dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
hahahahahhahaMabasi yamebandikwa stika mpya we unasema mapya? Stika za Neel Salt wametoa wameweka matangazo mapya we unaita gari mpya acha uchizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahhahaMabasi yamebandikwa stika mpya we unasema mapya? Stika za Neel Salt wametoa wameweka matangazo mapya we unaita gari mpya acha uchizi
Ni wanafiki sana, yaani hata wengine ninaoweza kuwafaham kifikra sikuweza kujua huo unafiki wa nini!.watz ni wanafiki sana..kila baya linalotukuta ni radhi ya unafiki!
Ungejua mradi ule serkali ina share ndogo ungeopa.Hahaaaa mabasi si ya serikali? Kodi ulitaka alipwe nani? Uongozi ni zaidi ya kupiga makelele jukwaani kama mwendazake
kibaha na DSM ni kitu kimoja tu, tena ilipaswa kibaha maili moja iwe ktk mkoa wa DSM.Kibaha si mmejengewa barabara ya njia 8
Hayo mabasi bandarini yalikuwa mangapi?kwahyo huko bandarini yalikuwa yanapiga route za znz-dsm?!..
Duh mabasi 100 ( mia moja) yangekuwa yanafanya kazi TRA wangepokea kodi kiasi gani kwa mwaka ?Haya Mabasi yalikuwa yamefungiwa ubungo dry port tangia 2018, mabasi 100, labda wadau wa tra watuambie kwa nini yaliwekwa bounded warehouse!?
Kuna muda naona watunga Sheria hawana akili timamu kichwani yaani mtu kaagiza roli zake Tano ila Hana hela ya kulipia Kodi kuyatoa bandarini kafeli
Halafu TRA wanayazuia Kwa miaka zaidi ya mitatu mbaka update Kodi ukayakomboe Sasa hapo si kujichelewesha kwanini wasikupe yakendelee kupiga kazi Kwa mkataba kufidia Kodi kuliko kuendelea kuozea hapo bandarini
Hebu wataalam mkuje mnipe mwongozo kwanini hii kitu ishindikane?
Wapinzani walituchelewesha sanaaliyekuwa anayazuia yasitoke bandarini huku raia wanateseka ni nani?
mengi tu mkuu..Hayo mabasi bandarini yalikuwa mangapi?
Yaleyale yamepigwa sabuniNimepita katika U Turn ya Shekilango kurudi Ubungo nimekutana na msululu wa mabasi ya mwendokasi mapya kabisa yakitokea njia ya Mbezi kurudi town.
Hakika Mama yangu Rais Samia matunda ya kazi yako nayaona na Mungu akulinde katika kila hatua yako.
Kwani ni mali ya nani, mie nilijua yoote ni ya serikali maana Majaliwa alimtimua mtu kazi kwa kosa la kutoyatunza vizuriHamna mabasi mapya, hayo mabasi yametolewa bandarini yalikua na mgogoro na tra, yalizuiwa sababu hayakulipiwa kodi, yalizuiwa bandarini toka 2018...mama labda kaamua kuyaachia bila kodi
Aliyeshindwa kuyalipia kodi kama sheria inavyotaka ni nani?
Acha utani weweHIYO BIASHARA NI KIKWETE OVA
Kw hiyo babu simu zinazokaa dukani hata miaka 2 hazijanunuliwa, je siku atakayeinunua akasema nimenunua simu mpya inapaswa tumuite ni mpambavu eeh?Ukianza itumia leo simu ambayo uliinunua 2017 sababu uliiweka kwenye kabati utaiita mpya?
Wamepunguziwa Import Tax kutoka 25 hadi 10Hamna mabasi mapya, hayo mabasi yametolewa bandarini yalikua na mgogoro na tra, yalizuiwa sababu hayakulipiwa kodi, yalizuiwa bandarini toka 2018...mama labda kaamua kuyaachia bila kodi
Mabasi 80 yote articulated...Haya Mabasi yalikuwa yamefungiwa ubungo dry port tangia 2018, mabasi 100, labda wadau wa tra watuambie kwa nini yaliwekwa bounded warehouse!?