Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee hujui kuwa yalikuwepo hapo bandarini kitamboNimepita ktk u turn ya shekilango kurudi ubungo nimekutana na msululu wa mabasi ya mwendokasi mapya kabisa yakitokea njia ya mbezi kurudi town.Hakika mama angu rais samia matunda ya kazi yako nayaona na Mungu akulinde ktk kila hatua yako.
aliyekuwa anayazuia yasitoke bandarini huku raia wanateseka ni nani?Aisee hujui kuwa yalikuwepo hapo bandarini kitambo
Shetanialiyekuwa anayazuia yasitoke bandarini huku raia wanateseka ni nani?
Mabasi yamebandikwa stika mpya we unasema mapya? Stika za Neel Salt wametoa wameweka matangazo mapya we unaita gari mpya acha uchiziNimepita ktk u turn ya shekilango kurudi ubungo nimekutana na msululu wa mabasi ya mwendokasi mapya kabisa yakitokea njia ya mbezi kurudi town.Hakika mama angu rais samia matunda ya kazi yako nayaona na Mungu akulinde ktk kila hatua yako.
Jiwe akagoma yasitoke akidhani wale jamaa aliowavunjia nyumba Kimara watafaidi sana. Bora amekwenda zakeAisee hujui kuwa yalikuwepo hapo bandarini kitambo
Unataka kusema ndani ya miezi mitatu, amenunua mabasi na kuyafikisha nchini na tayari yako barabarani, mhhhNimepita ktk u turn ya shekilango kurudi ubungo nimekutana na msululu wa mabasi ya mwendokasi mapya kabisa yakitokea njia ya mbezi kurudi town.Hakika mama angu rais samia matunda ya kazi yako nayaona na Mungu akulinde ktk kila hatua yako.
Ndio yametumia mabilion kazi inaendelea .....!Unataka kusema ndani ya miezi mitatu, amenunua mabasi na kuyafikisha nchini na tayari yako barabarani, mhhh
Kayafaaliyekuwa anayazuia yasitoke bandarini huku raia wanateseka ni nani?
Wala cfahamu ndo nimekutana nayo leoAisee hujui kuwa yalikuwepo hapo bandarini kitambo
Usijifanye mjuaji wakati hakuna unachojua kwani mm siwezi tofautisha kitu kipya na used wkt kipya kinaonekana hata kwa macho wala huitaji kwenda shuleMabasi yamebandikwa stika mpya we unasema mapya? Stika za Neel Salt wametoa wameweka matangazo mapya we unaita gari mpya acha uchizi
Hamna mabasi mapya, hayo mabasi yametolewa bandarini yalikua na mgogoro na tra, yalizuiwa sababu hayakulipiwa kodi, yalizuiwa bandarini toka 2018...mama labda kaamua kuyaachia bila kodiNimepita ktk u turn ya Shekilango kurudi ubungo nimekutana na msululu wa mabasi ya mwendokasi mapya kabisa yakitokea njia ya Mbezi kurudi town.
Hakika mama angu rais samia matunda ya kazi yako nayaona na Mungu akulinde ktk kila hatua yako.
Kwa hiyo sio mapya yalikuwa yanatumika huko bandadini sio?Hamna mabasi mapya, hayo mabasi yametolewa bandarini yalikua na mgogoro na tra, yalizuiwa sababu hayakulipiwa kodi, yalizuiwa bandarini toka 2018...mama labda kaamua kuyaachia bila kodi
Mkose woteIla jamaa nae..sasa yangebaki pale yakaoza yeye angefaidika na nini? Ila wazee wa kisukuma wapo hivyo hivyo...