Rais Kikwete afanya uteuzi wa Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu watano wapya


mbali na hivyo mimi nasema hivi endapo kama huyu jamaa angekuwa anaongoza taifa la watu wanaojielewa yaani wanaofahamu haki zao kutoka serikalini ni nini, huyu mkware asingemaliza muda wake
 
Raisi wangu dah!!!!!!!!!!!!!

Hata kama sheria/katiba inaruhusu lakini sio kihivyo jamani.
 

umewaza kitu cha msingi sana kaka, hapa tushirikiane na Askofu Gwajima tusali sana hata hao wanufaika na utawala huu dhalimu wapeleke kula zao mahala panapo stahili
 
Mwaka huu tusipofanya mabadiliko Mungu atatushushia laana ambayo itatutesa sana,
Wale wazee Wa kutetea kila kitu kwa ushabiki maandazi endeleeni tu
Mi kesho naenda kufutilia mbali hii CCM

Kabisa mkuu. Yaani tusipoindoa ccm mwaka huu tutakuwa sawa na yule jamaa wa kwenye biblia aliyefukia talanta yake chini badala ya kuifanyia biashara izalishe kama walivyofanya wenzie.
 
eeh haya....
 

Kama UKAWA Watatumia Kete Hii Majukwaani Leo, Hili Litawageuza Wengi Ambao Kesho Walipanga Kuipigia Kura CCM, Magfuli Anaubiri Ufisadi Huku Mzee Mrisho, Anawateua Hao Hao Kuwa Wasaidizi WAKE? Akiya Mungu CCM Ni Wasanii Wa Kupindukia.

Naanza kuamini Kauli ya Lowassa kwamba hawajakutana na JK barabarani......Hapa anaingamiza CCM mazima.Hii ni kete ya Ushindi kwa Lowassa na Ukawa kama watatumia kete hii majukwaani Leo hii.....Hiki ni kifo cha Mende..Chaliiiiii
 
Kwa nini? Jk bado raisi anaendelea na majukumu yake kama kawaida, au amevunja sheria yoyote na huu uteuzi?

Ateue nafasi mbili za Mawaziri waliofariki basi maana nazo ziko wazi. Nafasi ya Kigoda na Kombani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…