Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Mnooo.....Hatari sana sheikh. Na mama anavyoupiga mwingi sasa hahaahahah
Mama ni nyota ya mchezo....
#KaziIendelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnooo.....Hatari sana sheikh. Na mama anavyoupiga mwingi sasa hahaahahah
Hakuna anayetetea wabakaji, wafungwe hata milele ila taratibu za kisheria zitumike, kama sheria ni dhaifu taratibu za kuzirekebisha zifuatwe ili ziwe bora.Natilia mkazo kweli wasipewe dhamana...hasa hao wabakaji...na nyie kueni mnaojidai rais kalewa madaraka hamjielewi. Kwan ikitokea habar mtu kabaka kitoto cha miaka 2 mnaanza toa povu hapa...hakuna kutetea ujinga waache wasipate dhamana..
subiri siku mama ako asingiziwe kubaka ndio utaelewa nini maan ya matamko ya hovyo. Uwepo wa mahakama ni kuthibitisha bila shaka na kuhukumuNatilia mkazo kweli wasipewe dhamana...hasa hao wabakaji...na nyie kueni mnaojidai rais kalewa madaraka hamjielewi. Kwan ikitokea habar mtu kabaka kitoto cha miaka 2 mnaanza toa povu hapa...hakuna kutetea ujinga waache wasipate dhamana..
Unaandika kama wewe hauishi kwenye hii dunia.angalia sio hadi yakukute ya walimwengu ndo ujue wenzako wanaposisitiza umuhimu wakuheshimu sheria za nchi na vyombo vyake ni muhimu.Aliye salama duniani ni marehemu peke yake.Natilia mkazo kweli wasipewe dhamana...hasa hao wabakaji...na nyie kueni mnaojidai rais kalewa madaraka hamjielewi. Kwan ikitokea habar mtu kabaka kitoto cha miaka 2 mnaanza toa povu hapa...hakuna kutetea ujinga waache wasipate dhamana..
Mie sikubaliani na hoja ya kuondoa dhamana, naamini kosa likiwa halina dhamana linatumika mara nyingi kinyume na malengo. Kama ulivyosema ulinzi uimarishwe na wote walio na hatia iachwe mahakama ifanye kazi yake.Udhalilishaji na Madawa ya kulevya ni tatizo kubwa katika nchi yetu, sote tunawajibu wa kuwafichua wadhalilishaji. Natoa maagizo kwa Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini yoyote atakae kamatwa kwa kosa la madawa ya kulevya au udhalilishaji nasisitiza asipewe dhamana.
Halafu wanawekewa dhamana wanarudi mitaani kurejea makosa yale yale. Na hasa wabakaji watoto wanafichwa na kutetewa na ndugu wa karibu.Natilia mkazo kweli wasipewe dhamana...hasa hao wabakaji...na nyie kueni mnaojidai rais kalewa madaraka hamjielewi. Kwan ikitokea habar mtu kabaka kitoto cha miaka 2 mnaanza toa povu hapa...hakuna kutetea ujinga waache wasipate dhamana..
Nadhani ame over-react kwasababu amewahurumia wanaoharibika kuwa mateja na wanaobakwa. Tuangalie nia yake zaidi.
NANI SASA, UNAWAJUA WATUHUMIWA?.. MAANA YA MTUHUMIWA UNAIJUA?Natilia mkazo kweli wasipewe dhamana...hasa hao wabakaji...na nyie kueni mnaojidai rais kalewa madaraka hamjielewi. Kwan ikitokea habar mtu kabaka kitoto cha miaka 2 mnaanza toa povu hapa...hakuna kutetea ujinga waache wasipate dhamana..
SHERIA INARUHUSU DHAMANA KWA MTU.... AU UNAONGELEA SHERIA IP?Rais Dk. Mwinyi yuko sahihi. Tusichezee na wauza dawa za kulevya. Hawa ni watu hatari. Wanaua nguvu kazi ya Taifa, wanazunguusha fedha haramu na mtandao wao ni hatari. Pili, udhalilishaji huacha makovu makubwa ya kisaikolojia kwa waliotendewa.
Adhabu hutolewa kutokana na aina, mazingira ya uhalifu na trend . Kama wanapewa dhamana halafu trend inaonyesha kuongezeka kwa kasi kwa matukio yeye akiwa Rais anayeongoza serikali, lazima akumbushe umuhimu wa kusimamia sheria.
Nchi ngumu hii mnalalamika asubuhi hadi jioni hata kwa jambo jema"Udhalilishaji na Madawa ya kulevya ni tatizo kubwa katika nchi yetu, sote tunawajibu wa kuwafichua wadhalilishaji. Natoa maagizo kwa Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini yoyote atakae kamatwa kwa kosa la madawa ya kulevya au udhalilishaji nasisitiza asipewe dhamana. " -Mh. Rais Dk Hussein Mwinyi ziarani Donge.
My Take:
Sishabikii unyanyasaji wa kingono Wala mawa ya kulevya. Lakini kupewa dhamana na kitopewa dhamana vipo kwenye kanuni zetu. Sasa wewe unasema kama nani? Hakimu au Jaji? Ndio maana tunahitaji Katiba itakayofuatwa na kuheshimiwa kudhibiti Mamlaka ya Rais.
Kigwangala amesema katiba inaweza kuwa na statement nzuri lakini utekelezwaji ukawa sifuri.
Dk Mwinyi atambue kuwa kauli ya Rais ni kama amri. Ukitamka hovyo ni hatari sana. Tutegemee haki za watuhumiwa kuminywa sasa!
Inshu sio nia ya dhati, haya madaraka ndio yametuumiza sana awamu ya tano, yaani rais akitamka tu tayari inakuwa ni sheria hata kama inakinzana na katiba!!!kama amechukizwa sana basi waifanye iwe sheria tu,Nadhani ame over-react kwasababu amewahurumia wanaoharibika kuwa mateja na wanaobakwa. Tuangalie nia yake zaidi.
Nakubaliana na wewe mkuuhivi unajua maumivu ya kutuhumiwa, ukakosa dhamana miaka 2 halafu ukashinda kesi au mashtaka wakajitoa kwenye kesi???
Wauza ngada bwana hawataki kusikia mtu anapiga vita madawa ya kulevyaUdhalilishaji na Madawa ya kulevya ni tatizo kubwa katika nchi yetu, sote tunawajibu wa kuwafichua wadhalilishaji. Natoa maagizo kwa Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini yoyote atakae kamatwa kwa kosa la madawa ya kulevya au udhalilishaji nasisitiza asipewe dhamana.
Ziara: Donge Chechewe
Huu ni ujumbe katika account ya twitter ya Mhe. Hussein Mwinyi, tumekatazwa kumkosoa Rais na baba yetu ila kwa hapa naomba nitimize wajibu wa Kikatiba.
1. Rais Hana mamlaka ya yakuingilia utendaji wa mahakama, dhamana ni haki ya kisheria si haki ya tamko la Rais
2. Zanzibar awazalishi dawa za kulevya, zinaingizwa na wakina nani? Je, wanaoingiza hawafahamiki?
3. Kwa kauli hii Tunaenda kujaza mateja magereza, je hii ndiyo suluhu ya dawa za kulevya? Kwanini asiongeze nguvu kwenye vyombo vya ulinzi wakabaini mtandao nakuufyeka?
Pls Mzee usiturejeshe kwa JPM, tumeona watu wasio na hatia walivyojazwa Magereza. Usiwajaze wasio na hatia Magereza kwa kisingizio cha madawa. JPM alianza kuwahita wahujumu uchumi akawatungia na sheria kumbe lengo nikuwazoba mdomo maasimiu na wabaya wake.
Don't do that pls, iache mahakama ipambane kivyake.
Inabidi sasa labda Mh. rais Mwinyi afanye utaratibu kama ule wa kipindi cha Nyerere, kwamba ilikuwa mtu akikamatwa amekula rushwa, tayari sheria ilikuwa inasema aina ya adhabu atakayopata na si hakimu aliyekuwa anaamua aina ya adhabu.Udhalilishaji na Madawa ya kulevya ni tatizo kubwa katika nchi yetu, sote tunawajibu wa kuwafichua wadhalilishaji. Natoa maagizo kwa Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini yoyote atakae kamatwa kwa kosa la madawa ya kulevya au udhalilishaji nasisitiza asipewe dhamana.
Ziara: Donge Chechewe
Huu ni ujumbe katika account ya twitter ya Mhe. Hussein Mwinyi, tumekatazwa kumkosoa Rais na baba yetu ila kwa hapa naomba nitimize wajibu wa Kikatiba.
1. Rais Hana mamlaka ya yakuingilia utendaji wa mahakama, dhamana ni haki ya kisheria si haki ya tamko la Rais
2. Zanzibar awazalishi dawa za kulevya, zinaingizwa na wakina nani? Je, wanaoingiza hawafahamiki?
3. Kwa kauli hii Tunaenda kujaza mateja magereza, je hii ndiyo suluhu ya dawa za kulevya? Kwanini asiongeze nguvu kwenye vyombo vya ulinzi wakabaini mtandao nakuufyeka?
Pls Mzee usiturejeshe kwa JPM, tumeona watu wasio na hatia walivyojazwa Magereza. Usiwajaze wasio na hatia Magereza kwa kisingizio cha madawa. JPM alianza kuwahita wahujumu uchumi akawatungia na sheria kumbe lengo nikuwazoba mdomo maasimiu na wabaya wake.
Don't do that pls, iache mahakama ipambane kivyake.
Rais Mwinyi , KWA kweli binafsi nimeshangaa kauli yake , wenda na majirani zake wanashangaa kauli yake,Udhalilishaji na Madawa ya kulevya ni tatizo kubwa katika nchi yetu, sote tunawajibu wa kuwafichua wadhalilishaji. Natoa maagizo kwa Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini yoyote atakae kamatwa kwa kosa la madawa ya kulevya au udhalilishaji nasisitiza asipewe dhamana.
Ziara: Donge Chechewe
Huu ni ujumbe katika account ya twitter ya Mhe. Hussein Mwinyi, tumekatazwa kumkosoa Rais na baba yetu ila kwa hapa naomba nitimize wajibu wa Kikatiba.
1. Rais Hana mamlaka ya yakuingilia utendaji wa mahakama, dhamana ni haki ya kisheria si haki ya tamko la Rais
2. Zanzibar awazalishi dawa za kulevya, zinaingizwa na wakina nani? Je, wanaoingiza hawafahamiki?
3. Kwa kauli hii Tunaenda kujaza mateja magereza, je hii ndiyo suluhu ya dawa za kulevya? Kwanini asiongeze nguvu kwenye vyombo vya ulinzi wakabaini mtandao nakuufyeka?
Pls Mzee usiturejeshe kwa JPM, tumeona watu wasio na hatia walivyojazwa Magereza. Usiwajaze wasio na hatia Magereza kwa kisingizio cha madawa. JPM alianza kuwahita wahujumu uchumi akawatungia na sheria kumbe lengo nikuwazoba mdomo maasimiu na wabaya wake.
Don't do that pls, iache mahakama ipambane kivyake.