Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi kitarudiwa radio DW kiswahili Leo jioni Saa 11 kwa saa Congo na 12 saa za Africa Mashariki.Hahaha,mkuu niko mbali na radio ,ila hayo yasemwayo yawezekana
Kabila na Shadari wamewashika wacongo ,utasikia jingine soon we subiri tu ,hilo litakuchekesha zaidi
Tupe tafsiri...kuelekea uchaguzi RDC 2018View attachment 833266
For the english audience please.......kuelekea uchaguzi RDC 2018View attachment 833266
Dah nilikua kwa Misa Mkuu, nimesali huko likasi ndio nimeingia Lubumbashi ,nisamehe kakaMtu Chake unakula bata tu Lubumbashi, Leo huonekani huku!!
For the english audience please....
Samahani wakuu,kifupi ni kwamba wanataka Moise nae asamehewe km Pierre Bemba aweze kugombeaTupe tafsiri
Samahani kuna kitu binafsi kinamhusu Kabila nikuulize, huyu mheshimiwa kuna kipindi alionesha dalili ya kuwa na Kipara, naona kimepotea ghafla. Kuna siri gani hapa juu ya kichwa cha mheshimiwa Rais?Dah nilikua kwa Misa Mkuu, nimesali huko likasi ndio nimeingia Lubumbashi ,nisamehe kaka Samahani wakuu,kifupi ni kwamba wanataka Moise nae asamehewe km Pierre Bemba aweze kugombea
Alikua ananyoa upara au alikua na kipara?, JK Jr ktk serikali yake yy ni mdg ki umri ,karibu mawaziri wote wanamzidi umri, wengi walikua enzi ya Mobutu na Kabila srSamahani kuna kitu binafsi kinamhusu Kabila nikuulize, huyu mheshimiwa kuna kipindi alionesha dalili ya kuwa na Kipara, naona kimepotea ghafla. Kuna siri gani hapa juu ya kichwa cha mheshimiwa Rais?
Habari mkuu, naomba niku pm.Dah nilikua kwa Misa Mkuu, nimesali huko likasi ndio nimeingia Lubumbashi ,nisamehe kaka Samahani wakuu,kifupi ni kwamba wanataka Moise nae asamehewe km Pierre Bemba aweze kugombea
Anampendaje Che Guevara wakati nasikia kaiba Franca nyingi za Congo? Che Guevara alikuwa socialist asiyependa Mali!Alikua ananyoa upara au alikua na kipara?, JK Jr ktk serikali yake yy ni mdg ki umri ,karibu mawaziri wote wanamzidi umri, wengi walikua enzi ya Mobutu na Kabila sr
Kufuga nywele nyingi na kuacha ndevu ( mzuzu) ni kujiongeza tu at least aonekane Mkubwa ( MTU wa makamo) lkn pia anampenda sana Che Guevara
Nimejibu vile navyojua
Siwezagi kumuongelea mtu km mtu zaidi ,nachojua ni hivyo tu basi MkuuAnampendaje Che Guevara wakati nasikia kaiba Franca nyingi za Congo? Che Guevara alikuwa socialist asiyependa Mali!
Kweli huyu mtu ana nyota ya kuchukiwa mno.Dawa yake ni shaba tu kwa maslahi mapana ya nchi hiyo kama ilivyokuwa kwa babaake wa kambo.
Naona unamualika Kagame amshughulikie Kabila Jr hahah.Dawa yake ni shaba tu kwa maslahi mapana ya nchi hiyo kama ilivyokuwa kwa babaake wa kambo.
HahahaNaona unamualika Kagame amshughulikie Kabila Jr hahah.