Mtukufu daniel arap moi hili neno lilikuwa common KBC ukitangaza taarifa ya habari bila kutamka neno mtukufu arap moi Kazi huna.Nyerere alikataa KUITWA mtukufu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtukufu daniel arap moi hili neno lilikuwa common KBC ukitangaza taarifa ya habari bila kutamka neno mtukufu arap moi Kazi huna.Nyerere alikataa KUITWA mtukufu.
Sasa unaonaje whether Nyerere na Moi waliitwa watukufu,ni sahihi mbele za Mungu?Kwa hili tuwe fair..Marais Nyerere na Mwinyi waliitwa hivi pia bila kuzuia. Ni Rais Mkapa ndiye aliyekuja kukataa kuitwa hivyo. Naandika hivi kwa lengo la kuweka historia sawa tu.
Watu si mpo mpo tu hata hamjui wafalme na viongozi wa watu toka zamani waliitwaje au waliheshimiwa vipi,wala si yeye anayetaka kuitwa hivyo usemavyoHili jambo limenistua na kunipa hisia hasi. Sikuamini macho na masikio yangu kwa Rais huyu huyu wa wanyonge na mcha Mungu.
Akitoa maelezo ya kutaka Maendeleo jimboni kwake Kibamba, Mbunge Issa Mtemvu alimwita Rais Magufuli MTUKUFU tena akimsujudu hadi ardhini.
Nilijua Rais atakapoamka kutoa hotuba yake kwenye uzinduzi wa Stendi ya mabasi huko Mbezi Louis basi angekemea kuitwa MTUKUFU Rais lakini akapiga kimya!
Nijuavyo mimi hata kama si mjuzi sana wa mambo ya dini lakini mwenye cheo cha utukufu ni Mungu pekee si binadamu mwenye nyama, damu na mifupa. Hii tabia ya kujipendekeza hadi kumwabudu binadamu mwenzio ni kumkufuru Allah.
Au nasema uongo ndugu zangu!
Umesema uwongo. Mwalimu Nyerere alikataa kabisa kuitwa mtukufu au mheshimiwa. Yeye ndiye Rais aliyesababisha viongozi wote waitwe NDUGU.Kwa hili tuwe fair..Marais Nyerere na Mwinyi waliitwa hivi pia bila kuzuia. Ni Rais Mkapa ndiye aliyekuja kukataa kuitwa hivyo. Naandika hivi kwa lengo la kuweka historia sawa tu.
Na LugolaMwanry aliwahi kumfananisha na yesu masiah
Wewe ni mwongo au umehadithiwa uwongo. Mwalimu alikataa kabisa kuitwa Mtukufu. Na hakuna kiongozi aliyeitwa Mtukufu au mheshimiwa. Alipoingia Mwinyi, ndipo wabunge walipitisha mwongozo unaosema viongozi wote waliochaguliwa na wananchi Ni waheshimiwa. Na Rais Mwinyi akawa anaitwa Mtukufu Rais.Kwa taarifa yako zamani ilikuwa inatumika Mtukufu Raisi.... Awamu ya kwanza na ya pili...
Kabla haijaanza kutumika Mheshimiwa Raisi....
Utakuwa mtoto wa juzi wewe....
Hiyo siku ilishapita. Prof. alijiita hivyo.Upo Sahihi kabisa
Mtukufu ni mwenyezi Mungu pekee kwa upande wa Dini zote.
Ipo siku magufuli ataitwa Jehova na atachekelea tu.
Unashangaa kuitwa mtukufu wakati alishaitwa mungu ....... !!Hili jambo limenistua na kunipa hisia hasi. Sikuamini macho na masikio yangu kwa Rais huyu huyu wa wanyonge na mcha Mungu.
Akitoa maelezo ya kutaka Maendeleo jimboni kwake Kibamba, Mbunge Issa Mtemvu alimwita Rais Magufuli MTUKUFU tena akimsujudu hadi ardhini.
Nilijua Rais atakapoamka kutoa hotuba yake kwenye uzinduzi wa Stendi ya mabasi huko Mbezi Louis basi angekemea kuitwa MTUKUFU Rais lakini akapiga kimya!
Nijuavyo mimi hata kama si mjuzi sana wa mambo ya dini lakini mwenye cheo cha utukufu ni Mungu pekee si binadamu mwenye nyama, damu na mifupa. Hii tabia ya kujipendekeza hadi kumwabudu binadamu mwenzio ni kumkufuru Allah.
Au nasema uongo ndugu zangu!
Kwani Jesca kishapata mme .....!!?Ndio maana Magufuli alimsifu sana huyu mbunge kwa kumuita handsome...na hata angekuwa na binti angempa!
Yaani ni vituko kila kona ya nchi hii lkn kikubwa ni kupigania matumbo yao tuNa Lugola
Unyenyekevu hutokana na malezi bora, unyenyekevu haushurutishwi. Mbunge wangu amefanya lililo jemaHebu weka video tuone Kama kweli unachosema
Huyu naye ni mtukufu?
Hivi Moi yuko wapi mtukufu huyu?Mtukufu daniel arap moi hili neno lilikuwa common KBC ukitangaza taarifa ya habari bila kutamka neno mtukufu arap moi Kazi huna.
Kabisa kampongeza na kudai anapenda wanyenyekevu mpaka akatamani kumpa binti yake , alipata raha sanaa.Gado aliona mbali sana ile katuni watu wakisalisha ubongo wao kwa dust bin mbele ya mtukukufu wao.Inaashiria ndivyo anavyopenda.