Rais Kagame: Ni Ruksa wa Raia wa Nchi yoyote ya Afrika kuingia Rwanda bila Viza

Waafrika kuwapa visa free ni kujaza matapeli tu kwenye ardhi yako

Tanzania tujitahid sana kuoffer tu Mataifa machache tunaofanya nao biashara

Wanaijeria watajaaa hapa kuuza mpaka juice🤣
 
Kabisa. Pamoja na ubovu wa CCM nitashangaa sana kama wataingia kwenye huu mtego. Tanzania isikubali kabisa. Hawa kina Kagame wana lengo lao na siyo kuwapenda waafrika.
Huyu na Ruto ni wajanja sana, huu ni mchezo tunachezewa sisi ili tuende kichwa kichwa tuwaunge mkono. Majirani zetu wanaitamani sana Tanzania, na sisi tunalijua hilo na tupo macho.

Waafrika kuwapa visa free ni kujaza matapeli tu kwenye ardhi yako

Tanzania tujitahid sana kuoffer tu Mataifa machache tunaofanya nao biashara

Wanaijeria watajaaa hapa kuuza mpaka juice🤣
Tena hao wanaijeria ndio tunapaswa kuwaongezea vikwazo, kabla ya kukubaliwa kuingia account zao za fedha ziwe na kiwango fulani cha pesa.
 
Kwani Tanzania kuna jambo gani very special kuliko Kenya na Rwanda? Mnapenda kujitanganya ndio maana akili za waTanzania zimekuwa finyu.
Nchi ambayo wananchi wake wanapenda kujifungia ndani bila lolote la maana wanachokifanya.
Huko kenya na rwanda hata ardhi ya kilimo shida maeneo yanamilikiwa na matajiri wachache
 
Huko kenya na rwanda hata ardhi ya kilimo shida maeneo yanamilikiwa na matajiri wachache
Kuna huko Israel kuna Ardhi ya kutosha?
Huku Tanzania tumetawaliwa na ujinga wa kila mtu kujijengea anavyotaka hivyo ardhi kwa ajili ya kilimo nako inakuwa kama hakuna.
Ulishawai kusikia ugomvi wa wakulima na wafugani huko Rwanda penye ardhi finyu?
Tanzania ardhi kubwa ila akili ya ni finyu kwa ajili ya matumizi.
Pia, uwezi kufanya kilimo cha biashara kama wewe siyo tajiri...
 
Visa hatufuti Mjomba......
Eti utalii, kama mtalii hawezi lipa hata Viza anakuja kufanya nini?
Hivi inahitaji Diploma kujua hili la Free Visa ni mtego mtu anategwa?
 
Visa hatufuti Mjomba......
Eti utalii, kama mtalii hawezi lipa hata Viza anakuja kufanya nini?
Hivi inahitaji Diploma kujua hili la Free Visa ni mtego mtu anategwa?
Kwani tumeendelea kuliko wanaofuta visa? Au umejifungia ndani ya mtungi ujui watu kutoka Kenya walivyokwisha teka mabonde huko Morogoro wanapiga pesa tu. Tafuta pesa ata Nairobi na Kigali utaweza kununua ardhi na kuwekeza pia kama hauna pesa wageni kutoka Kenya na Rwanda watakuja kuwekeza tu kwenye hiyo ardhi.
 
Mjomba Visa hatufuti......
Kwa nchi zetu za Kiafrika Hasara ni Nyingi kuliko faida.
 
Tuna nchi yetu na yenye ardhi ya rutuba ,tunaweza tukalima na kuilisha dunia nzima. Misitu ya kutosha yaani kwa kifupi hatuhitaji undugu ama kujikomba kwaa majirani
Kwani Sasa hivi mnashindwa nini kulisha dunia nzima?????

Kuwa na ardhi bora bila ya kuwa na akili nzuri ya kuweza kuitumia vizuri hiyo ardhi bora uliyonayo ni sawa na kazi bure.
 
Hayo ndio mambo ya kimaendeleo yenye mwelekeo wa kuweza kuinganisha Afrika, sio zile blah blah za vikao vya nusu karne bila matokeo.
 
Mie na
Mie huwa nawacheki wanaodisi tz ,tembea ndio utarudi utaiona nchi yetu Ni yenye Neema kubwa ishu kubwa Ni uongozi mbaya
 
Mie na

Mie huwa nawacheki wanaodisi tz ,tembea ndio utarudi utaiona nchi yetu Ni yenye Neema kubwa ishu kubwa Ni uongozi mbaya
Ni kweli nchi yetu ina neema kubwa sana kwa kuwa na Rasilimali nyingi sana za asili (Natural Resources), lakini wakati huo huo nchi yetu ina bahati mbaya kubwa sana kupita kiasi kwa kuwa na watu (Wananchi) wengi zaidi wasiokuwa na maarifa mazuri (akili nzuri) ya kuweza kupanga, na kusimamia matumizi bora zaidi ya rasilimali nyingi tulizonazo. Yaani kama vile upele umeota kwa mtu asiye na kucha na ambaye hawezi kujikuna.

"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa Maarifa."
Hosea 4:6
 
Kwani Tanzania kuna jambo gani very special kuliko Kenya na Rwanda? Mnapenda kujitanganya ndio maana akili za waTanzania zimekuwa finyu.
Nchi ambayo wananchi wake wanapenda kujifungia ndani bila lolote la maana wanachokifanya.

Kuna watanzania roho zao zimejaa kutu, kila chenye maslahi kwa watanzania na serikali kwa ujumla lazima wapinge, uraia pacha kuna watu wanapinga, na hawana sababu yoyote ya upingaji wake, ni roho mbaya tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…