Serikali ina kazi kweli kweli kufuga watu wa kariba yako , natamani kuwa na moyo kama wa serikaliKwenye ubora wao UTO
USM ALGER DAMU
BA NTWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali ina kazi kweli kweli kufuga watu wa kariba yako , natamani kuwa na moyo kama wa serikaliKwenye ubora wao UTO
USM ALGER DAMU
BA NTWA
Mzee kwani hujui huyo bwana mwijuma ni shabiki wa simba kindakindaki...juzi msanii yule kule kwa madiba alikuwa kanuna muda wote wakati Yanga wanajilia vyao ugenini na watu wote wanafuraha na kushangilia yeye na macho yake kama karunguyeye kasoro yeye white anaangalia anagalia tu huku na huko utadhania kuna jambo limemkuta,alikuwa hajielewi hata kwa nini yupo uwanjani.!mdau mmoja akaniambia huyo ni kolo kindaki ndaki sema bongo dukna kachukua wizara kisela.
Hivi yanga mnaumia nini mkisikia kwamba Simba amewahi kucheza fainali ya mashindano ya Afrika?Imagine kwenye mazungumzo na ivona Karia akaona ndio mahali pa kukumbusha kuwa Simba ndio ya kwanza kufika final ya hili kombe huku akijua wazi au pia inawezekana hajui kuwa hili ni kombe tofauti kabisa
Na media nyingi kwa Sasa wameelekeza bidii kuonesha kuwa kilichofanywa na Yanga ni kitu Cha kawaida
Maana imefichwa kwa ajili ya werevu kwa faida ya wajingaRais aliteleza tu, kuiongelea vizuri ndio maana yake nini?
Tuonyeshe medali za simba baada ya kuwa mshindi wa piliHivi yanga mnaumia nini mkisikia kwamba Simba amewahi kucheza fainali ya mashindano ya Afrika?
Ndio yalikuwa mashindano ya Afrika.Na kama mnadhani yalikuwa na timu dhaifu,mtakuwa mnajidanganya kwani hakukuwa na timu inayoshuka daraja kama Marumo.Marumo ni sawa kabisa na Ruvu shooting Barcelona ya bongo.
Mfano wako sio sawa, kombe aliloshiriki Simba sio hili full stop. Ameshiriki kombe la CAF. Unajua ni Kwanini caf alilibadilisha kwa kuliunganisha na kombe lingine? Kwanini CAF iliyaunganisha makombe? Maana yake kombe la CAF lilikuwa dhaifu na hafifuUfafanuzi tumeshautoa sana humu ndani na tuliwapa link kabisa za CAF ila kwa kuwa ukweli hauendani na kile mngependa kusikia basi mnaendelea kubisha.
Ni hivi, Kombe la Shirikisho la sasa hivi ni muunganiko wa Kombe la CAF, hilo ambalo Simba walifika fainali, na kombe la Washindi. Kwa hiyo kihadhi Kombe la sasa haliwezi kuwa tofauti sana na yale ya nyuma. Nikikupa mfano, wewe hapo ni zao la muunganiko wa Baba na Mama yako, je wewe uko zaidi yao?
Na body language yake ilijaa dhihaka kana kwamba anataka kubeza ila kwa mbali nafasi yake anaona aibu Karia anaichukia yanga kuliko USMA .Hakina Msomali na wenzake ni wahuni waliojificha kwenye uongozi wa soka
Karia anajua kabisa haya ni makombe mawili tofauti ,haiwezekani yanga msimu ujao afike final ya Cafcl useme hii ni mara ya pili kwa Tanzania kuingia final wakati unajua ni kombe jingine.Hahahaha, ili mradi ngoma iwe draw
Msimu wa 1993 super cup ilichezwa kati ya Zamaleki na Al Alhly Simba alishiriki kombe shikizi kama super league ambalo halipo kwa SasaHivi yanga mnaumia nini mkisikia kwamba Simba amewahi kucheza fainali ya mashindano ya Afrika?
Ndio yalikuwa mashindano ya Afrika.Na kama mnadhani yalikuwa na timu dhaifu,mtakuwa mnajidanganya kwani hakukuwa na timu inayoshuka daraja kama Marumo.Marumo ni sawa kabisa na Ruvu shooting Barcelona ya bongo.
Utaumiza kichwa bure KUWAZA kutaka ufafanuzi toka CAF jambo ambalo ni dhahiri.Tukishindwa kuelewana tutawauliza caf wenyewe wafafanue kuwa hili kombe wanaloshiri Yanga ndilo hilihili Simba walifika fainali au ni mashindano mengine kabisa yenye sifa tofauti.
Wewe ndiyo tikiti kabisa.Karia anajua kabisa haya ni makombe mawili tofauti ,haiwezekani yanga msimu ujao afike final ya Cafcl useme hii ni mara ya pili kwa Tanzania kuingia final wakati unajua ni kombe jingine.
Lile la Abiola halipo kabisa
Maskini 🤣🤣🤣🤣🤣Usm Alger njoo utuondolee huu unyonge.
sawa ila ndio aje kutuwangia hadi South, si bora angefanyia huku huku.Mzee kwani hujui huyo bwana mwijuma ni shabiki wa simba kindakindakiView attachment 2627822
Tuna Rais makini sana, kelele kidogo kazi nyingi. Maagizo ya Rais ni amri. TFF ihakikishe kuwa inatengeneza mazingira mazuri kwa timu zetu zote kushinda mechi za kimataifa, sio kama wakati ulee jamaa waliruhusuwa kuwa na viporo 11 kwenye ligi ili washiriki vizuri mashindano ya CAF, pamoja na hivyo jamaa waliishia pale walipoishia.Pia mama yetu ni mtu wa mitandao.Anaona na kuyasoma yanayoendelea mitandaoni humu...
Usimbeze alichosema, Yanga imeipatia nchi DNA za kushiriki fainali za CAF. Simba ndio waliokuwa wa kwanza kuipatia nchi DNA za kufika hadi robo fainali za mashindano ya CAF. Hii Ina maana kuwa Tanzania Sasa sio ajabu kufika robo, nusu na fainali ya mashindano haya ya CAF.Huenda wewe ni mama wa familia kabisa na mimba kubwa juu !!
Hebu ona, kulikuwa na sababu gani nzito ya kumfungia miaka 2 mtoto wa watu mwenye ulemavu wa ngozi na macho anaemtumia mdomo wake kuishi. Hii yote ni mfululizo wa matukio ambayo Mama anayajua na kumkera. Kama mama ameweza kuwasamehe akina mbowe, lissu na wapinzani wote wafanye siasa zao kwa Uhuru na vyombo vya habari wandike habari zao kwa Uhuru, na anasamehe wafungwa. Je, yeye Karia anashindwa nini kumsamehe mtoto wa watu. Roho kama hizi ni hatari sana zikimea kwenye taifa. Roho hizi zinapatikana zaidi huko Somalia, Sudan, Rwanda, Ethiopia, Burundi, na jamhuri ya Kati. Roho kavu za visasi.Karia
Babra
Mo
Figisu zao zinajulikana juu ya mafanikio ya yanga CAF.... Karia huyu ndiye aliyeisagia kunguni yanga msimu uliyopita isicheze na mashabiki mechi ya Rivers. Hiyo ni tahadhari kwake mda wowote atarudi Somalia Waheed huyo.
We bogus acha kulazimisha mambo ili nafsi yako ifurahie,Hilo kombe unaloongelea ww halina tofauti na mbuni cup au sigara cup,hujawahi fika yanga alipofika,na kwa taarifa tu ndogo tunachukua hili.Wewe ndiyo tikiti kabisa.
Kwa hiyo hayo makombe/ubingwa wenu mara 27 ni wa NBCL?
Huo ndio ukweli khumawe!!!Wewe ndiyo tikiti kabisa.
Kwa hiyo hayo makombe/ubingwa wenu mara 27 ni wa NBCL?
Lile la abiola ni sawa na kusema kombe la mashindano ya Tulia Ackson. Yaani speaker Tulia awe na mipesa yake halafu anakwenda pale caf na kuwaambia nataka muwe na mashindano hapa ambayo kila kitu nitadhamini Mimi. Abiola alikuwa mwizi wa fedha za watu wake, hata tofauti na Mobutu seseseco wa Zaire.Karia anajua kabisa haya ni makombe mawili tofauti ,haiwezekani yanga msimu ujao afike final ya Cafcl useme hii ni mara ya pili kwa Tanzania kuingia final wakati unajua ni kombe jingine.
Lile la Abiola halipo kabisa
Umechemsha hapo, hapa hawakubadilisha jina TU la mashindano bali Kuna mashindano mawili yaliyounganishwa ili kupata mashindano haya anayoshiriki Yanga. Yaani unachosema wewe ni sawa na kusema Tanganyika ndio hiyohiyo Tanzania. Sio kweli Tanzania ni kubwa kuliko Tanganyika. Kuna Uhuru wa Tanganyika na Uhuru wa Zanzibar, lakini hakuna Uhuru wa Tanzania. Akili za kudadavua hamna, mnasumbua TU hapa.Utaumiza kichwa bure KUWAZA kutaka ufafanuzi toka CAF jambo ambalo ni dhahiri.
Yaani ni sawasawa leo hii ukataye kuwa Lourenço Marques kwa sasa Maputo ni miji miwili tofauti kuwa makao mkuu ya nchi ya Msumbiji!!
Ama Northern Rhodesia na Zambia kuwa ni nchi tofauti; Au Southern Rhodesia na Zimbabwe kuwa ni nchi mbili tofauti.
Kumbuka huko kuna wawili tu wenye ****i