Hawana tunu sana wale.Hofu yangu wakenya wamesema et YANGA ni ya kwao[emoji26][emoji26][emoji26]
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Gor Mahia alishabeba Kombe la Washindi barani Afrika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana tunu sana wale.Hofu yangu wakenya wamesema et YANGA ni ya kwao[emoji26][emoji26][emoji26]
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mbona kalunguyeye...juzi msanii yule kule kwa madiba alikuwa kanuna muda wote wakati Yanga wanajilia vyao ugenini na watu wote wanafuraha na kushangilia yeye na macho yake kama karunguyeye kasoro yeye white anaangalia anagalia tu huku na huko utadhania kuna jambo limemkuta,alikuwa hajielewi hata kwa nini yupo uwanjani.!mdau mmoja akaniambia huyo ni kolo kindaki ndaki sema bongo dukna kachukua wizara kisela.
uzungushaji wa macho👀[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mbona kalunguyeye