Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo soon tutegemee serikali yetu kuifadhili timu ya mpira uingereza?Tatizo ni ushamba wako! Kwa iyo Rais Kagame alivyofanya Royal Tour alifanya kama Diwani??
Kilaza wewe
Sasa unafananisha idadi ya vivutio vya utalii kwa Rwanda na Tanzania?? Una akili kweli wewe??Royal tour ya Kagame ilikuwa imejaa Location kibao na filming kama ya Samia?
Hujui hata maana ya Royal tour, toto haramu wewe.
Wewe unayejua maana ya Royal Kwa nini umeshindwa kujua kuwa Rais Samia sio Rais wa kwanza kufanya hii programu??Wewe mpumbavu,hebu tutolee hapa kichaa chako, unajua Kwanza maana ya Royal fala wewe?
Punguzeni ushamba wana chato! Kwa iyo Kagame alivyofanya hii program mwaka 2018 alifanya akiwa Diwani huko Rwanda?Kwani wale mabalozi walioteuliwa na Mwigulu kutangaza utalii wameshindwa?
Siyo heshima kwa mkuu wa nchi kujihusisha na vijambo vidogovidogo namna hii.
Nawalaumu sana wasaidizi wa mheshimiwa rais.
The President should be the last option!!!!.
Tumechelewa sana kujitangaza kwa Dunia na kutumia fursa ya utalii Kwa kuingiza mapato makubwa.kwa hiyo soon tutegemee serikali yetu kuifadhili timu ya mpira uingereza?
Mchana kweupeee[emoji23]kuhusu rais tumepigwa