Rais kuteua makada UVCCM kuwa Wakurugenzi ni kuvuruga Utumishi wa Umma

Rais kuteua makada UVCCM kuwa Wakurugenzi ni kuvuruga Utumishi wa Umma

Umesema vizuri kwamba wanaopendekeza,kwa hiyo kupendekeza Siyo kuteua,kweli kama kuna wanaopendekeza???Kwa nini asikae ofisini apitie mafaili ajiridhishe kwamba kilichopendekezwa kinafaa?? Ndiyo maana unakuta mtu apangwa Halmashauri 2,angesoma hata ilo angeliona.
Mambo mengi hufanywa na wasaidizi kwa jina la Rais.

Yawezekana hata majina hajayaona, labda awe na watu wake awaambie wawekeni na hawa.
 
Nina uhakika asilimia mia tano Rais amesaini tu hata hawajui hawa. Kuna rushwa sana kwenye hizi teuzi ikiwemo pesa Na uchi.
Nchi inakua hovyoo Sasa.
 
View attachment 1877625
View attachment 1877629
View attachment 1877630

Hawa ni baadhi ya vijana wadogo kabisa toka UVCCM walioteuliwa kuwa makurugenzi.

KWA MUJIBU WA MEMORANDA YA FEDHA SERIKALI ZA MITAA(LGA) HAYA NDIO MAJUMKUMU MAZITO YA DED

1. Ensuring the existence of a formal and satisfactory system of financial administration;

2. Securing compliance with the prescribed financial procedures by operating departments;

3. Directing the work of the Internal Audit section, receiving their reports and after consultation with relevant head of departments, ensuring recommendations and acted upon and submitted to relevant authorities;

4. Overall management of Council’s expenditures, revenues, and all assets and liabilities;

5. Ensuring compliance of all statutory guidelines for the financial Management of Council affairs;

6. Responding to queries within given deadlines from the Office of the Controller and Auditor General, the Local Authority Account Committee (LAAC) and the Minister;

7. Making certain that councillors are kept regularly informed of the financial affairs of the Council;

8. Being secretary to the finance Committee;

9. Making sure that computerized system operates;

10. Keeping under good Custody all assets and property of the Council; and

11. Adhering to procurement functions stipulated in Public Procurement Act and its related

KWA TAFSIRI ISIYO RASMI

1. Kuhakikisha kunakuwa na mfumo rasmi na wakuridhisha katika usimamizi wa fedha

2. Kuhakikisha idara zinafanya matumizi kwa mujibu wa taratibu za fedha

3. Kuhakikisha kitengo cha ukaguzi wa ndani kinafanya kazi vyema, kupokea taarifa za ukaguzi wa ndani, na kwa kushirikiana na wakuu wa idara ahakikishe maoni ya mkaguzi wa ndani yanajibiwa na kutekelezwa na anawasilisha majibu hayo kwa mamlaka husika ambazo ni CAG, RAS na Chief Internal Auditor

4. Usimamizi wa matumizi, mapato, mali na madeni yote ya halmashauri kwa ujumla

5. Kuhakikisha sharia, sera, kanuni na miongozo yote ya usimamizi wa fedha za halamashauri inafuatwa.

6. Kuhakikisha kuwa anajibu kwa wakati hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa(LAAC) na wizara

7. Kuhakikisha waheshimiwa madiwani wanapata taarifa za fedha za halamashauri

8. Kuwa katibu wa Kamati ya fedha ya Halamshauri. Kamati hii wajumbe wake ni madiwani.

9. Kuhakikisha mifumo ya kompyuta inafanya kazi

10. Kuhakikisha utunzaji mzuri wa mali za Halmashauri

11. Kuhakisha sharia ya manunuzi ya umma na kanuni zake zinafuatwa

MAJUMKU MENGINEYO

1. Kuidhinisha malipo

2. Kuidhinisha mikataba yote ya halmashauri

3. Kuteua Bodi ya Zabuni kwa mujibu wa sharia

4. Kuteua Kamati ya Ukaguzi(Audit Committee) kwa mujibu wa sharia

5. Kuwa mkurugenzi wa uchaguzi ngazi ya wilaya pale inapotokea

6. Kuteua kamati ya upembuzi wakati wa manunuzi makubwa

MY TAKE

Hii kazi sio rahisi kama mashabiki wa mwendo kasi mnavyodhani. Huyu mtu anaenda kuwa msimamizi wa idara 19 pale halmashauri. Ikiwepo idara ya elimu na afya zenye changamoto za kufa mtu. Huyu mtu ndio anaenda kukuza uchumi wa wilaya na kuongeza pato la taifa kupitia wilaya yake. Mikataba mikubwa ya mabilioni ya fedha za ujenzi wa miradi ya maendeleo inaenda kuidhinishwa na yeye baada ya kujiridhisha kila kitu kiko sawa.

Anakwenda kusimamia matumizi ya mapato ya ndani ya zaidi ya bilioni 20 mfano Manispaa ya Kinondoni mpaka milioni 500 kwa halmashauri mpya. Anakwenda kusimamia ruzuku ya serikali mabilioni ya fedha.

Anakwenda kusimamia ufungaji wa hesabu na kujibu hoja ngumu za CAG kama tulivyoona hapo juu, matokeo yake unashindwa kuzuia au kujibu hoja unaanda maburungutu ya kuhonga wakaguzi

Kwa maoni yangu, serikali isione aibu, pangia hawa watu wasio na sifa majuku mengine mara moja. System inajua nani mwenye uwezo na asiye na uwezo

Mjadala
Je, huku ni kunajisi utumishi wa umma?

Thanks
Hawa ni rahisi sana kuvurugwa na Madiwani. They deserved to be appointed as DCs and not DEDs!
 
Mama Samia ameshafail mapema sana. Mwaka 2025 CCM wamuweke pembeni asiendelee kuvuruga Nchi. Kwa hiki tunachokiona, may be Bashiru and co walikiona mapema ila tu wakabanwa wasifanye yao.
 
Nchi hii haipigi hatua katika maendeleo kwa sababu ya uongozi mbovu.

Kiongozi mbovu huteua wabovu zaidi kumsaidia. Tusitegemee chochote cha maana. Yanayoendelea katika teuzi, ni kama nchi ina upungufu wa watu wenye sifa.
 
Tunakumbusha.
FB_IMG_1627967800012.jpg
 
Huyu Mama naona yupo kwenye majaribio ya kuitawala nchi. Sasa hawa watoto kweli wanaweza kusimamia sera za sehemu husika!? Huyu mama 2025 hafai kbs kuongoza tena nchi.
 
Hako cha juu kabisa kamefikisha miaka 18? anyway kwa record zake sitashangaa huyu Rais akimpa ajira under age.

Tuseme ukweli tu, Samia amechoka sana akili ndio maana mambo yake mengi anakosea tu.
Mlisema mama anaupiga mwingi sana ssa tulieni amechoka mapema san
 
Hako cha juu kabisa kamefikisha miaka 18? anyway kwa record zake sitashangaa huyu Rais akimpa ajira under age.

Tuseme ukweli tu, Samia amechoka sana akili ndio maana mambo yake mengi anakosea tu.
Wamulaumu bure, Samia anachomekewa, hawajui hata sura. Videmu au ndugu wa washauri.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Experience wanayoweza kuwa nayo labda ni ile ya kupetpet wazee wenye connections zao ndani ya lile jumba nambari one
[emoji23][emoji23][emoji23] ila waache wapige kazi, nafasi yoyote ni maelezo after one month unakuwa vizuri tu, sasa hao wa mwanzo walipatia wapi uzoefu
 
Sio makada tuu wengi watoto wa wenyewe kina majina Kama JOHNSON MHAGAMA ZELOTHE STEPHEN MOSES NNYAUYE JOHN NCHIMBI ROBERT MANUMBA
 
Mbona kama Ukurugenzi unahitaji mtu mwenye experience ya Uhasibu. Alafu huyo wa kwanza ni msomi wa Human Resources na hana hata experience. Aisee hii nchi Mungu tu ndo anajua.
 
Hao ndio machinery ya kusimamia uchafuzi , wakipata na zile directives kutoka kwa kada mwenzao Dkt Mahera basi kazi imeisha , halafu eti mnataka katiba mpya awape nani , na ili iweje
 
mama anajua anachofanya.

wengine wameshafanyiwa vetting ohooo...vetting always applicable to anyone and especially for those who is unbelievable as u are doing now [emoji849]

Kuwa makini ww mkuu wa idara, narudia tena kusema mama anajua anachokifanya.

Muda si mrefu kuna watu wanaenda kupoteza ugali. Nalog off.[emoji2089][emoji2089]



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom