633 May 31, 2021 #48 Mamadou sakho