Naona Chademabeberu wanachonga mno hahahaha
Na ndio Rais wa kwanza hatamaliza miaka 10 katika utawala wake. Tusubiri vikwazo.
Jina limewafaa 😁😁Chama cha Demoghasia & Maombolezo asante sana mkuu kwa jina zuri la chama cha manyumbu!
. Marudio kwani imekuwa mechiHakusema atakufa bali kaamanisha kuna uchaguzi wa marudio acha kumsingizia uongo.
Mtafanya maombi yote lkn hamna hata ombi litakalojibiwa 🤣🤣🤣🤣🤣Bora ilivyoamuliwa huko,maana Mji wa salama ungeingia balaa ,ni bora wanafikiane huko dodoma.
CCM hamkushinda na ombeni ashinde Trumph ila akishinda Biden CCM mumeumia ,beberu lazima atawapanda magombe.
Mkuu acha ushabiki wakindezi mmeshinda wapi au unajitoa ufahamuLowasa alishinda uchaguzi 2015 mkampora kama mlivyoupora huu wa sasa, maombolezo yaliyopo CHADEMA ni juu ya udhalimu wa CCM kuwabambikia kesi kuwapiga risasi na manyanyaso mengi.
Wewe mbweha uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho? Kipimo cha ufala mbumbumbu juha zuzu hapa JF huwa ni kuisengenya ID ya JF ambayo haitokani na ubatizo msikitini wala kanisani, ndiyo maana ID yako ni ya kishamba kidwanzi lakini hakuna mtu anahangaika nayo watu wapi busy na mada , kama huna Hoja nenda kaendelee kuvuta Bangi hapo gheto kwa Cyprian Musiba kwanza waache CCM wenye Akili wajenge Hoja.Naona bwana #minyoo anawapelekesha wenzie kiminyoo minyoo
Wewe mbweha CCM wamekuokota gheto kwa cyprian Musiba ukiwa unavuta Bangi unawezaje kujua aliyejitoa fahamu? Wakati wewe mwenyewe huna fahamu.. Mkuu acha ushabiki wakindezi mmeshinda wapi au unajitoa ufahamu
Eti na wewe ni mtetezi wa CCM mitandaoni? CCM acheni kuwaleta wavuta Bangi kuja kusumbua watu mitandaoni, tafuteni vijana wenye Akili timamu. Mtafanya maombi yote lkn hamna hata ombi litakalojibiwa 🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe ni mnufaika wa Trilion 1.5 ndiyo maana umejitoa fahamu kutetea huo ufisadiCAG alistaafu kwa mujibu wa sheria. Trilioni 1.5 ziko well-accounted for. Uwanja wa Chato ni sehemu ya maendeleo kama ule wa Dodoma I Airport ama JNIA na KIA.
Wenye kesi mahakamani ni wale mafisadi, wauzaji wa madawa ya kulevya, na wahujumu uchumi mliozunguka Tanzania nzima mkidai mngeshika dola wakati uleee eti mngeanzisha mahakama za rushwa na uhujumu uchumi.
Au mlikuwa mnawadanganya Watanzania ili tu mpate ridhaa ya kwenda kuchota ruzuku??? Hiyo ndiyo tofauti mojawapo kubwa kati ya mchapakazi, mzalendo JPM na nyie wababaishaji. Maneno mengi, hakuna matendo.