Rais kuteua makada UVCCM kuwa Wakurugenzi ni kuvuruga Utumishi wa Umma

Rais kuteua makada UVCCM kuwa Wakurugenzi ni kuvuruga Utumishi wa Umma

Kama haya ndiyo majukumu ya DED basi maDED wote wawe either WACHUMI ama WAHASIBU.
Ilikuwa hivyo enzi za mkapa. Nafsi zinatqngazwa, wenye sifa wanaomba, baada ya kusailiwa, Tamisemi wanatangaza .moja baada ya mwingine kulingana na nafasi. Naku buka sif kubwa ilikuwa uwe umefanya kqzi katika senior post kwa miaka 12.

Yaani tok uajiriwe uwe umefanya kazi hadinkufikia kuwa Afisa Mmwandamizi Mkuu. Yaani walau Council 2 hd 4 umefanya kazi hata ya ukuu w idara n kushiriki katika vikao vya maamuzi CMT na mabaraza ya MADIWANI.
 
Sasa asipoteua CCM Wenzake unazani itakuwaje, kama mwenzake kaingiza CCM bungeni kwa njia isiyo halali yeye atashindwaje na kitu kidogo hivi.

Kama Watanzania tushakubali kama CCM na police wanatupelekesha wanavyotaka na sisi hatuna cha kuwafanya kama hata tu kuandamana hatuwezi.
 
Rais anapoteua watu then KM au Waziri akaelekeza wawasilishe vyeti au CV haileti tafsir kwamba Rais anakosolewa kwa maamuzi ya uteuzi aliyofanya?

Lakini napenda kujua, kwa kazi zinazohitaji wasomi Ni kipi kinatangulia kupeleka vyeti au kuteuliwa? Kama tunateua ndipo walete vyeti tunatumia sifa gani?
 
Magu enzi zake alikuwa anazindua ofisi ya Takukuru mahali Fulani.Kahutubia na kumchambua Mkurugenzi wa Takukuru kwa matumizi mabaya ya kujenga ofisi mikoani.

Akasema ninajua unazidiwa huna msaidizi.

Akauliza swali kwa wafanyakazi wa Takukuru.

"NANI MZURI ATAWAFAA KUWA MSAIDIZI WENU".

Vetting papo kwa hapo
 
Nafikiri hili la wakurugenzi kutakiwa kupeleka vyeti na cv siyo geni bali Ummy ana likuza sana na ni wazi kwa jinsi anavyo liongelea ni wazi lina leta hisia hasi kwa mamlaka ya uteuzi hasa kwa nafasi nyeti kama ya mkurugenzi.

Nafikiri Ummy anatakiwa kujua nini cha kuongea au nini si cha kuongea ili kutoleta uvukaji mipaka
 
Rais anapoteua watu then KM au Waziri akaelekeza wawasilishe vyeti au CV haileti tafsir kwamba Rais anakosolewa kwa maamuzi ya uteuzi aliyofanya?

Lakini napenda kujua, kwa kazi zinazohitaji wasomi Ni kipi kinatangulia kupeleka vyeti au kuteuliwa? Kama tunateua ndipo walete vyeti tunatumia sifa gani?
Imevuja : yeye ndiye kawateua
 
Kwa yanayoendelea ni dhahiri serikali haina muunganiko kiutendaji
Angewaandikia barua confidential direct kwa wahusika.Biashara yakwenye mitandao haileti afya.Hii inaonyesha kuna harufu ya vyeti feki kwenye copy walizochukua
 
Vetting ni nini?
Magu enzi zake alikuwa anazindua ofisi ya Takukuru mahali Fulani.Kahutubia na kumchambua Mkurugenzi wa Takukuru kwa matumizi mabaya ya kujenga ofisi mikoani.
Akasema ninajua unazidiwa huna msaidizi.
Akauliza swali kwa wafanyakazi wa Takukuru
"NANI MZURI ATAWAFAA KUWA MSAIDIZI WENU"
Vetting papo kwa hapo
 
Rais anapoteua watu then KM au Waziri akaelekeza wawasilishe vyeti au CV haileti tafsir kwamba Rais anakosolewa kwa maamuzi ya uteuzi aliyofanya?

Lakini napenda kujua, kwa kazi zinazohitaji wasomi Ni kipi kinatangulia kupeleka vyeti au kuteuliwa? Kama tunateua ndipo walete vyeti tunatumia sifa gani?
Binafsi nimeelewa kwamba, vinahitajika ili vikae kwenye mafaili yao..!!
 
Nafikiri hili la wakurugenzi kutakiwa kupeleka vyeti na cv siyo geni bali Ummy ana likuza sana na ni wazi kwa jinsi anavyo liongelea ni wazi lina leta hisia hasi kwa mamlaka ya uteuzi hasa kwa nafasi nyeti kama ya mkurugenzi.
Nafikiri Ummy anatakiwa kujua nini cha kuongea au nini si cha kuongea ili kutoleta uvukaji mipaka
Wakurugenzi wanatakiwa wawe na technicality za ujuzi na siyo Siasa. Yaani makada wengine empty set. Kuna mmoja ninamfahamu katika huu uteuzi sijui huko Halmashauri akutane na wataalam wa Idara sijui atafanyaje?

Daaah capacity yake ni ndogo mno mpaka hata ofisi anayitoka ni mzigo umetoka. Kwenye vyeo kama Ukurugenzi wa Halmashauri na RAS mamlaka ziteue akili siyo mihemko ya Chama na ukada.
 
Wakati alipokuwa wizara ya afya angalau aliweza kuimudu wizara. Alikuwa waziri humble na mwenye maamuzi makini. Alijenga hoja wakati wa hotuba zake na agharabu alisimamia suala la COVID 19 wakati wake akiwa Waziri wa afya.

But now odds zimemgeuka, amekuwa mkurupukaji tu, hajui anasema nini na wapi. Alitetea tozo kwa mbwembwe as if wizara yake ndiyo imeziweka, kwenye ajira za afya na ualimu alikuwa anaongea kama kwamba tatizo la ajira wanalimaliza.

Jana ndiyo kafunga kazi kwa kuwataka wateule wa nafasi za ukurugenzi wafike ofisini kwake wakiwa na CV pamoja na vyeti vya taaluma. Swali la kujiuliza mtu umempa nafasi ya Ukurugenzi unataka aandike CV ya nini tena? ikusaidie nini? ama kazi za kuteuliwa hajui kuwa hutanguliwa na CV kwanza then anayekuteua akijiridhisha anakuteua?
 
Ni mfumo wa kawaida tu sema ni kwa sababu ameweka wazi.

Hata katika ajira zingine; unawasilisha vyeti wakati wa maombi.

Siku ya usaili unaambiwa lete vyeti na CV.

Ukipangiwa kituo cha kazi pia unaambiwa uende na vyeti na CV

SIJAONA KOSA LA MH UMMY MWALIMU
 
Kwa yanayoendelea ni dhahiri serikali haina muunganiko kiutendaji
Lakini nakumbuka baada ya kuapishwa, Katibu Kiongozi ambaye ndiye mhusika mkuu wa masuala ya kiutendaji, alisema kati ya tatizo aliliona kwenye serikali lilikuwa ni hili unalosema la serikali kufanya kazi' in silos'.

Sasa sijui naona kwa yanayoendelea hadi sasa,labda naona kashindwa kutatua changamoto hiyo kaazi kwelikweli.
 
Wakati alipokuwa wizara ya afya angalau aliweza kuimudu wizara. Alikuwa waziri humble na mwenye maamuzi makini. Alijenga hoja wakati wa hotuba zake na agharabu alisimamia suala la COVID 19 wakati wake akiwa Waziri wa afya...
Nakumbuka MaDAS ndio walikuwa wanaambiwa waende na CV zao na vyeti TAMISEMI hili la Wakurugenzi sijui limekaaje
 
Back
Top Bottom