Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kibaraka wake huyo...[emoji26]Habari zimezagaa jijini Kinshasa kuwa Kabila atakuwa waziri mkuu nchini Congo huku Emmanuel Shadari akiwa Rais. Nafuatilia habari hizi kwa kina.
Tetesi hizi zinajiri huku chama chake cha PPRD kikiwa kimehakikisha Kabila atakuwa mwenyekiti wa kudumu wa chama hicho. Pia atakuwa mwenyekiti na mratibu mkuu wa muungano wa vyama vya siasa vinavyounga chama chake maarufu kama Common Front for Congo (CFC).
Mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama cha PPRD na muungano wake pacha wa CFC uliwekwa chini ya mikono ya Rais Kabila bila kujua ni kwanini watu wote hao walikubali hali hii.
Wagombea 26 wameshachukua Fomu za kuwania urais Congo na kila moja akilipa dola laki moja. Hizi ni hela nyingi ktk nchi masikini huku mtu akiwa na ari ya kugombea ili awatumikie wananchi wenzie.
Hivyo kwa unyonyaji huu tume ya uchaguzi CENI imeingiza dola za Marekani 2600,000. Hata hivyo wachambuzi wa mambo wameendelea kuwashangaa wakongomani kwa wengi kujitokeza kuchukua Fomu licha ya gharama za fomu kuwa juu.
UPDATES: Wakati wa kipindi cha Maoni cha radio DW kiswahili ya ujerumani jumamosi tarehe 11/08/2018 saa saba mchana kwa saa za Africa Masahariki na saa sita mchana kwa saa za Congo DRC limeibuka jambo. Mbunge wa PPRD Franswaa Nzekuye kakiri wazi Kabila anaweza kuwa waziri mkuu na baada ya miaka mitano kama wananchi wamemchoka Emmanuel Shadari, Kabila anaweza kugombea urais tena bila kizuizi chochote. Kipindi hicho cha maoni kilizungumzia siasa za Congo DRC na walioshiriki ni Wakongomani tupu.
No Bado sanaKabila is still in the system. Wakongo ukombizi bado miaka 61
Kile kikosi cha ku pull trigger dhidi ya Kabila ni lini wata pull trigger. Inatakiwa Jan - March kiwe kimeeleweka na vijana wapo tayari, wasije wakaishie kujifunza kupiga magitaa na kukata viuno tu.Siwezagi kumuongelea mtu km mtu zaidi ,nachojua ni hivyo tu basi Mkuu
Hayo ya kuiba kutokuiba mm sijui
Habari zimezagaa jijini Kinshasa kuwa Kabila atakuwa waziri mkuu nchini Congo huku Emmanuel Shadari akiwa Rais. Nafuatilia habari hizi kwa kina.
Tetesi hizi zinajiri huku chama chake cha PPRD kikiwa kimehakikisha Kabila atakuwa mwenyekiti wa kudumu wa chama hicho. Pia atakuwa mwenyekiti na mratibu mkuu wa muungano wa vyama vya siasa vinavyounga chama chake maarufu kama Common Front for Congo (CFC).
Mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama cha PPRD na muungano wake pacha wa CFC uliwekwa chini ya mikono ya Rais Kabila bila kujua ni kwanini watu wote hao walikubali hali hii.
Wagombea 26 wameshachukua Fomu za kuwania urais Congo na kila moja akilipa dola laki moja. Hizi ni hela nyingi ktk nchi masikini huku mtu akiwa na ari ya kugombea ili awatumikie wananchi wenzie.
Hivyo kwa unyonyaji huu tume ya uchaguzi CENI imeingiza dola za Marekani 2600,000. Hata hivyo wachambuzi wa mambo wameendelea kuwashangaa wakongomani kwa wengi kujitokeza kuchukua Fomu licha ya gharama za fomu kuwa juu.
UPDATES: Wakati wa kipindi cha Maoni cha radio DW kiswahili ya ujerumani jumamosi tarehe 11/08/2018 saa saba mchana kwa saa za Africa Masahariki na saa sita mchana kwa saa za Congo DRC limeibuka jambo. Mbunge wa PPRD Franswaa Nzekuye kakiri wazi Kabila anaweza kuwa waziri mkuu na baada ya miaka mitano kama wananchi wamemchoka Emmanuel Shadari, Kabila anaweza kugombea urais tena bila kizuizi chochote. Kipindi hicho cha maoni kilizungumzia siasa za Congo DRC na walioshiriki ni Wakongomani tupu.
Acha uongo braza,shadari ni mkubwa kwa Kabila kwa miaka 11.View attachment 984979
Shadari na Kabila JKT MAKUTOPORA
Unaandika vitu ambavyo huna habari navyo kuwa makini na post zako zisije kukuletea matatizoView attachment 984979
Shadari na Kabila JKT MAKUTOPORA
Kuwa makini na post zako. Pata facts ambazo ni sahihi kabla ya kudanganya umma.
Karibu sana jukwaani , Join date 6/1/2019 , tangu tuwe hapa hatukupewa vitisho pekee , bali wamejaribu hata kutuloga ila imeshindikana , labda ujaribu wewe .Unaandika vitu ambavyo huna habari navyo kuwa makini na post zako zisije kukuletea matatizo
Hahahaaaa mkuu kwahiyo had kurogwa usharogwa ikashindikana?Karibu sana jukwaani , Join date 6/1/2019 , tangu tuwe hapa hatukupewa vitisho pekee , bali wamejaribu hata kutuloga ila imeshindikana , labda ujaribu wewe .
Bado shida itaendelea kuikumba DRC maana aliyetangazwa keshafunga ndoa na kabila na hakupita kwa mjibu wa takwimu za kura zilizopigwa hata yeye hana ushahidi wa kuthibitisha ushindi wake zaidi ya kumtegemea kabila fake.Vital Kamerhe ameteuliwa kuwa Katibu kiongozi ikulu na President Felix
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana hawezi kuwa waziri mkuu ikizingatiwa alikuwa mshirika wa Tshekedi?Vital Kamerhe ameteuliwa kuwa Katibu kiongozi ikulu na President Felix
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekueleza facts ndugu soma text yangu tena me uielewe. Nikupe tuu taarifa kwa nini nimekuambia hivyo, hiyo picha ni ya kwangu sasa unavyo andika vitu tofauti na tukio la kwenye picha bila kwa na uhakika ina kuwa siyo kitu kuzuri.Karibu sana jukwaani , Join date 6/1/2019 , tangu tuwe hapa hatukupewa vitisho pekee , bali wamejaribu hata kutuloga ila imeshindikana , labda ujaribu wewe .
Kwa uteuzi huo anakuaje PM? Ni kweli ni mshirika wa karibu sana wa Felix, na kacheza part yake vzr mnoIna maana hawezi kuwa waziri mkuu ikizingatiwa alikuwa mshirika wa Tshekedi?