mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Sisi huko Zimbabwe tunaiona Tanzania kama baba na mama wa uhuru wetu. Nchi nyingi za kusini Me a Tanzania zilikua hapa, Tanzania imekua mwamba wa uzalendo.
Zimbabwe tunamshukuru tunamshukuru rais Magufuli sababu alisema tarehe 25 October kuwa siku ya kupinga vikwazo
Wakati tulipokua na umeme makali sana Tanzania ilitupa msaada wa mahindi, wananchi Tanzania ni wananchi wa Zimbabwe. Wote mnakaribishwa Zimbabwe
Na rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa
Zimbabwe tunamshukuru tunamshukuru rais Magufuli sababu alisema tarehe 25 October kuwa siku ya kupinga vikwazo
Wakati tulipokua na umeme makali sana Tanzania ilitupa msaada wa mahindi, wananchi Tanzania ni wananchi wa Zimbabwe. Wote mnakaribishwa Zimbabwe
Na rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa