Rais huwa hatangazi Utalii

Rais huwa hatangazi Utalii

Kagame hajawahi kuingia field na kuanza kutangaza utalii kwa mtindo huu.

Hakuna mtalii atakayekuja kutalii bila kumwona yule aliyetangaza kwa mantiki hiyo mheshimiwa rais yuko tayari kuacha majukumu yake awe anaambatana na watalii kuthibitisha kilichomo kwenye fkamu badala ya wasaidizi wake walioteuliwa na kulipwa kwa kazi hiyo?

*Msiwe mnapuuza maoni ya wananchi wanapowapa changamoto kutokana na uamuzi mnaofanya bila taathimini ya uhalisia kwa kupima matokeo CHANYA dhidi matokeo HASI.
Ulivyo kilaza unaongea kwa nguvu kabisa eti Kagame hajawai fanya! Alafu mbaya zaidi unajiita Intelligence Justice kumbe kilaza wa mwisho kabisaaa 😂😂😂

Huyu anayefanya Royal Tour hapa ni wewe??? Jinga kabisa

 
Kagame hajawahi kuingia field na kuanza kutangaza utalii kwa mtindo huu.

Hakuna mtalii atakayekuja kutalii bila kumwona yule aliyetangaza kwa mantiki hiyo mheshimiwa rais yuko tayari kuacha majukumu yake awe anaambatana na watalii kuthibitisha kilichomo kwenye fkamu badala ya wasaidizi wake walioteuliwa na kulipwa kwa kazi hiyo?

*Msiwe mnapuuza maoni ya wananchi wanapowapa changamoto kutokana na uamuzi mnaofanya bila taathimini ya uhalisia kwa kupima matokeo CHANYA dhidi matokeo HASI.
We kilaza Huyu ni wewe?
 
Labda Afghani refugees masquerading as Pakistanis wataikitikia mwito wa granny aka babushka.
 
Ulivyo kilaza unaongea kwa nguvu kabisa eti Kagame hajawai fanya! Alafu mbaya zaidi unajiita Intelligence Justice kumbe kilaza wa mwisho kabisaaa 😂😂😂

Huyu anayefanya Royal Tour hapa ni wewe??? Jinga kabisa

Wewe ndio kilaza wahedi, hapo unaona nachukua filamu ya utalii wa kitu gani ? Mafuvu ya mauaji ya kimbari sio? Yaani mnaua watu wenu ili mje mfanye kivutio cha utalii ndio unaiga?

Angetumia jina la kitanzania kufanya kampeni hiyo kila mmoja angemwelewa mbona Nyerere alitumia mwandishi bianfsi wa kizungu na mpiga picha wa kihindi na walizingatia maudhui ya lugha ya kitanzania na tamaduni zake. Hii iliyoigwa inaitwa 'The Rwanda Royal Tour' je Tanzania tumefikia hatua ya kibaguzi kuanza kutangaza utalii kwa kutumia hadhi ya kifame au kimalkia ndio wageni wakizungu wathamini na kuamini tutangazacho kinatoka kwetu?

Tanzania should have explored a different UNIQUE approach to promote tourism without directly involving the head of state in the field touring the natural resources and heritage sites being accompanied by foreigners whilst the normal citizens are denied access to taking adventures at their leisure time.
 
Kwa mara ya kwanza Dunia inaenda kushuhudia mkuu wa nchi, Rais akitangaza utalii. Rais anapoamua kutangaza utalii maana yake ni kwamba hilo Taifa analoongoza ni Taifa mfu, ni Taifa lililokufa, ni taifa jipya kabisa chini ya jua na halina raslimali zozote na wala kitu chochote, sasa inabidi atoke mkuu wa nchi aifahamishe Dunia kuwa taifa analoongoza lina sehemu za utalii.

Na Kwanza hata kama taifa halina chochote, siyo kazi ya Rais kutangaza utalii. Zipo strategies za kutangaza utalii, Samatta ni maarufu Duniani kuliko Rais Samia.

Rais anapoenda Location kama msanii wa Bongo movie kutangaza utalii,huo mkosi mzito mno kwa taifa, watalii hawaji Tanzania eti kwa sababu Rais aliwatangazia.

Wanakuja kwa sababu usalama wao utakuwa mkubwa zaidi, huwezi kwenda kutalii kwenye Taifa ambalo kiongozi mkuu wa Chama kikubwa Cha Upinzani ni Gaidi, maana yake ni kwamba hata mawaziri nao ni magaidi.

Kenya inapokea maelfu ya watalii kwa mwaka kuliko Tanzania nani alimwona Rais wa Kenya akienda location kutangaza utalii?
Yaani Serikali nzima yenye wasomi wa kada zote haina strategies za kutangaza utalii hadi Rais aende location?

Mbona ni rahisi mno kutangaza utalii kuliko ilivyo rahisi kunywa maji? Tanzania hii yenye vivutio vyote leo hata Rwanda wameanza kuwazidi kupokea watalii wengi kwa sababu ya strategies.

Rais ataenda Location zote na mtatengeneza filamu zote na watalii hamtawaona kwa sababu hamna strategies.

Nyie strategies zenu ni kuua Upinzani tu haya mengine zero kabisa.
Sasa kama hana kazi afanye nini sasa? Mwacheni azurure tu!
 
Rais ana deal na policies na kuandaa mazingira mazuri ya implementation ya hizo. Wapo wengi tu wanaweza kufanya kazi hii tena kwa uzuri zaidi kuliko yeye - kina Nandi, Jokate ndiyo warembo hao hata mtalii akiwaona anavutika kuja TZ.

Sasa ukiona Rais anakuwa mtangazaji wa utalii basi kuna tatizo pahala.
 
Tatizo ni ushamba wako! Kwa iyo Rais Kagame alivyofanya Royal Tour alifanya kama Diwani?

Kilaza wewe
Kuifananisha Tanzania yenye vivutio chungu nzima kila kona ya nchi na Rwanda nikuikosea Tanzania heshima.Ni aibu Hii nchi kukwama kiasi hichi kwenye sekta muhimu ya utalii wakati kila kitu tunacho.
 
Sasa kama hana kazi afanye nini sasa? Mwacheni azurure tu!
Mkuu

Wananchi wana kero za kufa mtu kwa sasa, wanadhulumiwa na hawana uwezo wowote wa kudai haki kwenye vyombo vya sheria, maisha ni magumu, dhuluma dhidi yao imeongezeka sana ikiambatana na visasi kwanini kipindi fulani walikuwa wanatetewa-maajabu-iwanasiasa hawasaidii chochote zaidi ya ulaghai tupu
 
Kuifananisha Tanzania yenye vivutio chungu nzima kila kona ya nchi na Rwanda nikuikosea Tanzania heshima.Ni aibu Hii nchi kukwama kiasi hichi kwenye sekta muhimu ya utalii wakati kila kitu tunacho.
Ni fedheha sana Tanzania kupimwa na Rwanda kila mara.
 
Wewe ndio kilaza wahedi, hapo unaona nachukua filamu ya utalii wa kitu gani ? Mafuvu ya mauaji ya kimbari sio? Yaani mnaua watu wenu ili mje mfanye kivutio cha utalii ndio unaiga?

Angetumia jina la kitanzania kufanya kampeni hiyo kila mmoja angemwelewa mbona Nyerere alitumia mwandishi bianfsi wa kizungu na mpiga picha wa kihindi na walizingatia maudhui ya lugha ya kitanzania na tamaduni zake. Hii iliyoigwa inaitwa 'The Rwanda Royal Tour' je Tanzania tumefikia hatua ya kibaguzi kuanza kutangaza utalii kwa kutumia hadhi ya kifame au kimalkia ndio wageni wakizungu wathamini na kuamini tutangazacho kinatoka kwetu?

Tanzania should have explored a different UNIQUE approach to promote tourism without directly involving the head of state in the field touring the natural resources and heritage sites being accompanied by foreigners whilst the normal citizens are denied access to taking adventures at their leisure time.
Huna lolote ujualo! Umetoa boko alafu unajifanya mjuaji!!

We si umesema Kagame hajawai kufanya kipindi cha Royal Tour umewekewa ushahidi unahamisha magoli.

Kilaza wewe!
 
Mkuu

Wananchi wana kero za kufa mtu kwa sasa, wanadhulumiwa na hawana uwezo wowote wa kudai haki kwenye vyombo vya sheria, maisha ni magumu, dhuluma dhidi yao imeongezeka sana ikiambatana na visasi kwanini kipindi fulani walikuwa wanatetewa-maajabu-iwanasiasa hawasaidii chochote zaidi ya ulaghai tupu
Endelea kuhamisha magoli kilaza unayejiita intelligence
 
Kuifananisha Tanzania yenye vivutio chungu nzima kila kona ya nchi na Rwanda nikuikosea Tanzania heshima.Ni aibu Hii nchi kukwama kiasi hichi kwenye sekta muhimu ya utalii wakati kila kitu tunacho.
Kuwa na kitu ni jambo moja, kukitumia icho kitu kwa akili ni jambo lingine !

Israel walifanya program hii mwaka 2014 na ika pay big chini ya Netanyahu akiwa Waziri Mkuu, Rwanda wamefanya 2018 akiongoza Kagame mwenyewe na sasa unaona matunda ya aje wwnavyoteka soko la uwekezaji na utalii.

Kazi yenu ni kulalamika na kusifia wengine tu! Mnajulikana.
 
Endelea kuhamisha magoli kilaza unayejiita intelligence
Achana na mimi wewe msukule wa TAL ulipiga kelele wee wakati wa uchaguzi mkuu huku ukijitoa ufahamu kwa mambo ya kufikirika, mwenzako kapiga chenga kakwea pipa umeachwa bila 'future' sasa unajipendekeza kwenye shimo lenye giza
 
Achana na mimi wewe msukule wa TAL ulipiga kelele wee wakati wa uchaguzi mkuu huku ukijitoa ufahamu kwa mambo ya kufikirika, mwenzako kapiga chenga kakwea pipa umeachwa bila 'future' sasa unajipendekeza kwenye shimo lenye giza
Bado msimamo wako ni kuwa Kagame hajawai kufanya Royal Tour?😂
 
Kuwa na kitu ni jambo moja, kukitumia icho kitu kwa akili ni jambo lingine !

Israel walifanya program hii mwaka 2014 na ika pay big chini ya Netanyahu akiwa Waziri Mkuu, Rwanda wamefanya 2018 akiongoza Kagame mwenyewe na sasa unaona matunda ya aje wwnavyoteka soko la uwekezaji na utalii.

Kazi yenu ni kulalamika na kusifia wengine tu! Mnajulikana.
Hakuna mwekezaji anayekuja kunufaisha nchi au kugawana mapato nusu kwa nusu lakini kwa aina ya siasa za Tanzania hakuna atakayethubutu kwa sababu kiongozi yeyote anayechukua dola hujaribu kutengeneza urithi wake wa kipekee unaogusa hisia ama za wananchi wa kawaida au wenye nacho Mazingira ya Tanzania sio ya Rwanda wala Israel. Unetolea mfano wa Benjamin Netanyahu lakini hujasema enzi zake ndio rushwa nchini humo ilitamalaki hadi katuhumiwa kupewa rushwa na kukabili mashitaka hadi sasa
 
Hakuna mwekezaji anayekuja kunufaisha nchi au kugawana mapato nusu kwa nusu lakini kwa aina ya siasa za Tanzania hakuna atakayethubutu kwa sababu kiongozi yeyote anayechukua dola hujaribu kutengeneza urithi wake wa kipekee unaogusa hisia ama za wananchi wa kawaida au wenye nacho Mazingira ya Tanzania sio ya Rwanda wala Israel. Unetolea mfano wa Benjamin Netanyahu lakini hujasema enzi zake ndio rushwa nchini humo ilitamalaki hadi katuhumiwa kupewa rushwa na kukabili mashitaka hadi sasa
Kumbe tatizo lako umekariri na umeshajiaminisha mambo! Usivyo na akili we unawaza wizi tu! Kwa iyo hakuna lolote jema unaweza ona kutoka Kwa serikali!

Ndo mana unakuja na uongo tu humu kudai eti Kagame hajawai fanya Royal Tour! Kakojoe ukalale
 
Kwa mara ya kwanza Dunia inaenda kushuhudia mkuu wa nchi, Rais akitangaza utalii. Rais anapoamua kutangaza utalii maana yake ni kwamba hilo Taifa analoongoza ni Taifa mfu, ni Taifa lililokufa, ni taifa jipya kabisa chini ya jua na halina raslimali zozote na wala kitu chochote, sasa inabidi atoke mkuu wa nchi aifahamishe Dunia kuwa taifa analoongoza lina sehemu za utalii.

Na Kwanza hata kama taifa halina chochote, siyo kazi ya Rais kutangaza utalii. Zipo strategies za kutangaza utalii, Samatta ni maarufu Duniani kuliko Rais Samia.

Rais anapoenda Location kama msanii wa Bongo movie kutangaza utalii,huo mkosi mzito mno kwa taifa, watalii hawaji Tanzania eti kwa sababu Rais aliwatangazia.

Wanakuja kwa sababu usalama wao utakuwa mkubwa zaidi, huwezi kwenda kutalii kwenye Taifa ambalo kiongozi mkuu wa Chama kikubwa Cha Upinzani ni Gaidi, maana yake ni kwamba hata mawaziri nao ni magaidi.

Kenya inapokea maelfu ya watalii kwa mwaka kuliko Tanzania nani alimwona Rais wa Kenya akienda location kutangaza utalii?
Yaani Serikali nzima yenye wasomi wa kada zote haina strategies za kutangaza utalii hadi Rais aende location?

Mbona ni rahisi mno kutangaza utalii kuliko ilivyo rahisi kunywa maji? Tanzania hii yenye vivutio vyote leo hata Rwanda wameanza kuwazidi kupokea watalii wengi kwa sababu ya strategies.

Rais ataenda Location zote na mtatengeneza filamu zote na watalii hamtawaona kwa sababu hamna strategies.

Nyie strategies zenu ni kuua Upinzani tu haya mengine zero kabisa.
Umekariri wapi?!

Kuhusu kupigwa Raisi! Mimi sina hoja hapo!. Ila kua na Raisi inovative kuutangaza utalii!!.
Nchi iliotajiri wa vivutio!! Tanzania.!!

Labda unieleze ulitaka Raisi gani angetangaza utalii Ili wetu awe na uhalali wa kuutangaza utalii.

Utumwaa!!! Wa ki fikraa!!.

Simpendi mama, na mpenda baba, Ila kwa hili naomba niendelee kunyonya ziwa la mama.

Lete faru john hapa!!
 
Kwa mara ya kwanza Dunia inaenda kushuhudia mkuu wa nchi, Rais akitangaza utalii. Rais anapoamua kutangaza utalii maana yake ni kwamba hilo Taifa analoongoza ni Taifa mfu, ni Taifa lililokufa, ni taifa jipya kabisa chini ya jua na halina raslimali zozote na wala kitu chochote, sasa inabidi atoke mkuu wa nchi aifahamishe Dunia kuwa taifa analoongoza lina sehemu za utalii.

Na Kwanza hata kama taifa halina chochote, siyo kazi ya Rais kutangaza utalii. Zipo strategies za kutangaza utalii, Samatta ni maarufu Duniani kuliko Rais Samia.

Rais anapoenda Location kama msanii wa Bongo movie kutangaza utalii,huo mkosi mzito mno kwa taifa, watalii hawaji Tanzania eti kwa sababu Rais aliwatangazia.

Wanakuja kwa sababu usalama wao utakuwa mkubwa zaidi, huwezi kwenda kutalii kwenye Taifa ambalo kiongozi mkuu wa Chama kikubwa Cha Upinzani ni Gaidi, maana yake ni kwamba hata mawaziri nao ni magaidi.

Kenya inapokea maelfu ya watalii kwa mwaka kuliko Tanzania nani alimwona Rais wa Kenya akienda location kutangaza utalii?
Yaani Serikali nzima yenye wasomi wa kada zote haina strategies za kutangaza utalii hadi Rais aende location?

Mbona ni rahisi mno kutangaza utalii kuliko ilivyo rahisi kunywa maji? Tanzania hii yenye vivutio vyote leo hata Rwanda wameanza kuwazidi kupokea watalii wengi kwa sababu ya strategies.

Rais ataenda Location zote na mtatengeneza filamu zote na watalii hamtawaona kwa sababu hamna strategies.

Nyie strategies zenu ni kuua Upinzani tu haya mengine zero kabisa.
Aisee
 
Kwa mara ya kwanza Dunia inaenda kushuhudia mkuu wa nchi, Rais akitangaza utalii. Rais anapoamua kutangaza utalii maana yake ni kwamba hilo Taifa analoongoza ni Taifa mfu, ni Taifa lililokufa, ni taifa jipya kabisa chini ya jua na halina raslimali zozote na wala kitu chochote, sasa inabidi atoke mkuu wa nchi aifahamishe Dunia kuwa taifa analoongoza lina sehemu za utalii.

Na Kwanza hata kama taifa halina chochote, siyo kazi ya Rais kutangaza utalii. Zipo strategies za kutangaza utalii, Samatta ni maarufu Duniani kuliko Rais Samia.

Rais anapoenda Location kama msanii wa Bongo movie kutangaza utalii,huo mkosi mzito mno kwa taifa, watalii hawaji Tanzania eti kwa sababu Rais aliwatangazia.

Wanakuja kwa sababu usalama wao utakuwa mkubwa zaidi, huwezi kwenda kutalii kwenye Taifa ambalo kiongozi mkuu wa Chama kikubwa Cha Upinzani ni Gaidi, maana yake ni kwamba hata mawaziri nao ni magaidi.

Kenya inapokea maelfu ya watalii kwa mwaka kuliko Tanzania nani alimwona Rais wa Kenya akienda location kutangaza utalii?
Yaani Serikali nzima yenye wasomi wa kada zote haina strategies za kutangaza utalii hadi Rais aende location?

Mbona ni rahisi mno kutangaza utalii kuliko ilivyo rahisi kunywa maji? Tanzania hii yenye vivutio vyote leo hata Rwanda wameanza kuwazidi kupokea watalii wengi kwa sababu ya strategies.

Rais ataenda Location zote na mtatengeneza filamu zote na watalii hamtawaona kwa sababu hamna strategies.

Nyie strategies zenu ni kuua Upinzani tu haya mengine zero kabisa.
Sioni ubaya wowote rais kutangaza utalii. Strategy ni baada ya kuchukua hizo clips.
Je watazionyesha wapi? Maana si ajabu zikatamba zaidi kwenye local media zikiongozwa na TBC.
 
Back
Top Bottom