Rais huwa hatangazi Utalii

Rais huwa hatangazi Utalii

Kwa mara ya kwanza Dunia inaenda kushuhudia mkuu wa nchi, Rais akitangaza utalii. Rais anapoamua kutangaza utalii maana yake ni kwamba hilo Taifa analoongoza ni Taifa mfu, ni Taifa lililokufa, ni taifa jipya kabisa chini ya jua na halina raslimali zozote na wala kitu chochote, sasa inabidi atoke mkuu wa nchi aifahamishe Dunia kuwa taifa analoongoza lina sehemu za utalii...
Kulingana na uzi wako nime conclude yafuatayo

1. Hujui utalii
2. Ni Chadema
3. Huna facts
 
Kwa nini kwenye jinsia hakuzingatia hivyo ateue wanawake wengi kuliko wanaume?
Kila kabila lina strengts zake na weakness zake, nakiri Wasukuma tuna tatizo kwenye gender balance. Hii ni kutokana na Wasukuma asili yao ni polygamous in nature, hivyo kwetu mwanamke ni mtu wa kununua tuu kwa ng'ombe ukiwa nazo za kutosha unaweza kuwaoa hata wanawake 20. Hivyo Wasukuma na kanda yote ya Ziwa ukiondoa Wazanaki na Wajita, wengine wote ni wako kama wanadharau fulani kwa wanawake. Hata Gwajiboy anapandisha sauti sasa kwa vile aliyepo ni mwanamke kwa hoja "Mwanamke anaweza kunifanya nini" hivyo anamdharau. Angekuwepo JPM, asingethubutu.
P
 
Kama kwenye kanda alizingatia hivyo kwa nini kwenye dini hakuzingatia hivyo?
Wasukuma ni religious blind, wengi wameupokea Ukiristu lakini wanaendelea kuishi maisha yao ya asili, hivyo ni kweli uwiano wa udini haukuzingatiwa na huu pia nakiri ni udhaifu.
P
 
Rais amejifunika mwili wote alafu anatangaza utalii..
 
Watanzania hamna jema. Mlete Mama yako atangaze basi
Nyie hamtaki kutangaza, Rais akitangaza mnalalamika
Ujinga mwingi
 
Kwa mara ya kwanza Dunia inaenda kushuhudia mkuu wa nchi, Rais akitangaza utalii. Rais anapoamua kutangaza utalii maana yake ni kwamba hilo Taifa analoongoza ni Taifa mfu, ni Taifa lililokufa, ni taifa jipya kabisa chini ya jua na halina raslimali zozote na wala kitu chochote, sasa inabidi atoke mkuu wa nchi aifahamishe Dunia kuwa taifa analoongoza lina sehemu za utalii.

Na Kwanza hata kama taifa halina chochote, siyo kazi ya Rais kutangaza utalii. Zipo strategies za kutangaza utalii, Samatta ni maarufu Duniani kuliko Rais Samia.

Rais anapoenda Location kama msanii wa Bongo movie kutangaza utalii,huo mkosi mzito mno kwa taifa, watalii hawaji Tanzania eti kwa sababu Rais aliwatangazia.

Wanakuja kwa sababu usalama wao utakuwa mkubwa zaidi, huwezi kwenda kutalii kwenye Taifa ambalo kiongozi mkuu wa Chama kikubwa Cha Upinzani ni Gaidi, maana yake ni kwamba hata mawaziri nao ni magaidi.

Kenya inapokea maelfu ya watalii kwa mwaka kuliko Tanzania nani alimwona Rais wa Kenya akienda location kutangaza utalii?
Yaani Serikali nzima yenye wasomi wa kada zote haina strategies za kutangaza utalii hadi Rais aende location?

Mbona ni rahisi mno kutangaza utalii kuliko ilivyo rahisi kunywa maji? Tanzania hii yenye vivutio vyote leo hata Rwanda wameanza kuwazidi kupokea watalii wengi kwa sababu ya strategies.

Rais ataenda Location zote na mtatengeneza filamu zote na watalii hamtawaona kwa sababu hamna strategies.

Nyie strategies zenu ni kuua Upinzani tu haya mengine zero kabisa.

Siyo kweli.

 
Wasukuma ni religious blind, wengi wameupokea Ukiristu lakini wanaendelea kuishi maisha yao ya asili, hivyo ni kweli uwiano wa udini haukuzingatiwa na huu pia nakiri ni udhaifu.
P
P,
I beg to differ with you.
Wasukuma ndio kabila linalozingatia religious issues kwa uhalisia kulingana na Biblia Takatifu. What Sukuma people practices on women issues is Biblical!
Turejeevkwene Bustani ya Edeni baada ya Mama yetu Hawa/ EVA kudanganywa na Nyoka/Shetani na kula Tunda walilokatazwa.
Mungu alisema kwamba MWANAMKE ATATAWALIWA NA MWANAMME NA ATAZAA KWA UCHUNGU. Mwanamke lazima awe chini ya Mwanamme irrespective of her status!!!!
Ndiyo maana WALE MAKUHANI AGANO LA KALE THEY'RE ALL MEN!
Yesu alipokuja AKACHAGUA MITUME 12 ALL WERE MEN!
Tatizo la Wanadamu leo wameingiza Beijing hata kwene sensitive issues kama Wanawake kuwatawala wanaume au kuwafanya Wanawake kuwa Wachungaji au Maaskofu which is against the Bible. Someni Biblia mjue Mungu anachosema kuhusu Mwanamke! God never changes, He's always the same!!!The same Today, Yesterday n' Forever ever.
 
Huu ni ushauri alioupata kwa Kagame, ziara zake zimeanza kutick…. tuongeze [emoji897]tu.
 
So for the past 60 years dunia bado haijui vivutio vyetu siyo?? Kama till now hawajui tuna vivutio vya utalii watakuwa wanajua tuna nini hasa? Mbona mna hoja nyepesi sana aisee??
Maendeleo ni endless process. Soda Cocacola ina miaka mingapi? Mbona bado wanai promote? Hivi kabisa unaamini kazi ya kutangaza vivutio vyetu imeisha sasa tulale tusubiri season ya utalii kila mwaka?

Halafu Rais ktk hii Royal Tour anakwenda mbali zaidi ya yale tuliyozoea. Serengeti, Ngorongoro nk. Anaibua hadi fursa za Uwekezaji. Tumuache Rais afanye kazi.
 
Hizi ndio huwa zinaitwa hoja chakavu…..Inaonesha watu jinsi walivyo mbumbumbu na uelewa mdogo sana….kukariri kubaya sana….Mama sio wa kwanza kufanya anachokifanya na kitaleta tija
 
Back
Top Bottom