Kitwa-Mulomoni
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 1,779
- 1,119
Watanzania wamekataa kupandikiziwa Saliti na mabeberu basi! Mbona Lowassa alipewa kura nyingi? Lakini huyu wenu ninaimani hata Mbowe hakjmpa kura yake! Ni aibu, aibu wasirudie tena kutuletea kibaraka.Hakuna uchaguzi umefanyika Tanzania zaidi ya CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi huu kwa njia haramu za kishetani