Rais Kikwete atangaza nia ya kuanza kwa Ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha Kimataifa (SGR)

Rais Kikwete atangaza nia ya kuanza kwa Ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha Kimataifa (SGR)

Kama cost benefits za reli hujawahi kuijua mpaka sasa over other forms of massive cargo transportation, basi ni kazi bure kukupeleka darasani.

Acha uzembe kaka, malori yenu yapo barabarani then unataka kujenga reli. Weken poliy kwanza ndio mjenge reli ama mtaacha ife kama iliyopo. Issue ni kweli mna nia ya dhati kutumia reli? najua sana cost benefit ila shida mwanasiasa wako aliyepata hela ya dili kadanganywa malori ndio biashara akifika bungeni mwakyembe akisema reli na magufuyli barabara mnajua wanatka wagombee uraisi mnawapinga na kujua wanawakosehsa bniess.
 
Soma kichwa cha habari, mpango wa reli ya kati Kimataifa si Kitaifa. Hivi hizo shule mlisomea au mnasomea ujinga?
Sasa wewe una malengo ya reli ya kimataifa wakati reli ya kitaifa tu imekushinda, sasa hapo hata mbia au mtoa mkopo si-atasita.
Leo Kenya walicho anza ni ya Kitaifa mombasa to nairobi, ndio phase zingine zitafuata, basi na sisi na urasimu wetu, tungekuwa tumeisha anza hata kipande cha dar -moro, au hicho cha isaka kigali, lakini sisi tukaanza na kugawana trc kupitia rites
 
Rais Kikwete ametangaza nia ya kuanza kwa ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha kimataifa. Rais amesema reli nyembamba inapatikana eneo la Afrika Mashariki tu.

Mh. Rais kayasema hayo mkoani Simuyi wakati akiweka jiwe la msingi kuzindua ujenzi wa barabara itakayounganisha mkoa wa Simiyu na mikoa ya jirani.

CHANZO: ITV

MY TAKE:
Hivi hizi ahadi zinatekelezeka kweli??!!

Ni nia tu, nasikia leo kwa jirani wamechimbia jiwe la msingi.
 
- Upembuzi yakinifu umeshafanyika, na zinangojwa fedha tu, au hata kusoma kwako ni matatizo? Na nilikwambia hapo awali waliochelewesha ni Rwanda, kwa hiyo, Sitta kwa sasa yupo Burundi kuafikiana kila mmoja wao atachangia vipi bila kuwangoja Rwanda. Au nalo huelewi? Kwa akili yako wewe umeona upo hatua gani?

-Wajapani wana mapendekezo yao, Wachina wana mapendekezo yao na nnajuwa kuwa kuna kampuni ya Kirusi ina mapendekezo yao. Lakini kumbuka, hayo ni mapendekezo tu na hawajapewa kazi yoyote kuhusu huo mradi, kinachojulikana ni kuwa Kampuni ya Wacanada (Canarail) ndio walipewa kazi ya kuwa "consultants" na wamekamilisha "feasibility study". Upo?

Na hichi ndicho walichokifanya:

Review of existing technical reports completed by BNSF and CPCS;
Develop technical specifications for various gauge alternatives for the upgrade of an existing railway and construction of two new railways;
Review and refine DBI design of two new railways (to Rwanda and Burundi) to minimize earthworks volumes;
Develop Capital cost estimate (CAPEX) and operating cost estimate (OPEX);
Environmental and Social Impact Analysis;
Economic and financial analyses for both freight and passenger traffic on existing line (Tanzania) and future lines (Rwanda and Burundi);
Institutional analysis.
- See more at: Tanzania 09-064 - Canarail



-Hili swali lako la mwisho halina mantiki, linajibiwa na hilo la pili.

..JK and his gov are just too slow.

..MOU kati ya Tz,Brn,na Rw, ilisainiwa mwaka 2009 wakati Dr.Kawambwa ni waziri wa uchukuzi.

..sasa tangu wakati huo sisi tunatangaza "nia", mara tuko na Wachina, mara na Wajapan, haya na wewe umeibua madai kuwa Warusi nao wamo. yaani tumekuwa kama watu tuliochanganyikiwa.

..washirika wenzetu katika mradi huu wameona kuwa hatuko serious, na matokeo yake ni Rwanda kuamua kujenga reli kuelekea Uganda na Burundi.
 
..kipande kikubwa cha reli kiko upande wa Tanzania.

..pia kama Rwanda wameleta longolongo, mbona kipande cha kwenda Burundi nako hamna kinachoendelea?

..jamani kila siku ni maneno-maneno tu?? Tangu wakati waziri ni Dr.Kawambwa, akaja Omari Nundu, sasa hivi Dr.Mwakyembe, ni "nia", "nia", "nia."

..tukilemaa mpaka Rwanda na Burundi wakajenga reli kuelekea Uganda then Kenya, itakuwa ndiyo imetoka hiyo kwa upande wa Tanzania. Unless tutakuwa na pesa za kuwajengea reli mpaka Kigali na Bujumbura.

..lakini hata bila ya kufikiria ku-extend reli kwenda Kigali, bado pale Isaka kuna kituo[dry port] cha mizigo ya kwenda Rwanda. Lakini kwasababu reli ya kati imekufa basi kituo hicho nacho kimedorora.

Jokakuu;

Waambie kuwa hupingi anachosema JK. Unachotaka ni matokeo ya kile anachosema. Ujenzi wa miundo mbinu ya nchi isitegemee Burundi au majirani wa Tanzania wanataka nini.

Mikoa ya Kigoma, Rukwa, Kagera ina nguvu kubwa za kiuchumi kuliko Burundi na Rwanda Combined. JK na wenzake waache kutoa ahadi na kufanya vile mjerumani alivyoweza kufanya katika kipindi cha muda mfupi wa utawala wake.
 

JokaKuu hajakurupuka.
Link hiyo ni ya Tuesday, 15 January 2013 07:1 Kuwa na nia na kuhitimisha ni viwili tofauti.
Huko nyuma waziri mmoja alitetea ujenzi wa hekalu lake 600m kwa kusema alikuwa na mradi wa malori ya mizigo (Rwanda-DRC) yanayomwingizia $20000 kila safari. Si yeye pekee. Sasa unategemea ijengwe reli wapoteze hizo?
 
Rais lazima atangaze nia ndiyo ujenzi uanze bandari tayari wameishaingia mkataba na makampuni ya China wanajenga Bagamoyo.

Tanzania wanajenga airport Dar es Salaam Third Terminal kampuni mbili za Uingereza na Ujerumani wameishaingia mikataba.

Reli hiyo inajengwa mradi unaanza wakati wowote kuanzia sasa.

iringa Dodoma tulikua tunatumia siku nzima sasa hivi masaa matatu tu. honngera sana mheshimiwa RJMT. Raisi anazidi kuzindua miradi ya maendeleo wao wanazidi kukopeshana hela za saccos
 
so what exactly is your point...so you think kenyans they just woke up in the morning and started the project....try to to have an open mind with a positive attitude

..I don't think so.

..but I think we are too slow at seizing the opportunities that present themselves before us.

..back in 2009 we signed a MOU with Rwanda, and Burundi, to extend the central rail frm Isaka to Kigali[rwanda], and from Keza to Musongati[burundi].

..since then there has been no movement on Tanzanian side, so out of frustrations, Rwanda decided to spend the funds they have secured to construct a railway line connecting it with Uganda and Kenya, instead of Tanzania.

..Rwanda is landlocked and has a population of 11 million ppl, with the fastest growing economy in the east african region. There was an opportunity to make D'Salaam Rwandas port of choice, but we let that slip thru' our fingers.

..wakati huo huo Raisi wetu anaendelea kurudia kutangaza "nia" ya ujenzi wa reli.
 
..mkataba wa bandari ya Bagamoyo ulisainiwa wakati Raisi wa China ametembelea Tz.

..sasa tangu wakati Raisi wa China amekuja hapa ni muda gani?

..majuzi PM Pinda alikuwa China anazungumzia bandari ya Mtwara.

..hawa watu wako very efficient ktk kusafiri tu, lakini ni zero kwenye kufanya kitu kikaonekana.

..tukubali ukweli kwamba JK na serikali yake wako too slow, na ndiyo maana nikatoa mfano wa Raisi Uhuru Kenyatta.


mmmmmmmmmmmmmmmm
 
Kwa maoni yangu,serikali ya JK ingejitahidi kwanza kutimiza ahadi lukuki ilizozitoa wakati wa kampeni mwaka2010 badala ya kuendelea kutoa ahadi mpya
 
Kwa maoni yangu,serikali ya JK ingejitahidi kwanza kutimiza ahadi lukuki ilizozitoa wakati wa kampeni mwaka2010 badala ya kuendelea kutoa ahadi mpya
 
I feel like we are aping the Kenyans, especially given the timing.
 
Acha uzembe kaka, malori yenu yapo barabarani then unataka kujenga reli. Weken poliy kwanza ndio mjenge reli ama mtaacha ife kama iliyopo. Issue ni kweli mna nia ya dhati kutumia reli? najua sana cost benefit ila shida mwanasiasa wako aliyepata hela ya dili kadanganywa malori ndio biashara akifika bungeni mwakyembe akisema reli na magufuyli barabara mnajua wanatka wagombee uraisi mnawapinga na kujua wanawakosehsa bniess.

Tukiwa na usafiri wa reli itasaidia kupunguza gharama za usafirishaji. Ukiritimba wa malori ya vigogo nao utapungua. Malori hayo yana madhara makubwa kwa barabara zetu. Naona Kenyatta naye amezindua ukarabati wa reli. Ningependa kuona reli ya Tanga hadi Moshi inakarabatiwa vile vile.
 
Tukiwa na usafiri wa reli itasaidia kupunguza gharama za usafirishaji. Ukiritimba wa malori ya vigogo nao utapungua. Malori hayo yana madhara makubwa kwa barabara zetu. Naona Kenyatta naye amezindua ukarabati wa reli. Ningependa kuona reli ya Tanga hadi Moshi inakarabatiwa vile vile.

Jasusi

Naungana na wewe ni kweli reli ya kati itasaidia sana kukuza uchumi wetu itaunganisha mikoa ya kati mpaka kanda ya ziwa kusafirisha bidhaa.
 
Last edited by a moderator:
..JK and his gov are just too slow.

..MOU kati ya Tz,Brn,na Rw, ilisainiwa mwaka 2009 wakati Dr.Kawambwa ni waziri wa uchukuzi.

..sasa tangu wakati huo sisi tunatangaza "nia", mara tuko na Wachina, mara na Wajapan, haya na wewe umeibua madai kuwa Warusi nao wamo. yaani tumekuwa kama watu tuliochanganyikiwa.

..washirika wenzetu katika mradi huu wameona kuwa hatuko serious, na matokeo yake ni Rwanda kuamua kujenga reli kuelekea Uganda na Burundi.

Kama ni kauli ya dhati basi ni ya kupongeza lakini kwa udhoefu wangu ni kauli zilizozoeleka ambazo Watz tukiambiwa tunaridhika na maisha yanaendelea!

Nimekua natafakari sana hivi watu ambao tumefeli kuendesha Reli zilizopo,zikafa,tukashindwa kuzifufua! Tunayo miujiza gani ya kujenga Reli ya kisasa na kuiendesha kwa ufanisi?

Bila shaka waliopo madarakani sasa wameshindwa,na wale mbadala wanalumbana,hawakumbuki jukumu lao muhimu kuibana serikali iliyoko madarakani na kuonyesha njia mbadala za kupata ufumbuzi wa matatizo sugu yanayo likabili Taifa.
 
Back
Top Bottom