Nkaburu
JF-Expert Member
- Mar 23, 2023
- 1,638
- 1,961
😅😅😅😂Sijazipoteza
Umepotea sana ulifikwa na nn kama sio hela zimepotea? Umasikini huo unakufikia. Nyie banyamulenge bana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅😂Sijazipoteza
Ningepotea nisingekujibu hapa😅😅😅😂
Umepotea sana ulifikwa na nn kama sio hela zimepotea? Umasikini huo unakufikia. Nyie banyamulenge bana.
Ndio na Mimi ninaiombaIpo wapi tuifukue
Tunaomba link ya Kikwete kuhusu BanyamulengeDRC walishawatambua kitambo ila wachache wao walikaidi kwa kurud msituni , kamsikilize Kikwete ameleezea vzr tu , ttzo ni Kagame anataka mgogoro huu upambe moto ili aendelee kuiba
🤣🤣🤣🤣yani kimekaa fujofujo tuNa watamvunja kweli, kijitu kama fidodido kimeshajizeekea bado kinaleta vurugu.
Tunaomba link ya Kikwete kuhusu Banyamulenge
Link ya Kikwete kuhusu Banyamulenge
Nashangaa wanamuacha kwa nini!🤣🤣🤣🤣yani kimekaa fujofujo tu
Ila haka kajamaa lizima kana backup nyuma yake sio bure.Nashangaa wanamuacha kwa nini!
Anawasumbua kila siku Burundi na DRC, hata sisi siyo nchi rafiki.
Hapa mnaingia full metal jacket, Tanzania, Burundi na DRC, zikisaidiwa na nchi rafiki kama SA na Zambia,
Mnawagonga wanakimbilia Rwanda mnawafuata hukohuko, wanakimbilia Kigali mnanyooka nao hukohuko, mnaenda kumuondoa huyo fidodido pumbafu kabisa.
Unaweza kuta ni mkwara tu.Ila haka kajamaa lizima kana backup nyuma yake sio bure.
Kagame ni pasua kichwa Afrika. Hata likitatuliwa hili tatizo kwa jinsi yeye anavyotaka, kesho atakuja na tatizo jingine.“Hatuwezi kila siku kukaa kujadili matatizo maana kinachoendelea pale ni vita ya Kikabila ni suala la kutambuana, kujadiliana na kuwapa haki yao, tutumie kikao hiki kupata suluhu ya kudumu na sio matatizo yatokee Congo kisha ubaya anapewa Rwanda:" amesema Kagame akizungumza kwenye mkutano wa EAC-SADC
Anatakiwa kwanza akatatue matatizo ya HAKI ZA WAHUTU huko Rwanda na wakimbizi waliomkimbia.Kwani Kagame ni mkongoman?
Matatizo ya Banyamlenge kutokutambulika na serikali ya Congo yanamhusu vipi yeye Kagame ambaye ni mnyarwanda?
Kama anaumia kwa Banyamlenge kutokutambuliwa na serikali ya DRC kwanini asiwachukue yeye na kuwafanya kuwa wanyarwanda?