barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Ok...Hayo mabasi watu wakiyaona barabarani wataona sio mapya?
Kama wewe vile umetaona mapya. Iatosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok...Hayo mabasi watu wakiyaona barabarani wataona sio mapya?
Aliyeshindwa kuyalipia kodi kama sheria inavyotaka ni nani?aliyekuwa anayazuia yasitoke bandarini huku raia wanateseka ni nani?
KisenaAliyeshindwa kuyalipia kodi kama sheria inavyotaka ni nani?
Kwa hyo kama niliiweka kwny kabati ndo inakuwa used? Hv wabongo hua mnatumia kiungo gani kufikiria?[emoji23][emoji23][emoji12] Kwa akili yako ktu kipya ni kile kilichopo dukani tuuuh au sio?Ukianza itumia leo simu ambayo uliinunua 2017 sababu uliiweka kwenye kabati utaiita mpya?
Sibishani na wewe , una mentality ya kitaani sio ya intellectual...Kwa hyo kama niliiweka kwny kabati ndo inakuwa used? Hv wabongo hua mnatumia kiungo gani kufikiria?[emoji23][emoji23][emoji12] Kwa akili yako ktu kipya ni kile kilichopo dukani tuuuh au sio?
Kama hujui sasa ngoja nkwambie huko madukan kuna vtu vingi sana used. Mfano Iphone refurb kutoka china znawekwa housing mpya,zinavishwa makaratas,zikifika bongo mnaambiwa ni mpya na mnazishobokea
Aliyeshindwa kuyalipia kodi kama sheria inavyotaka ni nani?
We ushawahi kusikia treni inaokotwa? Be serious..Vichwa vya treni vilivyo okotwa bandarini vililipiwa kodi kama sheria inavyotaka?
kwahyo huko bandarini yalikuwa yanapiga route za znz-dsm?!..Hamna mabasi mapya, hayo mabasi yametolewa bandarini yalikua na mgogoro na tra, yalizuiwa sababu hayakulipiwa kodi, yalizuiwa bandarini toka 2018...mama labda kaamua kuyaachia bila kodi
to be seriously, aliye zuia gari za mwendo kasi kwa sababu ya kutolipiwa kodi, alitamka hadharani kuwa aliviokota vichwa vya treni bandarini na yeye hakuvilipia kodi..We ushawahi kusikia treni inaokotwa? Be serious..
Yule Mzee aendelee tu kupumzika huko aliko maana alitufanya mazwazwa sana. Na mbaya zaidi ukihoji ni vitisho au upotezwe mazima. Ikawa ilimradi liende. Tatizo ambalo mpaka leo linanishangaza, kuna watu ambao wanamuona Magu kuwa alikuwa best President. Na hawataki kama alikosea watu wakosoe na kurekebisha makosa yake.to be seriously, aliye zuia gari za mwendo kasi kwa sababu ya kutolipiwa kodi, alitamka hadharani kuwa aliviokota vichwa vya treni bandarini na yeye hakuvilipia kodi..
unless hufuatilii
Yaani picha muhimu sana, kama mimi natamani kuona picha za barabara ya shekilango ilivyo sasaMwenye picha tasavali kwaajili ya watu wa mikoani
Kibaha si mmejengewa barabara ya njia 8hivi wakazi wa kibaha hawana haki ya kupata huduma ya mwendo kasi? maaana hakuna sababu ya kuishia mbezi wakati kibaha ni karibu tu.
ni vyema sasa ruti za mwendo kasi zifike mpaka kibaha maili moja.
barabara iko safi pana njia nane kuanzia kimara mwisho hadi kibaha hivyo mwendo kasi waongeze ruti hadi kibaha ili kuwasaidia wakazi wa kibaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
mwendazakealiyekuwa anayazuia yasitoke bandarini huku raia wanateseka ni nani?