Makwizi Band
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 1,535
- 2,565
Nadhani hujafatilia why anapendwa; ukijua kinacho sababishwa kupendwa kwake hakika wewe ndio utajiona MJINGA kaka. Just fatilia tu historia za nchi zinazo ongea Kifaransa hapa Africa, fatilia nchi zilizokua colonized with France, bro utafuta hi comment yako hapa
Watu kama Hawa wanapendwaga sana na wajinga.
Kwa wajinga jambo muhimu kwao ni kujitutumua na kukoroma hapo watakupa salute zote bila kujalisha matokeo hasi kwenye maisha Yao 😂😂