Rais Kikwete afanya uteuzi wa Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu watano wapya

Rais Kikwete afanya uteuzi wa Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu watano wapya

sasa mmekubaliana na mimi kwamba hata yakibaki masaa mawili bado Kikwete atafanya uteuzi wa mawaziri, hapo bado kuna nafasi atakayoijaza ya Kombani na Kigoda hata kama zitakuwa zimebaki Dakika tano

nimecheka sana ...yaani mkuu umevunja mbavu zangu.
 
Kesho tunamvua nyangumi #ccm# baharini na yy apigwe na jua kidogo sio kila siku yeye anakaa ndani ya maji tu
 
Magufuri kawekwa kama boya tuu.angeheshimiwa kama raisi ajaye kimsingi angeachwa kuja kufanya teuzi mwenyewe,lakini kwa vile JK kasoma upepo kuwa magu hatashinda na pia kapata fununu kuwa Raisi Lowasa hatawaondoa watumishi wa umma kwenye nyadhifa zao akaona afanye kuwateua haraka kwa masilahi yake.

Ni kweli mkuu!
 
Nyinyi hamuelewi. Uteuzi wowote unaweza futwa au kubadilishwa na rais ajaye jinsi atakavyoona. Kikwete hawezi acha nafasi tupu bila watu wakati waliokuwepo wamestaafu. Katiba itamshtaki. Kuweni wavumilivu. Chadema asilia tunasema PIGA KURA KWA MAGUFULI! ACHANA NA MATAPELI WENGINE
 
Nyinyi hamuelewi. Uteuzi wowote unaweza futwa au kubadilishwa na rais ajaye jinsi atakavyoona. Kikwete hawezi acha nafasi tupu bila watu wakati waliokuwepo wamestaafu. Katiba itamshtaki. Kuweni wavumilivu. Chadema asilia tunasema PIGA KURA KWA MAGUFULI! ACHANA NA MATAPELI WENGINE

Acha kutugawa wananchi Watanzania ,Chadema asilia ndio mdudu gani huyo.Haya makundi ndio sababu ya kufeli katika kila kitu.Wewe unafurahia tu kodi zetu kutumika vibaya?.Katiba inayomfanya binadamu kuonekana kama Mungu mtu wew unaifurahia tu...
 
Mwaka huu tusipofanya mabadiliko Mungu atatushushia laana ambayo itatutesa sana,
Wale wazee Wa kutetea kila kitu kwa ushabiki maandazi endeleeni tu
Mi kesho naenda kufutilia mbali hii CCM
 
Yaani huwa nalaumu sana walompgia kura huyu jamaa,hii ni zaidi ya kero, cjui hata ni wa kuweka kundi gani

sometimes i rue being tanzanian and among the reasons is this jackass
 
Hakuna Raıs mzurı km Kikwete ukimwacha Nyerere.

lazima uwe unatoka kwenye familia ambayo ni miongoni mwa zile zilitoa mabinti walio ongwa ukuu wa wilaya



no offence intended, he's the worst president ever
 
Mishipa ya aibu ya JK inaonekana ilikatika kitambo sana. Anahitaji tiba huyu mtu.

Mimi sintoshangaa kama ataendelea kuteua watu kabla ya mwisho wa mwezi huu.
 
ebu sasa tuambieni wana ccm; tuseme kwa bahati mbaya magaufuli akabahatika kuupata urais wa jmt, je walioteuliwa jana na jk

atarecall uteuzi huo.hii sasa ni too much, nadhani jk anajaribu kucheza na psychology/bongo za wapiga kura. Wapiga kura ebu jitokezeni

tuwaonyeshe ccm ya kwamba rais uchaguliwa na wananchi na sio kuteuliwa na viongozi wa ccm.kesho pigeni kura za hasira

tujinasue na minyororo hii ya kujiona wanyonge kwenye nchi yetu.


Ninawasiwasi na uchaguzi huu..tutaweza kumaliza vibaya kwani kuna kila dalili za wagombea kutofika salama.../ uchaguzi huu ni

mkali na upepo unavuma kulekea upande wa lowassa/ukawa. Je itakuwaje mh. Lowassa akishinda, na je atakubali wateule wa jana waendelee na nafasi zao.

Kesho sio mbali tutajua mbivu na mbichi...

mnaona uchungu mlitaka nafasi zote wapewe wa kaskazini jk bado ni rais
 
busara ipi iliyokiukwa hapo?,,,,tatizo la bavicha bana ni ushabiki uliopitiliza,,,sasa hapa jk amekiuka busara ipi hasa?hebu tufafanulie....



tatizo lingine la bavicha ni wivu wa kike,,,,,

Wivu wa kike....?? Kwani wewe ni mwanaume?
 
hivi wewe,kama jk aliweza kuliondoa jina la lowassa pamoja na kundi kubwa na ushawishi aliokuwa nao ndani ya CCM,atashindwa kumtawala huyo "makomeo" asiyejua hata maana ya siasa??

Asiyejua siasa atfanya vilevile kwa misingi ya kutojua siasa, hivyo mambo ya kulindana ya kisiasa hayatakuwepo kama ambavyo angekuwepo mwanasiasa. Sitegemei kama Mkapa atahudhuria vikao vyote vya CCM maana si mjumbe wa CC wala NEC. Yeye atakuwa site anafukuzana na watendaji - endapo atachaguliwa! Bado naamini UKAWA ni mpango mzima.
 
Back
Top Bottom