Na wewe bana.....nani anataka kumuua Kikwete?
Dah! Hii scenario yako Companero akiiona lazima akununulie bia....si unamjua alivyo?
Mambo mengine yanachekesha kwa kweli naona watu wanapoteza muda kujadili mambo yasiyo namsingi
...................................................
...................................................
...................................................
...................................................
...................................................
...................................................
maana tunaacha kupigania mambo ya maana tunajadili pipi doh
dah waTZ bado tupo nyuma yaani muda wote mnajadili pipi kha!
'security breached'! huh,...acheni kuiangalia picha kiuoga uoga... msafara huo ulikuwa hata kuondoka bado.
Hamuwezi hata kuangalia reflection kwenye gari? Red Carpet, security staff,... Mungu wangu, are we serious hatuwezi kuangalia 'nje ya box' kiasi hiki?
...inabidi nibakie nashangaa kuhusu masuala ya usalama wa rais. yaani anasafiri kiti cha mbele? kweli bongo tambarare
Siyo lazima iwe security concern in the sense ya mtu kumuua, kuna vitu kama ajali etc. Kwa nini watoto huwekwa nyuma? Hii inaonyesha utovu sio tu wa itifaki, bali pia wa kanuni za usalama.
On the pipi tip, hapo naona kamjazia pipi kiasi kwamba ma dentist wanaweza ku take issue with the president's awareness when it comes to dental hygiene and health issues.
Aisee mimi mlokole, kileo mwiko. Hakika Scenario building ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi. Laiti tungejenga scenario ya nchi tuitakayo miaka 50 ijayo. Siku hizi scenario building zetu zinaangalia miaka 5 ijayo tu!
Scenario hiyo ilitakiwa iishie hivi ili ilete inspiration endelevu:
Soma kwa bidii. Shirikiana na wenzako. Gawana nao pipi. Huo ndio Ujamaa. Tutawaletea vitabu mashuleni. Walimu nao tutawaongezea. Madarasa bora tutawajengea. Tutahakikisha mnafika sekondari. Na chuo pia. Umeniambia unapenda sayansi. Tutawajengea maabara shuleni. Hakika utakuwa mwanasayansi. Na utaisadia Tanzania. Kazana utaweza tu!
Mtoto ataondoka na hamasa. Mwaka 2050 atavumbua Nadharia ya Kulima kwa Nyuklia. Hatimaye Tanzania bila njaa na umaskini itakuwa imewezekana.
Aisee mimi mlokole, kileo mwiko. Hakika Scenario building ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi. Laiti tungejenga scenario ya nchi tuitakayo miaka 50 ijayo. Siku hizi scenario building zetu zinaangalia miaka 5 ijayo tu!
Scenario hiyo ilitakiwa iishie hivi ili ilete inspiration endelevu:
Soma kwa bidii. Shirikiana na wenzako. Gawana nao pipi. Huo ndio Ujamaa. Tutawaletea vitabu mashuleni. Walimu nao tutawaongezea. Madarasa bora tutawajengea. Tutahakikisha mnafika sekondari. Na chuo pia. Umeniambia unapenda sayansi. Tutawajengea maabara shuleni. Hakika utakuwa mwanasayansi. Na utaisadia Tanzania. Kazana utaweza tu!
Mtoto ataondoka na hamasa. Mwaka 2050 atavumbua Nadharia ya Kulima kwa Nyuklia. Hatimaye Tanzania bila njaa na umaskini itakuwa imewezekana.
yani umewakilisha point wala sina cha kuongeza zaidi.alichofanya jk anajua na ndio maana kuna wengine wamemsifia humu ndani.wengine wanawashutumu wazazi kuhusu matatizo ya huyo mtoto,je na wale wazazi wanaopoteza maisha wakati wa kujifungua wamlaumu nani kwa huduma zetu mbovu za hospitali? serikali iliweza kutenga bil 19 kwa ajili ya chai kwenye wizara zao lakini serika hio hio haina hela kutoa japo glasi moja ya maziwa kwa wiki kwa watoto mashuleni? mpaka wale watoto wanaokaa chini mashuleni tuwalaumu wazazi ambao wengi wao tunajua hali ngumu ya maisha hilivyo lakini hela ya mafisadi kuiba hipo na bila mchukuaji kujulikana.
kinachofanya tumlaumu jk kwenye hili swala ni uongozi wao mbovu na anajua kwamba watoto wanahitaji zaidi ya pipi. watoto pipi,wakubwa pilau huku mambo muhimu yameachwa tu.
Commandante:
Hiyo scenario angekuwa anazungumza na watoto wa darasa la saba. Huyo dogo bado sana.
Anyway, kuna siku Nyerere alipita kijiji kwetu akiwa safarini. Akasimamisha msafara na kumwita mzee wa kijiji. Basi Nyerere akatoa instant camera na kupiga picha na mzee wa kijiji na kumwachia mzee hile picha.
Mzee wa kijiji akaipiga picha yake kwenye frame na kuanza kuifanya kama mtaji.
Mtu yoyote akija kijijini na kuleta longolongo. Mzee anakuja na kukupiga mkwara kuwa atamwambia Nyerere ukamatwe. Ukiendeleza longolongo anakwenda ndani na kukuletea picha kuwa yeye na Nyerere ni damudamu na walishawahi kupiga picha pamoja.
Really huna la kuongezea? mbona umejaza mistari. Anyway, hakuna aliyemsifia JK kwa kitendo chake. Tunachosema kuwa kwa kutoa pipi hakuna lawama yoyote hile.
Kuhusu mambo muhimu kuachwa tu, ukweli wa mambo hilo ni collective responsibility. Huwezi kudai glass moja ya maziwa wakati uzalishaji wa maziwa ni kazi ya wananchi. Kama hamzalishi maziwa, yeye akatoe wapi?
Pipi ya kikwete kwa mtoto kuna maswali mengi......wengine wanachukulia kirahisi rahisi tu......lol ati rahisi anampa mtoto pipi? aah haiwezekani aisee
Pipi ya kikwete kwa mtoto kuna maswali mengi......wengine wanachukulia kirahisi rahisi tu......lol ati rahisi anampa mtoto pipi? aah haiwezekani aisee
Yaorodheshe hayo maswali yako mengi. Siyo kusema sema eti maswali mengi...maswali yepi hayo? Yaorodheshe hapa...