Rais kaamua kuleta mabasi ya mwendokasi mapya kabisa?

Rais kaamua kuleta mabasi ya mwendokasi mapya kabisa?

kibaha na DSM ni kitu kimoja tu, tena ilipaswa kibaha maili moja iwe ktk mkoa wa DSM.
waache wapewe mwendo kasi. sioni kwa nn mwendo kasi zizifike kibaha.
mbunge wao yuko kimya kama vile hajui adha inayo wakumba wananchi wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Da kibaha maili moja mbali sana...hapo ni treni labda
 
Nimepita katika U Turn ya Shekilango kurudi Ubungo nimekutana na msululu wa mabasi ya mwendokasi mapya kabisa yakitokea njia ya Mbezi kurudi town.

Hakika Mama yangu Rais Samia matunda ya kazi yako nayaona na Mungu akulinde katika kila hatua yako.

Mikumi tena kwa SSH PUSH GANG lazima wapate tabu sana.
 
Wamepunguziwa Import Tax kutoka 25 hadi 10
hata wasingepunguziwa import tax ikabakia 25%, lakn wakawa wanalipa kidgo kidgo kwa mkataba kama mdau alivyo shauri, tangu kipindi hicho hadi sasa tungekuwa mbali

ila tatzo ninalo liona, ni ukarabati wa hayo magari. kuanzia kwny engine hadi gearbox unasikia kabisa kuna bearings zinavuma kuonyesha uchakavu, lakn lipo road.

natamani serikali iitishe tenda ya kampuni private itakayo deal na ukarabati wa hayo mabasi na vituo, ispokuwa kwa matairi pekee..
yaani ishu ya kubadili matair tena kwa serial nambs wabaki nayo wenyewe.
 
Hamna mabasi mapya, hayo mabasi yametolewa bandarini yalikua na mgogoro na tra, yalizuiwa sababu hayakulipiwa kodi, yalizuiwa bandarini toka 2018...mama labda kaamua kuyaachia bila kodi
Kwa hiyo bandarini yalikuwa yanatumika?
 
Back
Top Bottom