Totos Boss
JF-Expert Member
- Dec 30, 2012
- 5,456
- 1,567
Hivi masikini hatuonekani watu wakajiuliza umasikini wetu tumeupata wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Kumbe ni uongo eeeeh?
Halafu Kuna mtu ametaka ushahidi swali langu mnapomjadili Lowasa juu ya utajiri wake mmeshawahi Kuweka USHAHIDI?
Kwahiyo Kumbe ni uongo eeeeh?
Halafu Kuna mtu ametaka ushahidi swali langu mnapomjadili Lowasa juu ya utajiri wake mmeshawahi Kuweka USHAHIDI?
Ishu ya lowas inajulikana.....tume iliundwa ikachunguza na ikapereka report kusomwa bungeni. Na yy hajawai kukanusha popote zaid ya kusema atawapereka watu mahakaman
Kama unakumbukumbu kamati teule ya bunge haikumkuta na hatia ilimwambia ajipime achukue hatua, akaamua kujiuzuru kulinda Heshima ya serikali .
Mm kumbukumbu zangu zinaniambia zinaniambia kamati ilisema aliingilia procument process ya tanesco ili kuipa tender kampun ya richadwamondul ambayo walisema ipo marekan lkn kamat ilipoenda marekan wakakuta hamna kampun hyo inayofua umeme
So Richmond Ipo au Haipo Sasa na hii Symbion power sio zao LA kubadilibadili jina kutoka Richmond ?
Mkuu maswali yako hata siyaelewi....ila ujue tu kuwa jamaa kwa siku wanalipwa mil mia na kitu whelther wamewasha au hawajawasha mitambo. Acha kutetea uozo
This Symbion plant was once Richmond unayoisema ni hewa
Kwahiyo Kumbe ni uongo eeeeh?
Halafu Kuna mtu ametaka ushahidi swali langu mnapomjadili Lowasa juu ya utajiri wake mmeshawahi Kuweka USHAHIDI?