Rais Kikwete akanusha kumuokoa Ridhiwani katika kesi ya dawa za kulevya China

Rais Kikwete akanusha kumuokoa Ridhiwani katika kesi ya dawa za kulevya China

Hata mimi nakubaliana na Rais kuwa ule ulikuwa ni uzushi tupu! Riziwan kama motto wa Rais anauwezo wa kuwa na vibarua chungu nzima kumfanyia kazi ya kusafirisha hayo madawa kama kweli alikuwa mhusika!!! ... Rizwan ana fursa kibao za kutengeneza fedha ndefu mbali na hayo madawa ya kulevya! Nina uhakika hata Obama yuko Tayari kumpa mtaji akitaka!!! Uzushi Mwingine tuwe tuna pima wenyewe kabla ya kumeza wakuu....

Kwa historia ya nchi hii, viongozi wetu wametumia sana polisi na mahakama kumdhibiti yeyote anayefurukuta. Kama ya Riz1 ni uzushi naamini kesi hii ingelikuwa imeshaamza kuzungumzwa siku nyingi. Nashangaa hata kutajwa bado. Kuna nini kinazuia kesi hii kuanza ili ukweli uwe wazi na mpotoshaji aadhibiwe?
 
hakuna mtu yoyote ambaye angeweza kukubali hata kama ni ukweli unaojulikana. amefanya alichotakiwa kufanya KUKATAA.
Hakika dunia nzima wangemshangaa kukubali kufanya hivo. Hata mtume Petro alimkataa Yesu mkuu.
 
Naona sasa licha ya kuabudu sanamu la mzungu umeshajivika na joho la uungu, mwenye kujuwa nani ataenda motoni na nani ataenda peponi.

"Mbinguni" hatofika anaeabudu sanamu. Kumbuka hilo.

Nna mashaka makubwa sana na uelewa wako.

na ww. ni balozi wa mbinguni?
 
Hata mimi nakubaliana na Rais kuwa ule ulikuwa ni uzushi tupu! Riziwan kama motto wa Rais anauwezo wa kuwa na vibarua chungu nzima kumfanyia kazi ya kusafirisha hayo madawa kama kweli alikuwa mhusika!!! ... Rizwan ana fursa kibao za kutengeneza fedha ndefu mbali na hayo madawa ya kulevya! Nina uhakika hata Obama yuko Tayari kumpa mtaji akitaka!!! Uzushi Mwingine tuwe tuna pima wenyewe kabla ya kumeza wakuu....

Kwahiyo unamsaidia rais kukanusha?
 
alieuliza swali alijitoa muhanga kuuliza ila huwezi ukamuuliza swali kama hilo mtu akubali?
na alijitoa muhanga kweli kweli, angekuwa yuko bongo leo hii ndo yangekuwa mazishi yake pale kinondoni :rain:
 
na alijitoa muhanga kweli kweli, angekuwa yuko bongo leo hii ndo yangekuwa mazishi yake pale kinondoni :rain:

Parapanda ingeshalia na lazima awe na uraia wa Marekani na asitie mguu bongo!
 
that is another thing to discuss my boss.

Nakuaminia una upeo mkubwa thats why sikutegemea uamini
why? sababu masuala ya nchi mbili tena nchi moja kubwa kama China ambayo
nchi nyingi kama Marekani na za Ulaya zina ma spy wa kila aina huko kupeleleza kusingetokea jambo kama la 'mtoto wa Rais wa nchi nyingine tena ya kiafrica akamatwe na drugs halafu iwe siri'

na exchange ya gas eti nayo ni laughable sababu hata Wamarekani wanaitaka hiyo gesi na wao ndo investor wakubwa wa gesi Tz......wasingeweza kukaa kimya kama kuna 'scandal' kubwa that much...

we are not an island....
 
Hapana nawasaidia wanajamii kuangalia upande wa pili wa shilling aka reasoning power ....Iweje Mtoto wa Rais mwenye uwezo wa kuajiri pusher aka punda wabeba mzigi ajitishwe mzigo mwenyewe wakati akijua risks zitakazoweza mkabili? ... less convinced mkuu... jaribu kunishawishi zaidi... pengine hulka yangu ya kithomaso inashidaa!!!
Kwahiyo unamsaidia rais kukanusha?
 
The Boss, Shukran Mkuu, Iwish wangejua kuwa wengine huku huwa hatuwi derived na emotions bali constant huwa tuna reasoning ili kupata uhalisia na ukweli wa mambo... Still I'm less convinced kuwa Ridhwan alikutwa na hayo madawa...
Nakuaminia una upeo mkubwa thats why sikutegemea uamini
why? sababu masuala ya nchi mbili tena nchi moja kubwa kama China ambayo
nchi nyingi kama Marekani na za Ulaya zina ma spy wa kila aina huko kupeleleza kusingetokea jambo kama la 'mtoto wa Rais wa nchi nyingine tena ya kiafrica akamatwe na drugs halafu iwe siri'

na exchange ya gas eti nayo ni laughable sababu hata Wamarekani wanaitaka hiyo gesi na wao ndo investor wakubwa wa gesi Tz......wasingeweza kukaa kimya kama kuna 'scandal' kubwa that much...

we are not an island....
 
Kwa kukusaidia tu. Biashara haramu
duniani ndo the most paying. Riziwani
kama mtoto wa rais hawezi kupata
mtaji wa milion 200 kihalali kutokana
na urais wa baba yake. hilo amini. ILA

1. Anaweza kufanya biashara yoyote
kwa mgongo wa baba yake kama rais
akakwepa kodi hadi akawa milionea.


2. Anaweza kuopt biashara haramu
kama pembe za ndovu, sembe au hata
kuuza nchi na akawa tajir. KWA HIYO...
Ni suala la option tu kwa Rizione
kuamua. Kama alichagua njia ya Sembe ni moja kati ya option alizonazo
OTHERWISE...

Kama mtoto wa rais kwa maana halisi
ya rais mzalendo, riz1 hawezi kuwa na
mtaji huo. Na kama ni influence ya
baba BASI hiyo ni biashara haramu
sawa na sembe. KWA HIYO

Uwezekano wa riz1 kuuza sembe
hauondoki. sio lazima abebe yeye.
anaweza kubebesha punda na wakati wa malipo akanaswa.

Brother usiseme nonsense. Usiwe
mp.um.bavu jitahidi kuwa mjinga maana kuna siku inaweza kufika ukasema AHAAA. Hiyo ndo huitwa na wanasaikolojia AHAA EXPERIENCE


Hess
Asante

Ndio tulipofika hapa! wala sikulaumu

katika tetesi zako ukiambiwa ueleze kwa details hizo tetesi tu, HUWEZI

sema lini, wapi, mji gani, alikamatiwa ndege gani, au hoteli gani; walio mretain walijua ni mtoto wa rais na kwa sababu wachina wanampenda sana Kikwete na wakampa condition ya mikataba 12, simply kwa sababu wachina wana dhiki sana kiasi cha kupindisha sheria zao kwa sababu ya mtoto wa rais...kama umeishi china, utalikataa hili hajui hili, mjinga


Pili kwa mapenzi makubwa ya wewe kukumbatia TETESI ambazo huwezi kuzisemea details zake unanipa mlazimisho wa kuwa NI AMINI hili, niamini tu!!! ukiishaweka IMANI unajitoa kwenye group la thinking and logical sequence unajiingiza directly kwenye gullible characters, hapa directly bila kupingwa unakuwa mp.um.bavu

Tatu wakati unanilazimisha mimi ni AMINI unacho AMINI, umesahau kuwa na mimi nina haki ya kuamini ninacho AMINI, kwa hiyo wewe uko upande ule na mimi niko upande huu, akili zetu na mitazamo yetu iko sawa, kwa hiyo ushauri wa kuwa nijipunguze kuwa m.pum.bavu na kujiongeza kuwa mj.ing.a utakuwa ushaufanyia kazi mapema before mimi

Nne neno non.sense halikulengwa kwa mtu, bali dhana ya hili swala na tukiwa kama ni taifa la watu wenye akili timamu tusiishi kwa TETESI .... wewe lilikuuma, kwa sababu inaonyesha una uwepesi wa kuamini lolote

TETESI ya kuwa mimi ni baba yako simply kwa sababu niko close na mama yako na kwa sababu, ni mimi handsome, nina hela, msomi, niko karibu naye, na tuko ofisi moja , na kuna siku watu waliniona ninamshusha karibu na nyumbani kwenu, sidhani kama ni nyepesi kuingia sana akilini; lakini kwa wewe kwa mazingira hayo ni rahisi kuamini. Au Uwezo wako na utashi wako wa kuamini unafanya kazi positively kwa mtoto wa rais na unafanya kazi negatively kwa maisha yako binafsi!! unbelievable

Tano, kumbe bado sana

kwenye post yako sijaona ukiweka SABABU zingine au possibly uzushi, yule ni mwanasiasa, alikuwa anaelekea kwenye uchaguzi, it could be a political strategy za watu fulani, business competition, family conflict matters, etc etc etc etc; at least ungeweka possibilities.....ila duh!! kama umemuona vile


Jifunze kusoma post kama jiwe halijatupwa kwako, liko general usijifanye kidume uonekane una akili sana


I still believe the matter ni TETESI na anything is possible, ukweli au UONGO; ila kwa paragraph yangu ya kwanza ya kuhusianisha tukio hilo na mikataba 12, ndilo linalothibitisha vizuri kuwa issue hii ni ya utoto ambalo mkulu kasema ni

nonsense!

Ni wajibu wa waliosambaza TETESI japo walau kuweka details za events kadhaa ku narrate hili swala , hata kwa STORY tu ya kutunga ambayo ni convicing, sisi wengine sio washabiki sana, tunajaribu kujipambanua kwa kutumia akili zetu vizuri , kufikiri vizuri na kuamua bila kuwa biased! plz upande wa TETESI LIFUTENI HILI NENO LA MKUU-eti ni UPUUZI kwa kuweka walau some details hata kama hazitakuwa proved. TETESI ilianzia wapi?? mimi na wewe tulikuwa china?? kama hao punda walibebeshwa na wameamua kusema, jamani kusema tu lini, wapi, how happened inahitaji au ina kazi kiasi gani?? kama issue ni kweli mtoa siri hii yumo humohumo....then he or she is able to give us all information..LAKINI HAMNA,

then tukokotane kama mipunda eti kukubali TETESI, kikwete namchukia sana, ila kwa hili ney, no, mma, hapana, nope


otherwise mkuu kasema ni

nonsense

HILI NENO NONSENSE ni zuri SANA, anajiamini nini jk?? mlioleta taarifa lets PROVE KIKWETE WRONG.....

otherwise nakubaliana naye kuwa the whole saga ni NONSENSE

yaani
Nonsense
 
Kukana ni kwingine na ushahidi ni kingine.Wapo wnaaokana na baadae kukubali,au wanaokana na baadae kuumbuliwa kwa ushahidi mambo yanapoazidi kuwa comlicated.Tutajuaje kuwa si mmojawapo?Asubiri muda si mrefu atashikwa tena akidhani kuwa urafiki wa china ni w akudumu siku babake akiondoka.watamuua tuu wasema kauwawa na wenzie ktk dili.Na hakuna cha kufanywa zaidi ya kuwaacha wakugulia kimya kimya..na vilio lazima ichunguzwe.
 
Umesema maneno mazuri sana, nakuuliza swali, Jee, unaempenda unamuacha apotee?

Sasa mimi nampenda nnaemuasa, ewe, usabudu sanamu la mzungu. Maana Biblia inasema:

Kutoka 20:3-4 "Usewe na miungu mingine ila mimi Usijifanyie sanamu ya kuchonga wa wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni wala kilicho chini duniani wala kilicho majini chini ya dunia, Usivisujudie wala kuvutumikia kwa kuwa mimi ni Bwana Mungu wako ni Mungu mwenye wivu nawapatiliza wana maovu ya baba zao hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao nami na warehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu."

Wewe faiza unataka kuleta udini kwenye sehemu haina udini? Unataka kusema ukristo ni kuamini na kuabudu sanamu? Unamwa akili sana.

Na nyie waislam mnamwabudu allah unamjua wewe? Eti hakuna mungu mwingine ispokuwa allah na muhammad ndie mtume . Nyie mnakariri tu na wala hamjui undani wa dini yenu wenyewe, na sio kusema kwamba wakristo hawapondishj maneno ya Mungu lakni usijfanye unatoka kwenye dini inayo mjia mungu wenu allah. Shetanj amewaada na mtaona siku sio nyingi, wewe uliolaaniwa na kizazi chenu.


The King.
 
On thing i have learned in my 30 years of living; there is nothing greater than the relationship with God the creator. If you think money and women can bring you happiness or attainment of any-kind,then you missed the point and why you here in this world.


The King.
 
Back
Top Bottom