Rais Kikwete atangaza nia ya kuanza kwa Ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha Kimataifa (SGR)

Rais Kikwete atangaza nia ya kuanza kwa Ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha Kimataifa (SGR)

ingesaidia sana, kwanza ingepunguza malori njiani, ingepunguza makali ya maisha na ajali za barabaran zingepungaua, lakin mara nyingi viongoz wa afrika ni mashuhuri wa kutoa ahadi zisizotekelezeka. TUTAONA.
 
Mkuu JokaKuu

Tanzania hatufanyi mashindano na Kenya kila nchi inaangalia maitaji yake. Kenya wanahangaika wanajidanganya sana wakifanya miradi mingi watazidi kuwa super power afrika mashariki.

Wanaufanyia marekebisho ya uwanja wao Jomo Kenyatta airport kwa mwaka wawe wanapitisha watu milioni 40 hizo ni akili waka Dubai ndiyo wanakimbilia 40/50 sijui abiria watawatoa wapi, wanadhani kila siku Tanzania na Uganda watakuwa na airport mbovu.

Nampongeza rais wetu kwa ujenzi huo utapunguza gharama.

Unakosea ukifikiri kwamba Kenya inafanya mashindano na Tanzania. Au inajidanganya kwa kuboresha miundo mbinu. These two countries need to develop and fight poverty, irrespective of what the neighbor is doing. Ni kana kwamba unasema Kenya au Tanzania haitafanya miradi ya maendeleo kama nchi mojawapo kati ya hizi mbili haifanyi miradi ya maendeleo. Hii si sahihi. Or else, can you put any numbers to this? I mean, do you have any empirical evidence to support your hypothesis? Also there is a saying that 'if you think you can do a thing or think you can't do a thing, you are right'. Kenyans believe they can roll out this massive airport you are talking about. And they are right!
 
Last edited by a moderator:
Rais lazima atangaze nia ndiyo ujenzi uanze bandari tayari wameishaingia mkataba na makampuni ya China wanajenga Bagamoyo.

Tanzania wanajenga airport Dar es Salaam Third Terminal kampuni mbili za Uingereza na Ujerumani wameishaingia mikataba.

Reli hiyo inajengwa mradi unaanza wakati wowote kuanzia sasa.

Kwenye Blue hapo ndipo inanipa tabu sana kuamini majib ya serikali bungeni kupitia mawaziri wake. Nakumbuka bunge la bajeti lililopita wabunge walipohoji na kusema ni kioja kuanza kujenga bandari bagamoyo kabla ya kufufua reli ya kati, mawaziri wenye zamana husika walikanusha na kusema ujenzi wa bandari bagamoyo hili swala halipo na ni uzushi wa kumchonganisha Rais aonekane anapendelea nyumbani...... mh home sweet home.
 
rELI YA KATI NA tazara KWA SASA zipo dhhofurihali kwa sababu tu, hazipati mizigo ya bandarini. I tell u that hizo doallr 120 za malori toka bandarini mpaka AMI tbt ingepewa reli ya mwakyemebe kungekuwa hakuna migomo , na malori ya zambia yasingekuwa na issue iwapo TZR ingefanya kazi. Naona tunajenga ili tupate ten percent sio nia ya dhati ya kujenga. Wekeni POLICY kuwa hakuna mzigo utakaosaforishwa kwa lori ikiwa reli ipo karibu tuseme 50 km.
 
[h=1]Kenya launches new railway to reach South Sudan and Burundi[/h]
_71399901_railway.jpg
President Kenyatta (centre) launched the railway in Mombasa

Continue reading the main story[h=2]Related Stories[/h]

Kenya has formally launched a new, Chinese-financed railway which should extend across East Africa to reach South Sudan, DR Congo and Burundi.
The first section will link the Kenyan port of Mombasa to the capital, Nairobi, reducing the journey time from 15 hours to about four.
It is said to be the country's biggest infrastructure project since independence 50 years ago.
The cost of the railway will be $5.2bn (£3.2bn) - mostly funded by China.
Some Kenyans have complained that the contract was given to the Chinese state-owned China Road and Bridge Corporation (CRBC) without going to tender.
'Historic milestone'Continue reading the main story[h=2]"Start Quote[/h]
_71401983_71401982.jpg
The project will define my legacy as president of Kenya"
Uhuru Kenyatta

Kenyan President Uhuru Kenyatta and his Chinese counterpart Xi Jinping agreed the deal in August in Beijing.
It is also hoped that the railway will reduce congestion in Mombasa, one of Africa's busiest ports.
The current railway network dates back to the colonial era.
After the Nairobi section is finished, with completion due in 2017, it will be extended through Uganda, with branch lines west to Kisangani in the Democratic Republic of Congo, south through Rwanda to Burundi and north to South Sudan.
Passenger trains will travel at a top speed of 120 km/h (75 mph), while freight trains will have a maximum speed of 80 km/h.
"What we are doing here today will most definitely transform... not only Kenya but the whole eastern African region," President Kenyatta told crowds at the ceremony, calling it an "historic milestone", the AFP news agency reports.
"As a result East Africa will become a competitive investment destination," the agency quoted him as saying.
_71415092_african_railway_624map.gif

Earlier, he said the railway was one of the flagship projects of his government's ambitious Vision 2030 initiative to improve much-neglected infrastructure.
"The project will define my legacy as president of Kenya and it is my personal desire that the implementation is done to the standard," he said in a statement on Wednesday after meeting CRBC officials.
He also thanked the Chinese government for the "massive infrastructural projects in the country", which "reduced the cost of doing business and created employment through increased investments".
Kenya would be working closely with Uganda and Rwanda during the first phase, which would boost ties between the neighbours, he added.
"Kenya will fully meet its obligations towards the project. I will personally oversee its implementation," Mr Kenyatta said.
 
Eti wakenya walikuja kwa Speech ya JK, hiyo ilikuwa si kweli, wao walikuja kwa ajili ya kuwa support ICC na wakishamaliza wanatupa jongoo na mti wake.
Hapa viongozi inabidi waache mambo ya nia, inatakiwa tujifunze kuanza kui implement project haraka iweekanavyo.
 
[h=1]Kenya launches new railway to reach South Sudan and Burundi[/h]
_71399901_railway.jpg
President Kenyatta (centre) launched the railway in Mombasa

Continue reading the main story[h=2]Related Stories[/h]

Kenya has formally launched a new, Chinese-financed railway which should extend across East Africa to reach South Sudan, DR Congo and Burundi.
The first section will link the Kenyan port of Mombasa to the capital, Nairobi, reducing the journey time from 15 hours to about four.
It is said to be the country's biggest infrastructure project since independence 50 years ago.
The cost of the railway will be $5.2bn (£3.2bn) - mostly funded by China.
Some Kenyans have complained that the contract was given to the Chinese state-owned China Road and Bridge Corporation (CRBC) without going to tender.
'Historic milestone'Continue reading the main story[h=2]"Start Quote[/h]
_71401983_71401982.jpg
The project will define my legacy as president of Kenya"
Uhuru Kenyatta

Kenyan President Uhuru Kenyatta and his Chinese counterpart Xi Jinping agreed the deal in August in Beijing.
It is also hoped that the railway will reduce congestion in Mombasa, one of Africa's busiest ports.
The current railway network dates back to the colonial era.
After the Nairobi section is finished, with completion due in 2017, it will be extended through Uganda, with branch lines west to Kisangani in the Democratic Republic of Congo, south through Rwanda to Burundi and north to South Sudan.
Passenger trains will travel at a top speed of 120 km/h (75 mph), while freight trains will have a maximum speed of 80 km/h.
"What we are doing here today will most definitely transform... not only Kenya but the whole eastern African region," President Kenyatta told crowds at the ceremony, calling it an "historic milestone", the AFP news agency reports.
"As a result East Africa will become a competitive investment destination," the agency quoted him as saying.
_71415092_african_railway_624map.gif

Earlier, he said the railway was one of the flagship projects of his government's ambitious Vision 2030 initiative to improve much-neglected infrastructure.
"The project will define my legacy as president of Kenya and it is my personal desire that the implementation is done to the standard," he said in a statement on Wednesday after meeting CRBC officials.
He also thanked the Chinese government for the "massive infrastructural projects in the country", which "reduced the cost of doing business and created employment through increased investments".
Kenya would be working closely with Uganda and Rwanda during the first phase, which would boost ties between the neighbours, he added.
"Kenya will fully meet its obligations towards the project. I will personally oversee its implementation," Mr Kenyatta said.

Where is Tanzania on the map?

Mr.Kikwete i need your answer here!
 
Mkuu JokaKuu

Tanzania hatufanyi mashindano na Kenya kila nchi inaangalia maitaji yake. Kenya wanahangaika wanajidanganya sana wakifanya miradi mingi watazidi kuwa super power afrika mashariki.

Wanaufanyia marekebisho ya uwanja wao Jomo Kenyatta airport kwa mwaka wawe wanapitisha watu milioni 40 hizo ni akili waka Dubai ndiyo wanakimbilia 40/50 sijui abiria watawatoa wapi, wanadhani kila siku Tanzania na Uganda watakuwa na airport mbovu.

Nampongeza rais wetu kwa ujenzi huo utapunguza gharama.
sijui hata nianzie wapi kukujibu? kwanza ulitaka wapanue uwanja wa jomo Kenyatta kupitisha abiria wangapi? milioni 6? iyo inaitwa long time plan. kiasi kwamba kutokana na population growth na ukuaji wa uchumi uwanja hautohitaji kupanuliwa ndani ya miaka hata ishirini. fikra kama zako ndo maana leo morogoro road inabomolewa na kujengwa upya hata miaka kumi tu hazijapita, ushajiuliza ni kiasi gani cha hela kilichopotea hapo? kingine: NDIO Ni kweli kwamba kwa kufanya miradi mingi na kuikamilisha kwa wakati kenya watazidi kuwa super power afrika mashariki. we ulidhania nini inafanya taifa kuwa super power? kupiga domo na ufisadi? miundo mbinu ndo uti wa mgongo wa uchumi popote duniani miundo mbinu ikiimarishwa vingine vyote ujuavyo wewe vitafata. so unavyosema wanajidanganya....... sijui nikuweke katika kundi gani kaka!!
 
JokaKuu hajakurupuka.
Link hiyo ni ya Tuesday, 15 January 2013 07:1 Kuwa na nia na kuhitimisha ni viwili tofauti.
Huko nyuma waziri mmoja alitetea ujenzi wa hekalu lake 600m kwa kusema alikuwa na mradi wa malori ya mizigo (Rwanda-DRC) yanayomwingizia $20000 kila safari. Si yeye pekee. Sasa unategemea ijengwe reli wapoteze hizo?

Uwe na nia na uhitimishe siku hiyo hiyo? hata wewe ulipotiliwa nia ilichukuwa miezi tisa kuhitimisha kuzaliwa kwako, unalijuwa hilo?
 
..JK and his gov are just too slow.

..MOU kati ya Tz,Brn,na Rw, ilisainiwa mwaka 2009 wakati Dr.Kawambwa ni waziri wa uchukuzi.

..sasa tangu wakati huo sisi tunatangaza "nia", mara tuko na Wachina, mara na Wajapan, haya na wewe umeibua madai kuwa Warusi nao wamo. yaani tumekuwa kama watu tuliochanganyikiwa.

..washirika wenzetu katika mradi huu wameona kuwa hatuko serious, na matokeo yake ni Rwanda kuamua kujenga reli kuelekea Uganda na Burundi.

Unajuwa "feasibility study" imefanywa na wa Canada imechukuwa muda gani kutoka 2009?

Unafikiri hiyo ni ndoto ya alinacha? unaota na hapo hapo inakuwa?
 
Unajuwa "feasibility study" imefanywa na wa Canada imechukuwa muda gani kutoka 2009?

Unafikiri hiyo ni ndoto ya alinacha? unaota na hapo hapo inakuwa?


..kwani wenzetu walifanya lini feasibility study yao?

..inaelekea JK haiwezi kasi ya Kagame na Kenyatta.
 
Rais lazima atangaze nia ndiyo ujenzi uanze bandari tayari wameishaingia mkataba na makampuni ya China wanajenga Bagamoyo.

Tanzania wanajenga airport Dar es Salaam Third Terminal kampuni mbili za Uingereza na Ujerumani wameishaingia mikataba.

Reli hiyo inajengwa mradi unaanza wakati wowote kuanzia sasa.

Haya yote yakifanyika kabla ya mwaka 2015 basi kura yangu ya rais nawapa CCM ila mbunge lazima nichague wa upinzani, no way.
 
..I don't think so.

..but I think we are too slow at seizing the opportunities that present themselves before us.

..back in 2009 we signed a MOU with Rwanda, and Burundi, to extend the central rail frm Isaka to Kigali[rwanda], and from Keza to Musongati[burundi].

..since then there has been no movement on Tanzanian side, so out of frustrations, Rwanda decided to spend the funds they have secured to construct a railway line connecting it with Uganda and Kenya, instead of Tanzania.

..Rwanda is landlocked and has a population of 11 million ppl, with the fastest growing economy in the east african region. There was an opportunity to make D'Salaam Rwandas port of choice, but we let that slip thru' our fingers.

..wakati huo huo Raisi wetu anaendelea kurudia kutangaza "nia" ya ujenzi wa reli.

Sisi tumebaki na siasa za maji taka tu serikali kukimbizana na CDM
that's all.
Wenzetu wanafanya sisi tunaongea.
Ni nini kilisababisha ujenzi wa reli from Tz(Isaka) to Kigali (Rwanda) ukaishia hewani mpaka leo hii Rwanda wameungana na Kenya na Uganda kutengeneza reli??

Huu ndiyo unaoitwa UJINGA wa viongozi wa Tanzania, kufikiria kwa kutumia TUMBO.

Kwa mtindo huu Wakenya watatuongoza milele na tutakuwa watumwa wao TU.
cc: Ritz
 
Last edited by a moderator:
Mkuu JokaKuu

Tanzania hatufanyi mashindano na Kenya kila nchi inaangalia maitaji yake. Kenya wanahangaika wanajidanganya sana wakifanya miradi mingi watazidi kuwa super power afrika mashariki.

Wanaufanyia marekebisho ya uwanja wao Jomo Kenyatta airport kwa mwaka wawe wanapitisha watu milioni 40 hizo ni akili waka Dubai ndiyo wanakimbilia 40/50 sijui abiria watawatoa wapi, wanadhani kila siku Tanzania na Uganda watakuwa na airport mbovu.

Nampongeza rais wetu kwa ujenzi huo utapunguza gharama.

Linganisha uwanja wa Dar na Jomo Kenyata!!!
 
Sisi tumebaki na siasa za maji taka tu serikali kukimbizana na CDM
that's all.
Wenzetu wanafanya sisi tunaongea.
Ni nini kilisababisha ujenzi wa reli from Tz(Isaka) to Kigali (Rwanda) ukaishia hewani mpaka leo hii Rwanda wameungana na Kenya na Uganda kutengeneza reli??

Huu ndiyo unaoitwa UJINGA wa viongozi wa Tanzania, kufikiria kwa kutumia TUMBO.

Kwa mtindo huu Wakenya watatuongoza milele na tutakuwa watumwa wao TU.
cc: Ritz

Without forgetting ZeMarcopolo,
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom