Rais kaamua kuleta mabasi ya mwendokasi mapya kabisa?

Rais kaamua kuleta mabasi ya mwendokasi mapya kabisa?

Wala cfahamu ndo nimekutana nayo leo

Usijifanye mjuaji wakati hakuna unachojua kwani mm siwezi tofautisha kitu kipya na used wkt kipya kinaonekana hata kwa macho wala huitaji kwenda shule
Sawa we unajua
 
Jiwe akagoma yasitoke akidhani wale jamaa aliowavunjia nyumba Kimara watafaidi sana. Bora amekwenda zake
Wameshapiga hela, kama ndio yale yaliyokua bandarini yameletwa ila hayajalipiwa kodi...
 
Kwa hiyo sio mapya yalikuwa yanatumika huko bandadini sio?

Sasa kwanini asishukuriwe kwa kazi aliyoifanya kwa miezi 3 ambapo ilimshinda mtu kwa miaka 3.

Ficha ujinga wako
Ukianza itumia leo simu ambayo uliinunua 2017 sababu uliiweka kwenye kabati utaiita mpya?
 
Hahaaaa mabasi si ya serikali? Kodi ulitaka alipwe nani? Uongozi ni zaidi ya kupiga makelele jukwaani kama mwendazake
Tatizo hujui dart ni nini na udart ni nini na mmiliki wa mabasi ni nani kati ya hawa wawili na kila mtu kazi yake ni nini...
Siko hapa kukutoa ujinga wako, ni mzigo wako huo...
 
Jiwe akagoma yasitoke akidhani wale jamaa aliowavunjia nyumba Kimara watafaidi sana. Bora amekwenda zake
Nilichokuja kugundua kumbe Kimara huko walikovunja nyumba wakikaa wachaga wengi hivo jamii nzima ya wachaga wanamchukia magu sababu wanaona walionewa japokuwa kweli wanajua walikuwa wanakaa kwenye eneo la barabara tena barabara kubwa yakuingilia jijini Dar.
 
Kwamba kwa jina ulilojijengea huku, unataka kusahau kuwa serikali hainunui mali USED? Miezi 3 toka apishwe kuwa amenunua magari na tayari yako barabarani?

Acheni hizi mambo, wengi wengi ni wanufaika na mfumo usio halisi na halali, mliotamba enzi za Mswahili na sasa zama zenu zimerudi.

Watanzania halisi wanaweza kuwakilishwa na kundi la WALIMU na WAKULIMA halisi, sio wakulima akina JK na Pinda.

Mshana, unapotosha uhalisia wa nchi yetu kwa kutumia wachache wanufaika wa unyonyaji na upigaji.
 
Hamna mabasi mapya, hayo mabasi yametolewa bandarini yalikua na mgogoro na tra, yalizuiwa sababu hayakulipiwa kodi, yalizuiwa bandarini toka 2018...mama labda kaamua kuyaachia bila kodi
kwa hiyo kwa kuwa yalikwama bandarini ni used?

hoja ya mtoa mada nadhani amelenga mabasi mapya
 
Mapya yalikuwepo toka siku nyingi ila kulikuwa na sakata na Serekali iliyo pita nadhania limekwisha sasa wameyatoa,
 
Aisee hujui kuwa yalikuwepo hapo bandarini kitambo
Tunajua yalikuwepo miaka mingi lakini yule baba yako roho kutu mnafiki akayawekea zengwe almanusura yawe chuma chakavu.

Ndani ya siku 100 milima na mabonde ya uovu vinasawazishwa na mama
 
Nilichokuja kugundua kumbe Kimara huko walikovunja nyumba wakikaa wachaga wengi hivo jamii nzima ya wachaga wanamchukia magu sababu wanaona walionewa japokuwa kweli wanajua walikuwa wanakaa kwenye eneo la barabara tena barabara kubwa yakuingilia jijini Dar.
Wale wa Mwanza waliokwenye hifadhi unakumbuka alisemaje? Magu alikuwa mbaguzi asiyejua hata kuchunga ulimi wake.
 
Nilichokuja kugundua kumbe Kimara huko walikovunja nyumba wakikaa wachaga wengi hivo jamii nzima ya wachaga wanamchukia magu sababu wanaona walionewa japokuwa kweli wanajua walikuwa wanakaa kwenye eneo la barabara tena barabara kubwa yakuingilia jijini Dar.

Tofauti na Magomeni siyo?
 
Tatizo hujui dart ni nini na udart ni nini na mmiliki wa mabasi ni nani kati ya hawa wawili na kila mtu kazi yake ni nini...
Siko hapa kukutoa ujinga wako, ni mzigo wako huo...
Mjinga ni wewe unayedhani unaakili kuliko walioyatoa. Huo ujinga kaa nao huku ukiendelea kuamini Magu atarudi upate ahueni
 
Kama haikutumika bhasi ni mpya, ila kama ilitumika hata kidogo haiwezi kuwa mpya. Upya wa kitu ni matumizi na sio mwaka ilionunuliwa.
Ok
Kwenye vitu ambavyo vinappteza thani sio kipya tena hata kwenye mahesabu ya kiaccount sio kitu kipya
 
Mabasi yamebandikwa stika mpya we unasema mapya? Stika za Neel Salt wametoa wameweka matangazo mapya we unaita gari mpya acha uchizi
Hapana ni basi mpya
IMG_20210626_175234.jpg
 
Back
Top Bottom