Uchaguzi 2020 Rais kuapishwa Dodoma kwa mara ya kwanza

Uchaguzi 2020 Rais kuapishwa Dodoma kwa mara ya kwanza

Biden hana NEC, Tume, wakurugenzi, Polisi yeye alikuwa chama cha upinzani, uchaguzi wa America ni tofauti na uchaguzi wa Tanzania kwani uchaguzi wa Tanzania ni Analogia na uchaguzi wa America ni Digital,

Malalamiko ya Trump hayana polisi watu kama ilivyokuwa kwa Zanzibar wala wabunge wa upinzani kukamatwa na Polisi siku ya uchaguzi, hawana malalamiko ya mawakala kutolewa nje kukamatwa kunyanyaswa na polis acha kufananisha manyanyaso ya Polisi na huko America
Basi acheni kukimbilia Urais, anzeni na katiba mpya kwanza
 
Aingie mtaani Dar kama ye kidume kweli...aje ye mwenyewe bila SMG wala makomandoo hapa Kariakoo...

Just kidding
[emoji1787][emoji1787]
 
Kwenye izo sherehe za kuapishwa Lissu kakaa upande upi hapo jukwaa kuu?
 
Huyu Gerson Msigwa ana maneno ya kike kike Sana uchaguz umeisha vijembe vya nini Sasa,huyu siku Magufuli akitoka madarakan ataishi maisha ya digidigi Sana.,maana kila saa anakazania kusema magu kashinda kwa kura nyingi sijui mabalozi wamekubali ushindi wa Magu yaan Kama anataka kuforce kuhalalisha ushind wa Magu sijui ana wasiwasi gani
 
Watanzania wa wapi unawasemea? Labda watanzania unaoshinda nao ukivuta Bangi hapo gheto kwa cyprian Musiba, kuna usaliti kama kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge? Kupiga Trilion 1.5 kisha kumtoa CAG kafara? Kununua Ndege kifisadi kupiga 10% cash ? Wapi mikataba mipya ya madini?

CCM mkienda ulaya kuomba omba misaada kwa wazungu huwaita wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga upumbavu dhuluma uonevu mateso ya CCM kwa wapinzani hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike.
Daaa.hahahahaa.unasumu
 
CAG alistaafu kwa mujibu wa sheria. Trilioni 1.5 ziko well-accounted for. Uwanja wa Chato ni sehemu ya maendeleo kama ule wa Dodoma I Airport ama JNIA na KIA.

Wenye kesi mahakamani ni wale mafisadi, wauzaji wa madawa ya kulevya, na wahujumu uchumi mliozunguka Tanzania nzima mkidai mngeshika dola wakati uleee eti mngeanzisha mahakama za rushwa na uhujumu uchumi.

Au mlikuwa mnawadanganya Watanzania ili tu mpate ridhaa ya kwenda kuchota ruzuku??? Hiyo ndiyo tofauti mojawapo kubwa kati ya mchapakazi, mzalendo JPM na nyie wababaishaji. Maneno mengi, hakuna matendo.
Kamandiohivyo.bc.ccm.itaendeleakubaki.madarakani.mm.sikujua.kamatanzania.wajinga.kamanyinyi.badompo.
 
Ninajua muelekeo wa siasa wa CCM, hawa wengine sijui msimamo wao - Yoweri Kaguta Museven
 
Ukombozi wa Africa, Mnisamehe huwa natazama TV yenu ya tbc1, uchaguzi wa 2015 nilikua na hofu kubwa sana..... safari niliweka tbc1 nikaona HAI, majimbo mengine Newela nikashangaa.... Vijana lazima murithi uzalendo wa viongozi waliotutangulia wakina mwalimu Nyerere

Prosperity au ustawi haiwezi kutoka kwenye kuomba, inatoka kwenye uzalishaji mali wa bidhaa na huduma

Strategic security ya Africa - tunatakiwa kujua hii security itatoka wapi hiki ni kingine

Na Yoweri Kaguta Museven
 
Tulipotoka kwenye mkutano wa SADC tulikubaliana hata wanawake tuoae hapa😍

Rais wa Comoro Azali Assoumani
 
Ukombozi wa Africa, Mnisamehe huwa natazama TV yenu ya tbc1, uchaguzi wa 2015 nilikua na hofu kubwa sana..... safari niliweka tbc1 nikaona HAI, majimbo mengine Newela nikashangaa.... Vijana lazima murithi uzalendo wa viongozi waliotutangulia wakina mwalimu Nyerere

Prosperity au ustawi haiwezi kutoka kwenye kuomba, inatoka kwenye uzalishaji mali wa bidhaa na huduma

Strategic security ya Africa itatoka wapi hiki ni kingine

Na Yoweri Kaguta Museven
Maneno kuntuuu
 
Back
Top Bottom