Rais Kikwete akanusha kumuokoa Ridhiwani katika kesi ya dawa za kulevya China

Rais Kikwete akanusha kumuokoa Ridhiwani katika kesi ya dawa za kulevya China

Naam, kuabudu mwezi, jua, ng'ombe, sanamu la mzungu kote ni ujinga wa hali ya juu.

Waislaam tunachoabudu ni:

1. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. ***
2. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. ***
3. Hakuzaa wala hakuzaliwa. ***
4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. ***

Source: 112. SURAT AL-IKHLAS'

Mnautetea uislamu wakati most of you guys mtaishia motoni kwa matendo yenu!! Hapo ni sawa na kufuta herufi O na kuandika zero
 
Mnautetea uislamu wakati most of you guys mtaishia motoni kwa matendo yenu!! Hapo ni sawa na kufuta herufi O na kuandika zero

Naona sasa licha ya kuabudu sanamu la mzungu umeshajivika na joho la uungu, mwenye kujuwa nani ataenda motoni na nani ataenda peponi.

"Mbinguni" hatofika anaeabudu sanamu. Kumbuka hilo.

Nna mashaka makubwa sana na uelewa wako.
 
Vyama vingi hoyeee!haya yote yasingeweza kuongelewa ktk mfumo wa chama kimoja.
 
Hata mimi nakubaliana na Rais kuwa ule ulikuwa ni uzushi tupu! Riziwan kama motto wa Rais anauwezo wa kuwa na vibarua chungu nzima kumfanyia kazi ya kusafirisha hayo madawa kama kweli alikuwa mhusika!!! ... Rizwan ana fursa kibao za kutengeneza fedha ndefu mbali na hayo madawa ya kulevya! Nina uhakika hata Obama yuko Tayari kumpa mtaji akitaka!!! Uzushi Mwingine tuwe tuna pima wenyewe kabla ya kumeza wakuu....

Vyama vingi hoyeee!haya yote yasingeweza kuongelewa ktk mfumo wa chama kimoja.

Issue nzima ilianza kuvuja 2012 wakati balozi Philip Marmo akiwa bado ni balozi wetu huko China na Hong Kong. Huyu balozi Marmo atakuwa na skendo nzima,ndiye aliyemtaarifu Mhesh. Jk juu ya sakata hili.
 
Naona sasa licha ya kuabudu sanamu la mzungu umeshajivika na joho la uungu, mwenye kujuwa nani ataenda motoni na nani ataenda peponi.

"Mbinguni" hatofika anaeabudu sanamu. Kumbuka hilo.

Nna mashaka makubwa sana na uelewa wako.

Jamani acheni kutupiana maneno ya kidini. Muhimu ni UPENDO. Tupendane na tusichukiane wajameni nyie. MAMBO MUHIMU NI MATENDO YETU YA MPENDEZE MUNGU WETU ALIYE MKUU NA MWENYE UPENDO na sio eti mimi ni mkristo???? or mie ni muislamu????? wakati hampendani. Mkristo asipompenda Muislamu huyo sio Mtu wa MUNGU. Na vile vile Muslamu asipompenda Mkristo huyo pia sio mtu wa MUNGU.
 
Kumbuka Ridhiwani hakuwa na hiyo haki enzi hizo zaidi alikuwa na diplomatic pass sababu ya baba yake ila alikuwa anasachiwa sababu mizigo yake haikuwa na sticker za presidential, au diplomat


Tanzania tumezoea mambo ya uswahili sana

huo ulioandika hapa ndio uswahili, umeandika kama ulikuwa nae. Na pia unakubali alisachiwa kwa sababu mizigo yake ilikuwa haina stika za diplomat.
Ikiwa hadi watoto wa mabalozi wanakuwa na stika za diplomat itakuwa mtoto wa rais.
Au wewe ni mmoja wa wale wa kulipwa?
 
Naona sasa licha ya kuabudu sanamu la mzungu umeshajivika na joho la uungu, mwenye kujuwa nani ataenda motoni na nani ataenda peponi.

"Mbinguni" hatofika anaeabudu sanamu. Kumbuka hilo.

Nna mashaka makubwa sana na uelewa wako.

Kuamini ni kutokuwa na uhakika. Faith is direct proportional to ignorance and indirect proportional to Knowledge. Waliokubuhu kwenye imani ni wagonjwa wa akili kama alivyosema Karl Marx, " Religion is the opium of the ignorant". In fact their relatives should consult psychiatrists on their behalf. Its just a matter of time they will be lunatics!
 
Naona sasa licha ya kuabudu sanamu la mzungu umeshajivika na joho la uungu, mwenye kujuwa nani ataenda motoni na nani ataenda peponi.

"Mbinguni" hatofika anaeabudu sanamu. Kumbuka hilo.

Nna mashaka makubwa sana na uelewa wako.

We kila siku ni udini mpaka ma**koni. Kama unamjua mungu na dini yako hebu jibu haya maswsli. utanihalikishiaje kuwa mungu yupo? umreahi kumkwona au kulkutana naye?mbinguni ni ni wapi? mala ya mwisho kufika hiko ni lini? tafakari acha ujinga
 
Kikwete ni raisi au rahisi?hiyo shutuma hawezi kuipinga siku zote mtu hawezi kukimbia kivuli chake,ndo maana umeona lukuvi amesema serikali imeagiza sindano safi za kuwasambazia watumia madawa ya kulevya
 
Naona sasa licha ya kuabudu sanamu la mzungu umeshajivika na joho la uungu, mwenye kujuwa nani ataenda motoni na nani ataenda peponi.

"Mbinguni" hatofika anaeabudu sanamu. Kumbuka hilo.

Nna mashaka makubwa sana na uelewa wako.

Kwanini magaidi wengi waislamu ?
 
huo ni ubabaishaji,kama riz kamshtaki Dr Slaa kesi gani haitajwi takribani miaka2, hapo maji ya shingo
 
Lisemwalo lipo kwanini wamzushie mtoto wake na sio mwingine? Wanatumia kofia ya ukubwa kutuangamiza sisi wanyonge! Kesi iko mahakamani tangu 2012 haijatajwa! Si hayohayo ya kulindana?
 
mimi mwenyewe nilikuwa mtaani na watu wangu wa mtaani niliposkia Jakaya kaanguka kifafa Viwanja vya Jangwani.
 
Kwanini magaidi wengi waislamu ?

Naam, ukiwa Polisi na mhalifu akikuona hawi "terrorized" (gaidi) akikuona, basi ujuwe u polisi wako una walakin.

Ukiwa ni muamrisha mema na mkataza maovu na afanyae maovu akikuona hawi terrorized basi ujuwe uamrishaji wako mema una walakin (kama wale wa Mapadri na Maaskofu tunaowasoma kila siku mitandaoni).

Jee, Mandela na ANC wote ni Waislam? wapo kwenye list ya magaidi duniani.

Jee, IRA wote ni Waislaam? wapo kwenye listi ya magaidi duniani.
 
We kila siku ni udini mpaka ma**koni. Kama unamjua mungu na dini yako hebu jibu haya maswsli. utanihalikishiaje kuwa mungu yupo? umreahi kumkwona au kulkutana naye?mbinguni ni ni wapi? mala ya mwisho kufika hiko ni lini? tafakari acha ujinga

Kama unamaanisha Uislam ndio "udini" basi naam, wala hujakosea umenijaa kila mahali. Jaribu kingine.

Wewe unaemjuwa mungu kuwa ni sanamu la mzungu inatosha kabisa kumjuwa kwako.

Sisis hatuna haja ya kuwa na sanamu la mzungu kulibudu, sisi ni:

Qur'an 2:3. Ambao huyaamini ya ghaibu na hushika Sala, na hutoa katika tuliyo wapa. ***
 
Kuamini ni kutokuwa na uhakika. Faith is direct proportional to ignorance and indirect proportional to Knowledge. Waliokubuhu kwenye imani ni wagonjwa wa akili kama alivyosema Karl Marx, " Religion is the opium of the ignorant". In fact their relatives should consult psychiatrists on their behalf. Its just a matter of time they will be lunatics!

Hebu tufafanulie Kiswahili.
 
Jamani acheni kutupiana maneno ya kidini. Muhimu ni UPENDO. Tupendane na tusichukiane wajameni nyie. MAMBO MUHIMU NI MATENDO YETU YA MPENDEZE MUNGU WETU ALIYE MKUU NA MWENYE UPENDO na sio eti mimi ni mkristo???? or mie ni muislamu????? wakati hampendani. Mkristo asipompenda Muislamu huyo sio Mtu wa MUNGU. Na vile vile Muslamu asipompenda Mkristo huyo pia sio mtu wa MUNGU.

Umesema maneno mazuri sana, nakuuliza swali, Jee, unaempenda unamuacha apotee?

Sasa mimi nampenda nnaemuasa, ewe, usabudu sanamu la mzungu. Maana Biblia inasema:

Kutoka 20:3-4 "Usewe na miungu mingine ila mimi Usijifanyie sanamu ya kuchonga wa wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni wala kilicho chini duniani wala kilicho majini chini ya dunia, Usivisujudie wala kuvutumikia kwa kuwa mimi ni Bwana Mungu wako ni Mungu mwenye wivu nawapatiliza wana maovu ya baba zao hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao nami na warehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu."
 
Back
Top Bottom