Rais Kikwete afanya uteuzi wa Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu watano wapya

Rais Kikwete afanya uteuzi wa Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu watano wapya

Sasa kwa mfumo huu wa ccm Magufuli aweze kufanya kazi kweli?,hii ni aibu kubwa sana!.,jamaa anatudhalilisha sana!
 
siku nyingine muwe mnaangalia na makabila yakuyachague,mtavimba mpaka mpasuke si mlichague wenyewe 2005 kwa kishindo??
 
Harafu bado watu wanaimba mbele kwa mbele , ccm itawachapa fimbo tu mpaka mkome

Mkuu nadhani mbele kwa mbele wanamaanisha wanakulana mbele hawa maccm...itakua mchezo flani ivi wa kishenzi au wa kichawi unaowafanya wawe wezi
 
Haya ndo mambo ambayo huongeza hasira kwa raia
Ajeye akipangua iyo ghalama ya kuwahamisha na kuwafidia nani ataingia.
Ivi hawa washauri wa raisi wanamshauri nini mkuu
 
Hii ni mkakati wa kuwahadaa watanzania Tanzania bila CCM haiwezekani, hapa JK amecheza na akili zetu.
 
Tatizo huyu JK hamjui Makomeo. Kwa taarifa hao wote waliochaguliwa leo kesha wachongea na ndio watakuwa wa kwanza kutoka. Wakamuulize Mrema wa Tanroads. Makomeo akiingia tu Magogoni anapandisha vioo, na JK ataisoma namba, yangu macho.

hivi wewe,kama jk aliweza kuliondoa jina la lowassa pamoja na kundi kubwa na ushawishi aliokuwa nao ndani ya CCM,atashindwa kumtawala huyo "makomeo" asiyejua hata maana ya siasa??
 
Najaribu kuwaza kwa sauti.
Teuzi za mabalozi, wakuu wa wilaya, mikoa, makatibu wakuu, wabunge na watumishi wengine waliopo serikalini na ambao walifaidika na fadhila za ccm miaka ya nyuma na familia zao na hata ukoo wao unaofaidika na teuzi hizi, ina maana ccm wanaanza kesho na idadi ya watu/kura 3milioni.

Tutashinda kweli?
 
siku nyingine muwe mnaangalia na makabila yakuyachague,mtavimba mpaka mpasuke si mlichague wenyewe 2005 kwa kishindo??

tupo makini sana na makabila ndio maana haitakuja kutokea tukaja kuchagua walevi wa kaskazini.. haitatokea kamwe...believe me!
 
Plan B ni kuhakikisha hatupigi kura wote kwa wakati mmoja at least kila baada ya dakika kuwe na watu.
 
Somaibara ya 42 (3)(a) ya katiba ya jamhuri ya muungano uone madaraka ya rais yanakomea wapi .na kama huju hata kesho anaweza kufanya uteuzi hata mara baada ya kura kupigwa
 
Na hakuna mahusiano yoyote kati ya uchaguzi huu na uteuzi wa vyeo hivyo
 
Back
Top Bottom