minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Hakusema atakufa bali kaamanisha kuna uchaguzi wa marudio acha kumsingizia uongo.Dua la kuku! Magu akifa atakuwa kiongozi wa malaika, wewe unaemuombea mabaya utakuwa unaungua motoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakusema atakufa bali kaamanisha kuna uchaguzi wa marudio acha kumsingizia uongo.Dua la kuku! Magu akifa atakuwa kiongozi wa malaika, wewe unaemuombea mabaya utakuwa unaungua motoni.
Hata akiapishwa Chatto itatusaidia nini?Rais anayeongoza muhula wa 2020 – 2025 anakuwa ni Rais wa kwanza kuapishwa katika Makao Makuu ya nchi, ambayo ni Dodoma.
Miaka ya awali marais waliokuwa wakichaguliwa katika Uchaguzi Mkuu walikuwa wakiapisha katika mji maarufu wa Kibiashara, Dar es Salaam.
Mwaka 2020, Dkt. John Magufuli katika kuapa kwa kuongoza katika muhula wake wa pili ataapa katika viwanja vya Jamhuri jijini Dodoma, Novemba 5.
Huenda ukatangulia mara baada tu ya kuapishwa kwake leo.Na ndio rais wa kwanza hata maliza miaka 10 katika utawala wake.
😂😂😂 Sasa biden ni ndugu yenu au .? Yani Kuna raia waliumbiwa kujipendekeza tu!Bora ilivyoamuliwa huko,maana Mji wa salama ungeingia balaa ,ni bora wanafikiane huko dodoma.
CCM hamkushinda na ombeni ashinde Trumph ila akishinda Biden CCM mumeumia ,beberu lazima atawapanda magombe.
CCM ni wengi lakini siyo wapiga kura kwani watanzania wasio na itikadi hasa watumishi wa umma walionywimwa nyongeza za mishahara kwa mda wa miaka mitano nao ni wengi mno plus CCM wenye vilio moyoni waliodhulumiwa pesa zao BOT, waliobambikiwa kodi na TRA wakapewa kesi za uhujumu uchumi, wapo CCM wengi wanaotaabika moyoni lakini wanashindwa kutoka CCM kwa hofu za kubambikiwa kesi wakafirisiwa mali zao kabsa.Sasa kama unajua kuwa CCM ni wengi, hayo matumaini ya kushinda uchaguzi mlikuwa mnayatoa wapi?
CCM wakienda kuomba omba misaada America huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga upumbavu unyanyasaji uonevu mateso ya CCM kwa wapinzani ndipo CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike.😂😂😂 Sasa biden ni ndugu yenu au .? Yani Kuna raia waliumbiwa kujipendekeza tu!
Leo vifaru na midege ya kivita inazunguka huko.Rais anayeongoza muhula wa 2020 – 2025 anakuwa ni Rais wa kwanza kuapishwa katika Makao Makuu ya nchi, ambayo ni Dodoma.
Miaka ya awali marais waliokuwa wakichaguliwa katika Uchaguzi Mkuu walikuwa wakiapisha katika mji maarufu wa Kibiashara, Dar es Salaam.
Mwaka 2020, Dkt. John Magufuli katika kuapa kwa kuongoza katika muhula wake wa pili ataapa katika viwanja vya Jamhuri jijini Dodoma, Novemba 5.
Angalau ile tarehe 2 Ubungo & Buguruni viongozi na wakareketwa wenu wote "Mange-hana-amani" kwenda ofisi za Tume kama mlivyodai na kupanga eti mtafanya ikibainika kwamba uchaguzi siyo "free, fair na credible," basi hii kauli yako ingekuwa na nguvu kiasi.Kibaka wa wizi wa kura nae anaitwa Rais?
Chama cha Demoghasia & Maombolezo wakimkodi Mwasisiemu Lowassa ili awasaidie kutafuta idadi nyingi za kura ili uwepo uwezekano mkubwa wa kupata ruzuku nono, basi wanamsifia na kumsafisha na kumnasibisha; akiwa upande ule mwingine wanasusia, na kumfifisha na kumdhalilisha na kumweka kwenye "LIST OF SHAME."CCM wakienda kuomba omba misaada America huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga upumbavu unyanyasaji uonevu mateso ya CCM kwa wapinzani ndipo CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike
Kaunganeni na trump kulalamikia wizi wa kura.Mlikuwa mnashadadia matamko uchwara kutoka huko,mkiamini kuwa wao ni wakamifu.Haya hayo manung'uniko ya trump ni ya nini katika nchi yenye demokrasia iliyokomaa (kama mnavyodai nyinyi)?CCM wakienda kuomba omba misaada America huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga upumbavu unyanyasaji uonevu mateso ya CCM kwa wapinzani ndipo CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike
minyoo na wenzake wanahitaji ukombozi wa kifikira.Chama cha Demoghasia & Maombolezo wakimkodi Mwasisiemu Lowassa ili awasaidie kutafuta idadi nyingi za kura ili uwepo uwezekano mkubwa wa kupata ruzuku nono, basi wanamsifia na kumsafisha na kumnasibisha; akiwa upande ule mwingine wanasusia, na kumfifisha na kumdhalilisha na kumweka kwenye "LIST OF SHAME."
Wachangiaji wengine hovyo kabisa, yaani mtu anawezaje kupinga hoja hapohapo, halafu akashindwa kuleta wazo mbadala. Huu upingaji wa kila kitu ndiyo umefanya wananchi wamewakataeni kwenye sanduku la kura.Katiba yetu hovyo kabisa, yaani mtu anakuwa hapo hapo Rais, halafu hapo hapo Rais mteule!
Lowasa alishinda uchaguzi 2015 mkampora kama mlivyoupora huu wa sasa, maombolezo yaliyopo CHADEMA ni juu ya udhalimu wa CCM kuwabambikia kesi kuwapiga risasi na manyanyaso mengi.Chama cha Demoghasia & Maombolezo wakimkodi Mwasisiemu Lowassa ili awasaidie kutafuta idadi nyingi za kura ili uwepo uwezekano mkubwa wa kupata ruzuku nono, basi wanamsifia na kumsafisha na kumnasibisha; akiwa upande ule mwingine wanasusia, na kumfifisha na kumdhalilisha na kumweka kwenye "LIST OF SHAME."
Ana watu wake,hawezi kuwa baba wa wote maana ni mbaguzi mnooo!nina imani wasaidizi wamehakiki hotuba yake ili awe Baba na tumaini la wote
Biden hana NEC, Tume, wakurugenzi, Polisi yeye alikuwa chama cha upinzani, uchaguzi wa America ni tofauti na uchaguzi wa Tanzania kwani uchaguzi wa Tanzania ni Analogia na uchaguzi wa America ni Digital,Kaunganeni na trump kulalamikia wizi wa kura.Mlikuwa mnashadadia matamko uchwara kutoka huko,mkiamini kuwa wao ni wakamifu.Haya hayo manung'uniko ya trump ni ya nini katika nchi yenye demokrasia iliyokomaa (kama mnavyodai nyinyi)?
"Mheshimiwa Rais Magufuli, hongera sana kwa kazi nzuri uliyoifanya kwa Watanzania. Chapa kazi, endelea hivyohivyo kuwabana wala usirudi nyuma. Mimi nisingeweza kabisa kufanya kama wewe ulivyofanya! Sisiemu hoyee! Sisiemu hoyee! Asanteni sana. Sasa nimerudi nyumbani, najisikia raha sana." ~ Mstaafu Lowassa.Lowasa alishinda uchaguzi 2015 mkampora kama mlivyoupora huu wa sasa, maombolezo yaliyopo chadema ni juu ya udhalimu wa CCM kuwabambikia kesi kuwapiga risasi na manyanyaso mengi
Kusiko na CCM huwa hapeleki maendeleo licha ya walipa kodi kutoa pesa zaoAna watu wake,hawezi kuwa baba wa wote maana ni mbaguzi mnooo!
Kuchapa kazi ni kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani? Unajisikia raha sana kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge siyo? Unasikia raha kutafuna trilion 1.5 kisha kumtoa kafara CAG?"Mheshimiwa Rais Magufuli, hongera sana kwa kazi nzuri uliyoifanya kwa Watanzania. Chapa kazi, endelea hivyohivyo kuwabana wala usirudi nyuma. Mimi nisingeweza kabisa kufanya kama wewe ulivyofanya! Sisiemu hoyee! Sisiemu hoyee! Asanteni sana. Sasa nimerudi nyumbani, najisikia raha sana." ~ Mstaafu Lowassa.