Rais Kikwete amethibitisha kuwa ni kigeugeu na ndumilakuwili

Rais Kikwete amethibitisha kuwa ni kigeugeu na ndumilakuwili

Kwani Jk sio Mtanzania?

Activister,

Ni Mtanzania lakini siyo Mzalendo.

Unaweza kuwa Mtz na usiwe Mzalendo. Tafuta maana ya neno Mzalendo ndipo utagundua kwamba Rais wako Kiwete hana hata chembe moja ya Uzalendo baali amejaa ubinafsi,unafiki,undumila kuwili,ufisadi na udikteta!

Kama kweli Rais Kiwete ni Mzalendo basi angelitanguliza maslahi ya nchi yake Tanzania kama Taifa badala ya kutanguliza maslahi ya Chama chake cha CCM!!! Kwamba Watanzania zaidi ya 60% wanataka Serikali TATU na wachache wanataka Serikali 2.

Kama unataka kujua Mzalendo wa kweli sikiliza na soma vitabu na hotuba za Baba wa Taifa. Kumbuka Nyerere aliunda Tume ya Rais ya kutafuta maoni ya Watanzania kuhusu Tanzania iwe na MFUMO GANI KATI YA CHAMA KIMOJA AU VYAMA VINGI. Taarifa ya Tume ya Rais ilikuja na Majibu ya asilimia 20 walitaka vyama vingi, na asilimia 20 walitaka chama kimoja.

Kwa hikima na busara Mwalimu aliamua kuwasikiliza wachache kwa vile aliona mbele kuwa tulikokuwa tunaelekea siasa za chama kimoja zilikuwa zimepitwa na wakti!! Hicho ni kipawa cha ajabu sana ambacho Mungu huwapa watu wachache hapa duniani!! Nasikitika kusema Kiwete hayuko kwenye kundi hili la wachache waliojaliwa vipawa vya Uongozi na Mwenye enzi Mungu!!
 
hivi huyu Kiwete si ndo alisema hamjui yule sheikh wa Richmond wala hana uhusiano naye halafu yule sheikh akaja akaenda ikulu kiwete akamkimbia au nimekosea? Usishangae hayo ndo mambo ya kuwa na rais mswahili!!!!!!!! anaongea halafu anasahau ameongea nini!

Blueband,

Uko sahihi mkuu. Ndiyo maana mimi namwita Rais Kiwete. Maana kwa uhalisia wa neno Kiwete ni mtu yule ambaye hajiwezi na anahitaji msaada!
 
mimi nadhani km ni ukigeugeu,unafiki,uongo,kejeli na uzandiki upo kwa dkt wa theology slaa(mpora wake za watu aliyefukuzwa upadri kwa kashfa ya ngono pamoja na mambo mengine),mifano ipi wazi na nitaeleza km ifuatavyo:-
awali,mpora wake za watu slaa alitangaza ktk uchaguzi uliopita kuwa serikali ya ccm imeleta contena la kura bandia kupitia mpaka wa mbeya na baada ya kuhojiwa na polisi akakiri kuwa ali"ropoka" na sikweli ila akaliomba jeshi la polisi liendelee na uchunguzi na baadae jeshi na yeye mwenyewe kujiridhisha ni uzandiki na uongo aliousema.
pili,alisema huyo dkt hewa kuwa hamtambui raisi kikwete kwani ktk uchaguzi huo uliopita amedai kura zake nyng zimechakachuliwa hivyi hatambui ushindi wa raisi kikwete lakini baadae siku zinavyoenda utamsikia akisema "tunamuomba raisi asipitishe muswaada wa katiba mpya kwani una utata"hapo anatambua kuwa kuna raisi na anamamlaka,lakini pia waliitwa zaidi ya mara mbili na wakanywa chai na juisi pale ikulu an kutoka amefurai kwlil kweli.
tatu,ukigeu geu mwingine ni wa slaa(simuiti dkt) baada ya kumsaliti mkewe wa ndoa ROSE KAMILI NA KUMPORA MPIGA KURA WAKE MKE(MSHUMBUSHI) na bila aibu eti viwanja vya jangwani akamtangaza hadharani huyu ndio mchumba wangu bila aibu zee la tkriban miaka 70 unakatangaza kabinti kadogo(sawa na mwanae tu wa mwisho km angezaa mapema).
nne,kigeugeu kingine cha wilbroad ni kukacha upadri na kukimbilia kuoa(kuendekeza tamaa za kingono),hivi utawezaje kukana "nadhiri" uliyoweka kwa Mungu wako kuwa utamtumikia milele na badae kumkacha Mungu???huu ni ukigeu geu mkubwa kwa Mungu,wakatoliki na watanzania kwa ujulma.
tano,ukigeu geu mwingine wa slaa ni kukisaliti chama chake kwa kuwa na card mbili za vyama tofauti ie ccm na cdm kwa pamoja,na hata alipoukuzwa alikiri kuwa anayo na anahaki ya kuwa nayo kwani kurudisha kadi si lazima.(kwa tafsiri yng ni bado anamapenzi na ccm chama chake cha awali kabla hajahama baada ya kutoswa kupitishwa kny kura ya maoni ya kuwania ubunge)huu si usaliti na uzandiki??
sita,ukigeu geu mwngne ni wa kugeuzia kibao wanaompa changamoto ktk chama km vile sarf,zitto,mkosamali,shibuda nk.hapo ni ukigeu geu kwani huwezi kushiriki kutunga na kuboresha katiba ya chama na baadae kuipinga katiba kwa kutumia ubabe,hasira na mamlaka kisa umechalengiwa na wanachama wenzio!!!


kwa ukige geu huu wa wilbroad slaa mara mia jk kikwete.
 
raisi kikwete na watanzana wengi tunahoji km warioba na tume yk alihoji watu laki tatu na walotaka serikali 3 n elfu arobaini na tsaba tu,watu wengi ni wapi???na nusu kati yao hawakugusia muungano!!!tunajua wariona toka enzi za G55 yeye na wenzake akina njelu kasaka walikuwa hawataki muungano na wlikuwa wanadai serikali ya tanganyika,nyerere akawatimulia mbali sas anarudisha hoja ile ile kwa mlango wa nyuma kwa kutumia uenyekiti wake kufavor maslahi yake na ya maswahiba wake!!!
 
mimi nadhani km ni ukigeugeu,unafiki,uongo,kejeli na uzandiki upo kwa dkt wa theology slaa(mpora wake za watu aliyefukuzwa upadri kwa kashfa ya ngono pamoja na mambo mengine),mifano ipi wazi na nitaeleza km ifuatavyo:-
awali,mpora wake za watu slaa alitangaza ktk uchaguzi uliopita kuwa serikali ya ccm imeleta contena la kura bandia kupitia mpaka wa mbeya na baada ya kuhojiwa na polisi akakiri kuwa ali"ropoka" na sikweli ila akaliomba jeshi la polisi liendelee na uchunguzi na baadae jeshi na yeye mwenyewe kujiridhisha ni uzandiki na uongo aliousema.
pili,alisema huyo dkt hewa kuwa hamtambui raisi kikwete kwani ktk uchaguzi huo uliopita amedai kura zake nyng zimechakachuliwa hivyi hatambui ushindi wa raisi kikwete lakini baadae siku zinavyoenda utamsikia akisema "tunamuomba raisi asipitishe muswaada wa katiba mpya kwani una utata"hapo anatambua kuwa kuna raisi na anamamlaka,lakini pia waliitwa zaidi ya mara mbili na wakanywa chai na juisi pale ikulu an kutoka amefurai kwlil kweli.
tatu,ukigeu geu mwingine ni wa slaa(simuiti dkt) baada ya kumsaliti mkewe wa ndoa ROSE KAMILI NA KUMPORA MPIGA KURA WAKE MKE(MSHUMBUSHI) na bila aibu eti viwanja vya jangwani akamtangaza hadharani huyu ndio mchumba wangu bila aibu zee la tkriban miaka 70 unakatangaza kabinti kadogo(sawa na mwanae tu wa mwisho km angezaa mapema).
nne,kigeugeu kingine cha wilbroad ni kukacha upadri na kukimbilia kuoa(kuendekeza tamaa za kingono),hivi utawezaje kukana "nadhiri" uliyoweka kwa Mungu wako kuwa utamtumikia milele na badae kumkacha Mungu???huu ni ukigeu geu mkubwa kwa Mungu,wakatoliki na watanzania kwa ujulma.
tano,ukigeu geu mwingine wa slaa ni kukisaliti chama chake kwa kuwa na card mbili za vyama tofauti ie ccm na cdm kwa pamoja,na hata alipoukuzwa alikiri kuwa anayo na anahaki ya kuwa nayo kwani kurudisha kadi si lazima.(kwa tafsiri yng ni bado anamapenzi na ccm chama chake cha awali kabla hajahama baada ya kutoswa kupitishwa kny kura ya maoni ya kuwania ubunge)huu si usaliti na uzandiki??
sita,ukigeu geu mwngne ni wa kugeuzia kibao wanaompa changamoto ktk chama km vile sarf,zitto,mkosamali,shibuda nk.hapo ni ukigeu geu kwani huwezi kushiriki kutunga na kuboresha katiba ya chama na baadae kuipinga katiba kwa kutumia ubabe,hasira na mamlaka kisa umechalengiwa na wanachama wenzio!!!


kwa ukige geu huu wa wilbroad slaa mara mia jk kikwete.

ambwilikiti,

Wewe kweli ni chizi au zezeta. Povu jingi na maneno lukuki lakini PUMBA TUPU! Napenda kukupa ushauri wa bure:


  1. Jikite kujadili hoja iliyopo mbele yako.
  2. Zungumza ISSUES usizungumze habari ya MTU.

Hiki ndicho kipimo cha mtu mwenye busara au GT! Kuzungumza habari na mambo binafsi ya Dr.Slaa kuhusu Upadri au NDOA yake inaonesha how shallow is your mind!! Badilika acha kukaririshwa kama KASUKU! Shame on you!
 
km mm ni chizi basi wewe ndo kaka mkuu wangu ktk shule hiyo ya machizi!!!hoja ni ukigeugeu wa jk,na mm nikakutolea mifano ya ukigeugeu wa bwana wako slaa!!!tatizo nn!!!???
huwezi kutenganisha maisha binafsi ya kiongozi na siasa zake,huyu ni public figure watu wanamtizama kwa jicho la tatu,zaidi ya maisha yk ya kawaida!!!utasemaje asijadiliwe!!!??hukuona clinton alivyokumbwa na kashfa ya monica lewsky chama chake kilitaka kumtimua???unajua kwa nn???yale si maisha yk binafsi???wangapi wamejiuzulu ama kuwajibishwa na vyama vyao baada ya kugundulika kuwa ktk maisha yao binafsi yameichafua na kuikiuka jamii???acha porojo zako za mtaani na usinipangie cha kujadili pumbafu!!!!!
 
Mtoa mada una upungufu mkubwa sana wa ufahamu. Ngoja nikupe somo kidogo. Mada yako imejikita kwenye hoja ya katiba. Well umeelezea jinsi Rais alivyotangaza kuwa anadhamiria kuunda tume itakayokusanya maoni ya wananchi juu ya katiba mpya. Ukaeleza kuwa Jaji Warioba ndiye aliyepewa kazi hiyo. Well umeeleza kuwa Warioba amefanya kazi yake vizuri kiasi cha kupongezwa na Rais Kikwete. Well ukasema kuwa wakati anaenda kulizindua Bunge Maalum ndipo hali ya hewa ilipochafuka hasa baada ya Rais Kikwete kukosoa Rasimu hiyo. Well ukasema kuwa Rais alieleza akiwa London Uingereza kuwa hana matatizo na mfumo wa serikali tatu ikiwa wananchi wataamua. Hizo ndizo hoja zako juu ya Rais Kikwete.

kwanza, unapaswa kuelewa kuwa msukumo wa kuwa na katiba mpya haukutokana na utashi wa serikali. Msukumo huo ulitokana na tamaa za madaraka za viongozi wa vyama vya upinzani. Ukumbuke kuwa CHADEMA hawakubaliki Zanzibar. Kwao Zanzibar haina umuhimu wala faida kwao. CHADEMA hawana hata mbunge mmoja kule. CUF haikubaliki zaidi Tanzania Bara. Kwa sasa ina wabunge watatu tu ambapo wawili ni wa kuchaguliwa tena wote wakitoka mkoa mmoja tu wa Lindi na mmoja ni wa viti maalum. CUF nguvu yao kubwa ipo visiwani Zanzibar tena kwenye kisiwa cha Pemba tu. Unguja hawana kabisa nguvu. Hivyo shinikizo la vyama hivi juu ya katiba mpya hususan huu muundo wa serikali tatu linatokana na tamaa ya madaraka. CHADEMA wanaamini kuwa ikiwa kutakuwa na serikali ya Tanganyika, wao wanaweza kushinda kwa kile wanachoamini kuwa wanakubalika zaidi Tanzania Bara japo uhalisia uliopo ni kwamba hiki ni chama cha Kaskazini. CUF nao wanaamini kuwa ikiwa katiba mpya itapatikana yenye muundo mwingine zaidi ya uliopo, ni kwamba wao wanaweza kupata fursa ya kutawala Zanzibar na shauku yao kubwa ni kuwa na nchi huru ya Pemba. Katika mazingira hayo, ni wazi kuwa vyama hivi vilizunguka mlango wa nyima ili kuirubuni tume ya Warioba ikubaliane na matakwa yao. Hapo Rais Kikwete alikuwa na haki ya kuonesha wasiwasi wake juu ya hiyo tume.

kuhusu kuipongeza tume na baadaye kuikosoa, ni jambo la kawaida kumpongeza mtu unapomtuma kazi na akaimaliza. Sasa unapoiangalia kazi uliyomtuma halafu ukagundua kuwa ina mapungufu mengi na pengine ameenda kinyume na maelekezo yako, je utaendelea kumsifia? Ni wazi kwamba utaikosoa kazi hiyo na kuonesha mapungufu yaliyopo. Ndivyo alivyofanya JK. Aliipokea Rasimu ile na akaipongeza tume kwa kazi waliyofanya. Ila baada ya kuipitia, akagundua mapungufu kadhaa ambayo ni vema kuyaeleza tena kwenye bunge ambalo ndilo lenye maamuzi ya mwisho juu ya Rasimu hiyo. Ningemshangaa sana Rais Kikwete kama angeyaona mapungufu hayo halafu akayanyamazia.

Kuhusu kauli yake kuwa yupo tayari kuunga mkono muundo wa serikali tatu ikiwa wananchi wataamua, well. Namponyeza pia kwa uamuzi huo. Ikiwa wananchi wote au kwa kiwango kikubwa tumekubaliana kuunga mkono muundo huo, ni wazi kuwa hata yeye Rais ataungana nasi kwa vile anajua kuwa ni maamuzi ya wengi. Ila haiingii akilini kati ya watu laki tatu walioohojiwa na Warioba, watu 47,000 waonekane ni wengi kuliko wale 300,000. Hapa ni wazi kuwa Warioba na timu yake wameonesha udhaifu wa hali ya juu sana. Katika hali hiyo, ni wazi kuwa Warioba amejitakia kudharauliwa si na Rais tu bali na kila anayeitakia mema nchi hii.

Kauli ya kinana nayo ni ya kuungwa mkono. Mathalan, Kinana amehoji wapi zimeenda takwimu za mabaraza ya kata na wilaya. Mbona taarifa zake hazikutolewa? Ni wehu tu na watu wenye upeo mdogo wa kufikiri kama mtoa mada ndio watakaomshambulia Kinana

Yaani shukuru niko kwa mfungo..vinginevyo ww ni bonge la l.o.f.a
 
Acha uwongo kila mtanzania alipigwa na bumbuwazi hata wanaomuunga mkoni, familia yake na chama chake je, Ulijuaje kla mtz alipigwa na bumbuwazi uliwapitia wote kukusanya maoni yao ....But umefanikiwa kufikisha ujumbe wa chama chaki na aliyekutuma.....ingejywa busara ungeleta hoja ya kueleza mashaka yako watu wachangie baadala yake umetoa hoja ya kumuhukumu Jk
 
km mm ni chizi basi wewe ndo kaka mkuu wangu ktk shule hiyo ya machizi!!!hoja ni ukigeugeu wa jk,na mm nikakutolea mifano ya ukigeugeu wa bwana wako slaa!!!tatizo nn!!!???
huwezi kutenganisha maisha binafsi ya kiongozi na siasa zake,huyu ni public figure watu wanamtizama kwa jicho la tatu,zaidi ya maisha yk ya kawaida!!!utasemaje asijadiliwe!!!??hukuona clinton alivyokumbwa na kashfa ya monica lewsky chama chake kilitaka kumtimua???unajua kwa nn???yale si maisha yk binafsi???wangapi wamejiuzulu ama kuwajibishwa na vyama vyao baada ya kugundulika kuwa ktk maisha yao binafsi yameichafua na kuikiuka jamii???acha porojo zako za mtaani na usinipangie cha kujadili pumbafu!!!!!

ambwilikiti;

Chizi au zezeta hawezi kuelemika hata ukimpeleka shule!
Kuna mengi sana yanayomhusu Rais wako Kiwete tunayajua kuhusu maisha yake binafsi na familia yake lakini TUMENYAMAZA maana hayana tija kwenye mijadala ya KISIASA.

Wazungu wanasema.''SHALLOW MIND DISCUSS PEOPLE BUT INTELLIGENT MIND DISCUSS ISSUES''. Jipime na uone uko kundi lipi kati ya Shallow minded people na Intelligent peope.

----- waheed!
 
Ha ha haaaaa eti "Kinena"!! Mkuu hapo umenichekesha...
Umeona eh? sijui kama mleta mada alikosea kwa makusudi au bahati mbaya. Anyway hilo nalo ni neno lenye maana fulani. Labda mleta mada atueleze zaidi maana ya neno hilo! kwa maana tunayoifahamu sisi wengine neno hili linachekesha, ndiyo lakini si neno zuri sana kwa maana ya kimuktadha.
 
Back
Top Bottom