Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Whatever the meaning,hakuwa sahihi.Aliyemwita hivyo alikua na maana yake anayoijua yeye mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Whatever the meaning,hakuwa sahihi.Aliyemwita hivyo alikua na maana yake anayoijua yeye mwenyewe
Ila mi nimefurahi sana pengine neno hili la mtukutu limemfanya rais akubali maombi yake.
Sisi wananchi wa kibamba tunataka maji na barabara....sasa tunahesabu miezi miradi itaanza na kukamilika.
Kongole kwa Mtemvu!!!!
Hata Majaji na Mahakimu ni watukufu bila kuisahau Mahakama yenyewe.Ndugu yangu duniani napo kuna watukufu. Hilo lisikuumize kichwa.
Walikuwepo watukufu hapo kale kidogo japo kwa sasa hawaitwi tena watukufu. Mfano Mtukufu Ali Hassani Mwinyi, Mtukufu Daniel Arap Moi....n.k
Bb johnthebaptist
Mwanry aliwahi kumfananisha na yesu masiahHili jambo limenistua na kunipa hisia hasi. Sikuamini macho na masikio yangu kwa Rais huyu huyu wa wanyonge na mcha Mungu.
Akitoa maelezo ya kutaka Maendeleo jimboni kwake Kibamba, Mbunge Issa Mtemvu alimwita Rais Magufuli MTUKUFU tena akimsujudu hadi ardhini.
Nilijua Rais atakapoamka kutoa hotuba yake kwenye uzinduzi wa Stendi ya mabasi huko Mbezi Luis basi angekemea kuitwa MTUKUFU Rais lakini akapiga kimya!
Nijuavyo mimi hata kama si mjuzi sana wa mambo ya dini lakini mwenye cheo cha utukufu ni Mungu pekee si binadamu mwenye nyama, damu na mifupa. Hii tabia ya kujipendekeza hadi kumwabudu binadamu mwenzio ni kumkufuru Allah.
Au nasema uongo ndugu zangu!
Mnajiabisha sana nyinyi MATAGAAliyemwita hivyo alikua na maana yake anayoijua yeye mwenyewe
Mwl JK Nyerere alikataa kabisa kuitwa mtukufuNdugu yangu duniani napo kuna watukufu. Hilo lisikuumize kichwa.
Walikuwepo watukufu hapo kale kidogo japo kwa sasa hawaitwi tena watukufu. Mfano Mtukufu Ali Hassani Mwinyi, Mtukufu Daniel Arap Moi....n.k
Bb johnthebaptist
Wewe tunakujua kuwa ni MATAGA hivyo kwako ni sawa tu ili mradi mkono uende kinywaniMtazamo wako ni huo na Endelea na mtazamo wako na hakuna atakayekukataza!
Unamuuliza nani?Alisujudu Hadi ardhini? Mbona nilikuwepo sikuona, au niliangalia pembeni?
Alimfananisha MagufuliMwanry aliwahi kumfananisha na yesu masiah
.Ndugu yangu duniani napo kuna watukufu. Hilo lisikuumize kichwa.
Walikuwepo watukufu hapo kale kidogo japo kwa sasa hawaitwi tena watukufu. Mfano Mtukufu Ali Hassani Mwinyi, Mtukufu Daniel Arap Moi....n.k
Bb johnthebaptist
Kwa hiyo kinacho kushangaza wewe nini?Hili jambo limenistua na kunipa hisia hasi. Sikuamini macho na masikio yangu kwa Rais huyu huyu wa wanyonge na mcha Mungu.
Akitoa maelezo ya kutaka Maendeleo jimboni kwake Kibamba, Mbunge Issa Mtemvu alimwita Rais Magufuli MTUKUFU tena akimsujudu hadi ardhini.
Nilijua Rais atakapoamka kutoa hotuba yake kwenye uzinduzi wa Stendi ya mabasi huko Mbezi Luis basi angekemea kuitwa MTUKUFU Rais lakini akapiga kimya!
Nijuavyo mimi hata kama si mjuzi sana wa mambo ya dini lakini mwenye cheo cha utukufu ni Mungu pekee si binadamu mwenye nyama, damu na mifupa. Hii tabia ya kujipendekeza hadi kumwabudu binadamu mwenzio ni kumkufuru Allah.
Au nasema uongo ndugu zangu!
Kwa taarifa yako zamani ilikuwa inatumika Mtukufu Raisi.... Awamu ya kwanza na ya pili...Hili jambo limenistua na kunipa hisia hasi. Sikuamini macho na masikio yangu kwa Rais huyu huyu wa wanyonge na mcha Mungu.
Akitoa maelezo ya kutaka Maendeleo jimboni kwake Kibamba, Mbunge Issa Mtemvu alimwita Rais Magufuli MTUKUFU tena akimsujudu hadi ardhini.
Nilijua Rais atakapoamka kutoa hotuba yake kwenye uzinduzi wa Stendi ya mabasi huko Mbezi Luis basi angekemea kuitwa MTUKUFU Rais lakini akapiga kimya!
Nijuavyo mimi hata kama si mjuzi sana wa mambo ya dini lakini mwenye cheo cha utukufu ni Mungu pekee si binadamu mwenye nyama, damu na mifupa. Hii tabia ya kujipendekeza hadi kumwabudu binadamu mwenzio ni kumkufuru Allah.
Au nasema uongo ndugu zangu!
Hebu weka video tuone Kama kweli unachosemaHili jambo limenistua na kunipa hisia hasi. Sikuamini macho na masikio yangu kwa Rais huyu huyu wa wanyonge na mcha Mungu.
Akitoa maelezo ya kutaka Maendeleo jimboni kwake Kibamba, Mbunge Issa Mtemvu alimwita Rais Magufuli MTUKUFU tena akimsujudu hadi ardhini.
Nilijua Rais atakapoamka kutoa hotuba yake kwenye uzinduzi wa Stendi ya mabasi huko Mbezi Luis basi angekemea kuitwa MTUKUFU Rais lakini akapiga kimya!
Nijuavyo mimi hata kama si mjuzi sana wa mambo ya dini lakini mwenye cheo cha utukufu ni Mungu pekee si binadamu mwenye nyama, damu na mifupa. Hii tabia ya kujipendekeza hadi kumwabudu binadamu mwenzio ni kumkufuru Allah.
Au nasema uongo ndugu zangu!
Lile kabudi likasema mheshimiwa mungu nikaliona kumbe zee jinga na la hovyo kabisa.Wewe unashangaa Hilo Kwani kabudi huwa anafanyaje
Na nyie mbona mnakuwa wasahaulifu? Hamkumsikia Propesa Kabudi alivyomwita Mheshimiwa Mungu? Kwa ufupi yule mzee ni taahira!Upo Sahihi kabisa
Mtukufu ni mwenyezi Mungu pekee kwa upande wa Dini zote.
Ipo siku magufuli ataitwa Jehova na atachekelea tu.