Jinikashkash
JF-Expert Member
- Nov 27, 2020
- 455
- 871
Inanikumbusha riwaya ya Mfalme Juha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni punguani.Aliyemwita hivyo alikua na maana yake anayoijua yeye mwenyewe
Nyerere hakuitwa Mtukufu alikuwa comfortable kuitwa Mwalimu, Mwinyi na aliyopo leo madarakani tu ndo Watakatifu, kwa sababu MaCCM yanafanya kila kitu kwa mazoea, wapambe walianza kumtukuza Mkapa lakini aliwakemea mapema wakaacha. Kikwete hakuitwa Mtukufu kabisa kwa kuwa alikuwa anajiweza kwa mengi na alikuwa karibu na watu mpaka wakawa wanamwita Shemeji kwa niaba ya Walimu. Wasiojiweza ndo wanajikweza na kukwezwa na wasiojiweza!
Nijuavyo mimi hata kama si mjuzi sana wa mambo ya dini lakini mwenye cheo cha utukufu ni Mungu pekee si binadamu mwenye nyama,
Maswali ya kitotoHili jambo limenistua na kunipa hisia hasi. Sikuamini macho na masikio yangu kwa Rais huyu huyu wa wanyonge na mcha Mungu.
Akitoa maelezo ya kutaka Maendeleo jimboni kwake Kibamba, Mbunge Issa Mtemvu alimwita Rais Magufuli MTUKUFU tena akimsujudu hadi ardhini.
Nilijua Rais atakapoamka kutoa hotuba yake kwenye uzinduzi wa Stendi ya mabasi huko Mbezi Louis basi angekemea kuitwa MTUKUFU Rais lakini akapiga kimya!
Nijuavyo mimi hata kama si mjuzi sana wa mambo ya dini lakini mwenye cheo cha utukufu ni Mungu pekee si binadamu mwenye nyama, damu na mifupa. Hii tabia ya kujipendekeza hadi kumwabudu binadamu mwenzio ni kumkufuru Allah.
Au nasema uongo ndugu zangu!
Nyerere hakuwahi kuukubali ujinga huo. Ndiyo maana aliitwa "NDUGU" Rais . Neno mheshimiwa limekuja wakati wa Mwinyi na kuendelea crocodileKwa hili tuwe fair..Marais Nyerere na Mwinyi waliitwa hivi pia bila kuzuia. Ni Rais Mkapa ndiye aliyekuja kukataa kuitwa hivyo. Naandika hivi kwa lengo la kuweka historia sawa tu.
Simanzi ya nini kunyenyekea ndo kumemfikisha hadi kuwa PM Endelea na ujeuriMtoa post hujawahi ona MAJALIWA akipita huyu jamaa mbele yake huinua had mikono kuonesha utukufu wa huyu kanjanja yaaan PM huinama kama yupo altare kabsa, inaleta simanzi sana.
Ija kanye ?! jaluo jrWewe unashangaa Hilo Kwani kabudi huwa anafanyaje
Nyerere hakuwai kuitwa mtukufu, alikataa kabisa na akawa anasisitiza aitwe Mwalimu, rudi kwenye historia usome vizuriKwa hili tuwe fair..Marais Nyerere na Mwinyi waliitwa hivi pia bila kuzuia. Ni Rais Mkapa ndiye aliyekuja kukataa kuitwa hivyo. Naandika hivi kwa lengo la kuweka historia sawa tu.
Utukufu,ni jinsi mtu atakavyo,sasa kwa jinsi jiwe anavyoobgoza nchi hii,ni mtukufu,na ili upate utakacho muite hivyoHili jambo limenistua na kunipa hisia hasi. Sikuamini macho na masikio yangu kwa Rais huyu huyu wa wanyonge na mcha Mungu.
Akitoa maelezo ya kutaka Maendeleo jimboni kwake Kibamba, Mbunge Issa Mtemvu alimwita Rais Magufuli MTUKUFU tena akimsujudu hadi ardhini.
Nilijua Rais atakapoamka kutoa hotuba yake kwenye uzinduzi wa Stendi ya mabasi huko Mbezi Louis basi angekemea kuitwa MTUKUFU Rais lakini akapiga kimya!
Nijuavyo mimi hata kama si mjuzi sana wa mambo ya dini lakini mwenye cheo cha utukufu ni Mungu pekee si binadamu mwenye nyama, damu na mifupa. Hii tabia ya kujipendekeza hadi kumwabudu binadamu mwenzio ni kumkufuru Allah.
Au nasema uongo ndugu zangu!
Ija kanye ?! jaluo jr