Tetesi: Rais Kabila kuwa Waziri Mkuu Congo DRC baada ya uchaguzi.

Tetesi: Rais Kabila kuwa Waziri Mkuu Congo DRC baada ya uchaguzi.

Daah hii style ya kujidai Waziri Mkuu inapendeza mno
 
Habari zimezagaa jijini Kinshasa kuwa Kabila atakuwa waziri mkuu nchini Congo huku Emmanuel Shadari akiwa Rais. Nafuatilia habari hizi kwa kina.

Tetesi hizi zinajiri huku chama chake cha PPRD kikiwa kimehakikisha Kabila atakuwa mwenyekiti wa kudumu wa chama hicho. Pia atakuwa mwenyekiti na mratibu mkuu wa muungano wa vyama vya siasa vinavyounga chama chake maarufu kama Common Front for Congo (CFC).

Mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama cha PPRD na muungano wake pacha wa CFC uliwekwa chini ya mikono ya Rais Kabila bila kujua ni kwanini watu wote hao walikubali hali hii.

Wagombea 26 wameshachukua Fomu za kuwania urais Congo na kila moja akilipa dola laki moja. Hizi ni hela nyingi ktk nchi masikini huku mtu akiwa na ari ya kugombea ili awatumikie wananchi wenzie.

Hivyo kwa unyonyaji huu tume ya uchaguzi CENI imeingiza dola za Marekani 2600,000. Hata hivyo wachambuzi wa mambo wameendelea kuwashangaa wakongomani kwa wengi kujitokeza kuchukua Fomu licha ya gharama za fomu kuwa juu.

UPDATES: Wakati wa kipindi cha Maoni cha radio DW kiswahili ya ujerumani jumamosi tarehe 11/08/2018 saa saba mchana kwa saa za Africa Masahariki na saa sita mchana kwa saa za Congo DRC limeibuka jambo. Mbunge wa PPRD Franswaa Nzekuye kakiri wazi Kabila anaweza kuwa waziri mkuu na baada ya miaka mitano kama wananchi wamemchoka Emmanuel Shadari, Kabila anaweza kugombea urais tena bila kizuizi chochote. Kipindi hicho cha maoni kilizungumzia siasa za Congo DRC na walioshiriki ni Wakongomani tupu.
Ni kibaraka wake huyo...[emoji26]
IMG-20190102-WA0125.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siwezagi kumuongelea mtu km mtu zaidi ,nachojua ni hivyo tu basi Mkuu

Hayo ya kuiba kutokuiba mm sijui
Kile kikosi cha ku pull trigger dhidi ya Kabila ni lini wata pull trigger. Inatakiwa Jan - March kiwe kimeeleweka na vijana wapo tayari, wasije wakaishie kujifunza kupiga magitaa na kukata viuno tu.
 
Habari zimezagaa jijini Kinshasa kuwa Kabila atakuwa waziri mkuu nchini Congo huku Emmanuel Shadari akiwa Rais. Nafuatilia habari hizi kwa kina.

Tetesi hizi zinajiri huku chama chake cha PPRD kikiwa kimehakikisha Kabila atakuwa mwenyekiti wa kudumu wa chama hicho. Pia atakuwa mwenyekiti na mratibu mkuu wa muungano wa vyama vya siasa vinavyounga chama chake maarufu kama Common Front for Congo (CFC).

Mchakato wa kumpata mgombea ndani ya chama cha PPRD na muungano wake pacha wa CFC uliwekwa chini ya mikono ya Rais Kabila bila kujua ni kwanini watu wote hao walikubali hali hii.

Wagombea 26 wameshachukua Fomu za kuwania urais Congo na kila moja akilipa dola laki moja. Hizi ni hela nyingi ktk nchi masikini huku mtu akiwa na ari ya kugombea ili awatumikie wananchi wenzie.

Hivyo kwa unyonyaji huu tume ya uchaguzi CENI imeingiza dola za Marekani 2600,000. Hata hivyo wachambuzi wa mambo wameendelea kuwashangaa wakongomani kwa wengi kujitokeza kuchukua Fomu licha ya gharama za fomu kuwa juu.

UPDATES: Wakati wa kipindi cha Maoni cha radio DW kiswahili ya ujerumani jumamosi tarehe 11/08/2018 saa saba mchana kwa saa za Africa Masahariki na saa sita mchana kwa saa za Congo DRC limeibuka jambo. Mbunge wa PPRD Franswaa Nzekuye kakiri wazi Kabila anaweza kuwa waziri mkuu na baada ya miaka mitano kama wananchi wamemchoka Emmanuel Shadari, Kabila anaweza kugombea urais tena bila kizuizi chochote. Kipindi hicho cha maoni kilizungumzia siasa za Congo DRC na walioshiriki ni Wakongomani tupu.
_point_up_2_Mgombea Urais DRC, Ramazan Seleman Emmanuel Shadary akiwa na Rais wa sasa wa D.jpg

Shadari na Kabila JKT MAKUTOPORA
 
Vital Kamerhe ameteuliwa kuwa Katibu kiongozi ikulu na President Felix

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado shida itaendelea kuikumba DRC maana aliyetangazwa keshafunga ndoa na kabila na hakupita kwa mjibu wa takwimu za kura zilizopigwa hata yeye hana ushahidi wa kuthibitisha ushindi wake zaidi ya kumtegemea kabila fake.

Ikiwa mahakama DRC zipo huru basi huenda uchaguzi ukarudiwa ama akatangazwa aliyeshinda kwa mjibu wa katiba yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karibu sana jukwaani , Join date 6/1/2019 , tangu tuwe hapa hatukupewa vitisho pekee , bali wamejaribu hata kutuloga ila imeshindikana , labda ujaribu wewe .
Nimekueleza facts ndugu soma text yangu tena me uielewe. Nikupe tuu taarifa kwa nini nimekuambia hivyo, hiyo picha ni ya kwangu sasa unavyo andika vitu tofauti na tukio la kwenye picha bila kwa na uhakika ina kuwa siyo kitu kuzuri.
 
Back
Top Bottom