Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Una hoja ya msingi sn, hata elimu ipelekwe Wizara mamaWatabaki kuwasimamia Wakurugenzi wa Halmashauri, Makatibu Tawala Mikoa, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya n.k nk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una hoja ya msingi sn, hata elimu ipelekwe Wizara mamaWatabaki kuwasimamia Wakurugenzi wa Halmashauri, Makatibu Tawala Mikoa, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya n.k nk
Kujenga shule, hospitali, kutambua mahitaji ya wananchi katika maeneo yao, kutoa hamasa nk. Utaalamu ubaki wizara mama.Kwahiyo kazi ya TAMISEMI itakuwa Nini?
Tarafa iko chini ya serikali kuu. Ni nafasi chini ya DCMuundo waTamisemi ,upitiwe upya na kufanyiwa maboresho.Kwa kuwa Tamisemi ipo ofisi ya Rais, majukumu yake yawe ya uratibu wa shughuli mbalimbali zinazofanywa na wizara za Serikali mikoani na kuacha wataalaam wawe wanaripoti kwenye wizara mama kitaaluma.
-Siyo watumishi wa wizara ya Afya ndiyo wanaripoti kwa DED , watumishi wa Elimu,Ardhi, Biashara,Kilimo nk wanaripoti kwa DED.
-Kuna sintofahamu, kwa viongozi wa kisiasa kuwasimamia wataalaam wa fani, matokeo yake Ni kukomoana,hasa kama unasimamia maadali ya taaluma yako, hususani yanapokwenda na utashi wa wajumbe au kama wanasiasa wana upeo mdogo wa fani husika.
Ushauri
-Tamisemi iwe inaratibu shughuli za wizara mbalimbali mikoani na wilaya.
-Tamisemi ibakiwe na watendaji wa vijiji/serikali,kata na taarafa na wafanyakazi wa halmashuri za miji, Manispaa na majiji.
Watasimamia out put ya vitu kama shule ngapi wamejenga au kuongeza, hospital ngapi wameongeza kwenye sehemu husika ila wataalamu au wanaoajiliwa kwenye sekta ya afya na elimu wasimamiwe na wizara husika.Halafu hao Wakurugenzi watasimamia kina Nani?
Haswaaa!!! Maana hata masoko na stendi wanajenga lakini hawaleti madreva Wala kukusanya Kodi za wafanyabiashara.Kujenga shule, hospitali, kutambua mahitaji ya wananchi katika maeneo yao, kutoa hamasa nk. Utaalamu ubaki wizara mama.
Ujenzi wa miundombinu ya maji na barabara ubaki wizara mama za maji na ujenzi mtawalia!
Kumbe watu wengi wanaona mvurugo huu wa TAMISEMIMuundo waTamisemi ,upitiwe upya na kufanyiwa maboresho.Kwa kuwa Tamisemi ipo ofisi ya Rais, majukumu yake yawe ya uratibu wa shughuli mbalimbali zinazofanywa na wizara za Serikali mikoani na kuacha wataalaam wawe wanaripoti kwenye wizara mama kitaaluma.
-Siyo watumishi wa wizara ya Afya ndiyo wanaripoti kwa DED , watumishi wa Elimu,Ardhi, Biashara,Kilimo nk wanaripoti kwa DED.
-Kuna sintofahamu, kwa viongozi wa kisiasa kuwasimamia wataalaam wa fani, matokeo yake Ni kukomoana,hasa kama unasimamia maadali ya taaluma yako, hususani yanapokwenda na utashi wa wajumbe au kama wanasiasa wana upeo mdogo wa fani husika.
Ushauri
-Tamisemi iwe inaratibu shughuli za wizara mbalimbali mikoani na wilaya.
-Tamisemi ibakiwe na watendaji wa vijiji/serikali,kata na taarafa na wafanyakazi wa halmashuri za miji, Manispaa na majiji.
Sasa mzembe na fisadi kwanini asifukuzwe na kufungwa?Yaan kwa kuwa mmezoea, watu wa kufoka, teka, UA, fukuza, weka ndani,Basi mkiona mtu Kama Bashungwa mnaona hafai