Rais Ibrahim Traore wa Burkina Faso alikaa Jukwaa kuu na bunduki yake wakati wa uapisho wa Rais mpya wa Ghana

Rais Ibrahim Traore wa Burkina Faso alikaa Jukwaa kuu na bunduki yake wakati wa uapisho wa Rais mpya wa Ghana

Wizi wa kukwepa kodi wengi tunadhani ni ujanja. Na wengi wetu ni wala rushwa tu wee ukitaka kujua angalia vyana vya siasa. Uchawa kila kukicha yaani hadi kodi zetu zinageuzwa kuwani msaada kwetu.
Demokrasia ni ujinga kwa Afrika. Kuna wstu hawana impact yoyote
Hebu fikiria unauzia gesi muwekezaji , ukishamaliza unainunua hiyo gesi na kuanza kutugawia tena, huku ukitangaza kulinda Mazingira. Yaani Biashara ndani ya biashara
NI mfano unamuuza tembo kwa mnunuzi yeye atoe meno halafu akishatoa unakuwa pembeni kutuambia tuchukue nyama ,kwanini usingeuza meno wewe halafu ukatuambia tuchukue nyama? Utasema sitaki usumbufu. Kumbe maana hasa una wezi umewaajiri ambao wangefanya del kwenye uuzaji . Rushwa tupu. Sasa kwenye kuuza huyo tembo una hakika hawakufanya deal?
 
Hata yule wa syria si Rais, yule inatosha tu kuitwa kiongozi wa mapindizi ya syria, syrian coup leader. Huyu wa Burkina Faso anaingia na bastola hapo hajiamini, ana wasiwasi kupinduliwa na majeshi ya ECOWAS
Ukishakuwa kiongozi mkuu wa nchi,ktk nchi inayotambua kiongozi wa nchi ni rais basi haijalishi kiongozi huyo ameyapataje hayo madaraka ila atakuwa rais hivyohivyo.
 
Ukishakuwa kiongozi mkuu wa nchi,ktk nchi inayotambua kiongozi wa nchi ni rais basi haijalishi kiongozi huyo ameyapataje hayo madaraka ila atakuwa rais hivyohivyo.
haipendezi na haileti maana nzuri, aitwe tu kiongozi (wa kijeshi) wa Burkina Faso
 
Ushamba tu kutwa kucha na hayo mavazi,kama yupo vitani?

Sasa mema ya nchi atakula saa ngapi.

Kila mara nawaambiaga watu hizi nchi za West Africa zina ushamba mwingi sana
Tafuta clips zake,msikilize ndio utajua hujui..
Tungepata viongozi kumi tu wa aina na mentality yake...Africa ingeheshimika..huyo ni meshing ulitaka ashinde kutwa na kikoy?
 
Huenda wana usalama wà Ghana wamekitoa risasi kabla hajafika nacho eneo hilo.
Vyombo vya usalama haviwezi kuruhusu katikati ya kundi la viongozi wa nchi mtu mmoja aingie na kitu kama hicho tena kipo wazi wazi namna hiyo.
WELL SAID.
 
Kwahiyo hicho kibastola ndiyo kinamlinda?
Acha maskhara kijana.
Waziri mkuu wa Isreil Yizhak Rabin aligongwa shaba katikati ya kundi la walinzi wake wanaoo ogopwa duniani kote.
Waziri Mkuu wa India, Mama Indira Gandhi alichalazwa risasi akiwa katikati ya kundi la maaskari wake wenye AK47 za kutosha.
Sasa huyo hapo kibastola chake ndo kimpe ulinzi?😳

Hivi uliona namna Trump alivyokoswa koswa, angekuwa na bastola kwenye mazingira yale ingemsaidiaje?
mkubwa sorry, hapa kitu unataka kumaanisha na kutwambia ni kama tuache kupambana na maisha sababu Kuna kifo?

adui huwezi jua anatokea wapi na saa ngapi, inabidi tu kujiwekelea fit kila pahali na kila saa juu hata iyo noma ikifika ikupate wewe ulifanya Kila kitu kujilinda.

same kwa maisha ya kila siku fanya ile kitu wewe unaeza ifanya bila excuses za mbona flani alipambana na hakufanikiwa au mbona flani na kupambana kote na bado amekufa.
 
Rais wa Burkina Faso, Ibrahim Traore ndiye kiongozi pekee wa aliyekuwa jukwaa la VIP huku akiwa na pisto yake kiunoni.

Pia ndiye kiongozi pekee aliyeruhusiwa kuingia na walinzi wake jukwaa kuu.

Awali ilionekana asingehudhuria sherehe hiyo, ila akatokea dakika za lala salama.

Katika sherehe hizo, Tanzania tuliwakilishwa na Makamu wa Rais, Philip Mpango.
==================================================

Burkina Faso's President Ibrahim Traore attended the inauguration of Ghana's President John Mahama.

In one of his rare foreign trips, President Traore enjoyed the privileges of being allowed to wear his military uniform, carry a pistol and have his own armed personal security.View attachment 3196677View attachment 3196678

He received loud cheers from the crowd.
Gathering of African brutal dictators
 
Back
Top Bottom