Kwa iyo Mlipo toka Uganda kwenda Rwanda mlikuwa mnaimba mapambio sio?Yumkini JUDE ni muongo ...INani akae na wauwaji wa kimbari meza moja
???Kwa iyo Mlipo toka Uganda kwenda Rwanda mlikuwa mnaimba mapambio sio?Yumkini JUDE ni muongo ...I
hv yeye na wahutu wakichukuana mpk Rwanda wakayamaliza , hv DRC itakuwa na shida gan na Rwanda ?Kagame kaongea ukweli mtupu
Hatuwezi kupotezeana muda wa mavikao yasiyo na tija kila siku wakati tatizo linajulikana.
DRC walishawatambua kitambo ila wachache wao walikaidi kwa kurud msituni , kamsikilize Kikwete ameleezea vzr tu , ttzo ni Kagame anataka mgogoro huu upambe moto ili aendelee kuibahiki kikao cha leo ndo kimewahalisha wanyamurenge kuwa sasa nao ni wananchi halali kabisa wa drc maana hadi wametajwa kabisa kwenye makubaliano ya kikao na tshisekedi kaagizwa akae nao na awasikilize.
drc kwishnei. na hiki ndo alichokuwa anakitafuta PK sikuzote hizi. kikao cha leo ni pigo kubwa sana kwa tshisekedi na jamaa zake wa drc. haya maazimio ya leo hayatekelezi kwa tshisekedi. ni back to square one vita itaendelea.
wew huijui ccmu style , wanawalazimisha kushiriki kwenye mikutano , wanaogoma ni shaba. wew unaoneshwa mazur tuWananchi wenyewe naskia wanaikubali m23
Na tatizo la FdLR na Mkataba wa Amani wa Arusha vipi nao tukae Kimyaa wakati , ukabila pia upo RwandaKagame ameleta msimamo wa M 23 kuwa watambulike na congo DR, sijui ni kivipi serikali ya Congo haiwatambui Wanyamulenge?
RAIS wa Rwanda, Paul Kagame, amesema nchi yake haiwezi kukaa kimya wakati usalama wake unahatarishwa na DRC na kubainisha kuwa Rwanda imejaribu mara nyingi kuzungumza na Congo bila mafanikio huku akisisitiza kuwa suluhisho la kudumu linahitajika badala ya lawama zinazoelekezwa kwa Rwanda kila tatizo linapotokea DRC.
"Congo hawawezi kutuambia tukae kimya wakati wanasababisha matatizo makubwa ya kiusalama dhidi yetu, hakuna wa kutuambia tukae kimya, tumeongea na Congo mara nyingi tumewaita tukae tuongee hawataki, Mimi naomba tusiwe na vikao vingi sana kama ambavyo tayari tumeshakuwa navyo.” — amesema Kagame akizungumza kwenye mkutano wa EAC-SADC.
“Hatuwezi kila siku kukaa kujadili matatizo maana kinachoendelea pale ni vita ya Kikabila ni suala la kutambuana, kujadiliana na kuwapa haki yao, tutumie kikao hiki kupata suluhu ya kudumu na sio matatizo yatokee Congo kisha ubaya anapewa Rwanda" — amesema Kagame.
Link ya Kikwete kuhusu BanyamulengeDRC walishawatambua kitambo ila wachache wao walikaidi kwa kurud msituni , kamsikilize Kikwete ameleezea vzr tu , ttzo ni Kagame anataka mgogoro huu upambe moto ili aendelee kuiba
Ipo wapi tuifukueLink ya Kikwete kuhusu Banyamulenge
Hallo...M23 Ukikaa nao na kuwasikiliza matakwa Yao, hawana Jambo la msingi..wanataka watambuliwe na wawekwe Kama viongozi katika serikali ya DRC... Hili Jambo likishafanyika inakuwa Kama mazoea kwa makundi mengine ya kwamba Kuna shortcut ya kuingia serikalini..hivyo vitazaliwa VI M23 VINGI SANASerikali ya DRC itawezaje kuwatambua Banyamulenge wakati wako na silaha mkononi, huku wakipigana kutaka kuipindua serikali halali ya DRC?
Ishu ni kwamba majamaa Hawa Wana silaha nzito nzito sana...afu wanajificha kwa raia...na DRC walizuiwa kubunua silaha kutoka kwa mabeberu miaka flani hapo nyuma but now sijajua kwa mda huuTatizo lenyewe sasa ni yeye Kagame. Suluhishio ni SADC-EAC kuwapa kipigo M23 kisha kutengeneza Buffer Zone katika mpaka wa Rwanda.
Au wawafurushe hadi Rwanda ndani kabisa ili Rwanda wapate joto la vita
Amka usingizini wewe.. Ukraine imeuzwa na putin tayariMrusi anajinyea huko Ukraine aje kwenye vita ya manyani
Kwanin wawe wakimbizi wakati taifa lao lipo na wanauwezo wa kuishi ktk taifa laoHuyu mtu ni mnafiki sana, Kikwete akimshauri akae na wahutu wakimbizi waliopo kongo alikataa,kwa matusi na vitisho! Mbwa sana huyu
Kaman ulikuwa hujajua manyani ni wanyama wenye akili kubwa.Mrusi anajinyea huko Ukraine aje kwenye vita ya manyani
Angekuwa na akili angeiongoza Rwanda na Congo pasipo kumwaga damu, opportunity hiyo ipo japo yahitaji akili kuiona na kuichukua.Kagame ni mtu mwenye akili sio nyie takataka nchi yenu inauzwa mmekalia mpira tu🤣🤣
Huwezi ukatembea kundule lipo wazi useme unaakiliKaman ulikuwa hujajua manyani ni wanyama wenye akili kubwa.
Nguruwe anamshinda akili nyani ?😅
Unanyea mdomoni?Huwezi ukatembea kundule lipo wazi useme unaakili
NdioUnanyea mdomoni?
Ha ha ha. Tafuta hela bwana.Ndio
SijazipotezaHa ha ha. Tafuta hela bwana.