Rais Kikwete afanya uteuzi wa Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu watano wapya



madaraka matamu..mjomba tuachie nchi yetu. kapumzike kwa salama.
 
Yaani huwa nalaumu sana walompgia kura huyu jamaa,hii ni zaidi ya kero, cjui hata ni wa kuweka kundi gani
kwa kweli hata mimi nilishiriki kumweka huyu "dhaifu" madarakani 2005. Nilimwomba Mungu anisamehe na akanisamehe; makosa jinsi ile sirudii tena!
 
Maswi tena!

Mliomchagua Kikwete mmetuponza sana watanzania.

Nakiri kumtopenda huyu raisi kwa kiwango cha juu sana.

Hatunywi sumu hatunyongi............ccm mbele kwa mbele !
Na mvimbe mpasuke .......mtajijua wenyewe ! Salary Slip
 
Last edited by a moderator:
Wana JF,

What is the meaning of all these nonsense?
Hivi huyu Rais anayeondoka baada ya masaa 24 NEC itakapotangazwa Rais mteule ana maana ani kuendelea kuteua Watumishi katika cadre mbalimbali? Alikuwaga wapi siku zote za miaka 10 kuwateua hao maswahiba wake??

Hivi Rais Kiwete anafikiri huyo Rais anayekuja hataweza kuteua wasaidizi wake???Hii definetely ni MATUMIZI MABAYA, MABOVU sana kwa ofisi ya Rai!!!!K wa kifupi huu ni UFISADI WA AINA NYINGINE!!

Watanzania hatuoni mantiki ya Rais aliyebakiza masaa kuendelea kufanya uteuzi wa kipuuzi kana kwamba ni swala la dharura...........!!!!!! Rais dhaifu peke yake ndiye anaweza kufanya upuuzi kama huu.
 
Maswi tena!

Mliomchagua Kikwete mmetuponza sana watanzania.

Nakiri kumtopenda huyu raisi kwa kiwango cha juu sana.

Hatunywi sumu hatunyongi............ccm mbele kwa mbele !
Na mvimbe mpasuke .......mtajijua wenyewe ! Salary Slip
 
Last edited by a moderator:
Maswi tena!

Mliomchagua Kikwete mmetuponza sana watanzania.

Nakiri kumtopenda huyu raisi kwa kiwango cha juu sana.

Hatunywi sumu hatunyongi............ccm mbele kwa mbele !
Na mvimbe mpasuke .......mtajijua wenyewe ! Salary Slip
 
Last edited by a moderator:
Naanza kuamini Kauli ya Lowassa kwamba hawajakutana na JK barabarani......Hapa anaingamiza CCM mazima.Hii ni kete ya Ushindi kwa Lowassa na Ukawa kama watatumia kete hii majukwaani Leo hii.....Hiki ni kifo cha Mende..Chaliiiiii

Sasa mnalia lia nini !?.......kwani mmejipangaje !?? made
 
Last edited by a moderator:
Yaani huwa nalaumu sana walompgia kura huyu jamaa,hii ni zaidi ya kero, cjui hata ni wa kuweka kundi gani

Walimpigia JK kwa style hii hii ya Lowasa. Mihemko ilitawala hivihivi na mainjinia wa mihemko hiyo walikuwa ni Rostam na Lowasa. Baada ya JK kuchukua nchi wakasuka dili la RICHMOND/DOWANS kurudisha gharama walizotumia kutengeneza mihemko. Na kwa kuwa serikali ilikuwa mikononi mwao wakatengeneza mazingira ya serikali kushindwa kesi na Rostam akalipwa Bil 120 na ndizo sasa wamezitumia kuwanunua akina Mbowe na kutengeneza mihemko mitaani. Ikiwa lowasa ataingia madarakani hizo gharama lazima zirudi. Rostam hajawahi fanya kazi za hasara. Unakumbuka KAGODA, na DEEPGREEN aliyechota Bil 40 kaunta za CRDB alikuwa nani?
 
Aaaaah wewe unadhani anawakomoa wapinzani...NO hili ni janga la kitaifa including you and your family
 
Hii aibu sijui tutaificha wapi kama taifa.
 

....Je; unaweza kuripoti hivi hivi kwenye gazeti lako la Raia Tanzania la kesho?!
 


Jimbo la jf lina wapiga kura wachache sana.peleka stress zako utasikika na wengi
 
Yaani tena Maswi, Kipande na Chambo? Wapiga dili wakubwa. Ama kweli Kikwete kaamua!!
 
....Je; unaweza kuripoti hivi hivi kwenye gazeti lako la Raia Tanzania la kesho?!

Kimtokacho mtu ndo kimeujaza moyo wake! Manyerere eti na wewe leo unamsema JK Kweli ndo maana umetubu! na kesho andika haya haya kwenye Jamhuri yako au kule kwingine kwenye colum zako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…