Rais Kagame ataka M23 watambuliwe na Serikali ya DR Congo

DRC walishawatambua kitambo ila wachache wao walikaidi kwa kurud msituni , kamsikilize Kikwete ameleezea vzr tu , ttzo ni Kagame anataka mgogoro huu upambe moto ili aendelee kuiba
 
Na tatizo la FdLR na Mkataba wa Amani wa Arusha vipi nao tukae Kimyaa wakati , ukabila pia upo Rwanda
 
DRC walishawatambua kitambo ila wachache wao walikaidi kwa kurud msituni , kamsikilize Kikwete ameleezea vzr tu , ttzo ni Kagame anataka mgogoro huu upambe moto ili aendelee kuiba
Link ya Kikwete kuhusu Banyamulenge
 
Serikali ya DRC itawezaje kuwatambua Banyamulenge wakati wako na silaha mkononi, huku wakipigana kutaka kuipindua serikali halali ya DRC?
Hallo...M23 Ukikaa nao na kuwasikiliza matakwa Yao, hawana Jambo la msingi..wanataka watambuliwe na wawekwe Kama viongozi katika serikali ya DRC... Hili Jambo likishafanyika inakuwa Kama mazoea kwa makundi mengine ya kwamba Kuna shortcut ya kuingia serikalini..hivyo vitazaliwa VI M23 VINGI SANA
 
Tatizo lenyewe sasa ni yeye Kagame. Suluhishio ni SADC-EAC kuwapa kipigo M23 kisha kutengeneza Buffer Zone katika mpaka wa Rwanda.
Au wawafurushe hadi Rwanda ndani kabisa ili Rwanda wapate joto la vita
Ishu ni kwamba majamaa Hawa Wana silaha nzito nzito sana...afu wanajificha kwa raia...na DRC walizuiwa kubunua silaha kutoka kwa mabeberu miaka flani hapo nyuma but now sijajua kwa mda huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…