wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Toka zamani mostly walikuwa ni kada hizo.Kama haya ndiyo majukumu ya DED basi maDED wote wawe either WACHUMI ama WAHASIBU.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka zamani mostly walikuwa ni kada hizo.Kama haya ndiyo majukumu ya DED basi maDED wote wawe either WACHUMI ama WAHASIBU.
Ngoja wakatengeneze hati chafu huko Halmashauri kuna vichwa makini kwa kusainisha wakubwa wao makanyangaView attachment 1877625
View attachment 1877629
View attachment 1877630
Hawa ni baadhi ya vijana wadogo kabisa toka UVCCM walioteuliwa kuwa makurugenzi.
KWA MUJIBU WA MEMORANDA YA FEDHA SERIKALI ZA MITAA(LGA) HAYA NDIO MAJUMKUMU MAZITO YA DED...
Hizi nafasi ni za kufanya maamuzi siyo brabra Kama DC,RC nk. Kwenye halimashauri ndo kumejaa wapigaji,hawa watoto hawa?Ni wasichana wakubwa tu wana akili zao.
Yale mapigaji hayachelewi kuwafanya nyumbani ndogo.
Tuliishawaambia ccm sio chama cha siasa,hamuelewi.
Sijui huwa mnatuona wambea au wazushi!!!!wewe unemwona mtu kavaa tishirt la kijani anapiga makelele na ujinga wako unadhani kakosa kazi kweli kweli mpaka kaamua afanye hiyo!
Chiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kiutaratibu ilikua wanapandisha vyeo kwa aliyekua Muhasibu wa halmashauri (DT)/Mchumi wa halmashauri/Afisa mipango wa halmashauri/Afisa utumishi wa halmashauri (DHRO) au mwanasheria wa halmashauri
Ila toka 2015 tukaanza kudemka
Tafuta kazi nyingine ya kufanya,mtu kama uyo mpaka kuwekwa hapo kuna mwanaume mwenzio yupo nyuma yake
Tuna utani sana na pesa za walipakodi. DED kimajukumu ni mtu mzito, kuwapa hawa makada fresh from school ni ishu kubwa sana
Kiutaratibu ilikua wanapandisha vyeo kwa aliyekua Muhasibu wa halmashauri (DT)/Mchumi wa halmashauri/Afisa mipango wa halmashauri/Afisa utumishi wa halmashauri (DHRO) au mwanasheria wa halmashauri
Ila toka 2015 tukaanza kudemka
Nitazungumzia kuvunjwa moyo. Mtumishi wa umma anatakiwa kuwa na uhakika kuwa akitimiza wajibu wake vizuri na kwa weledi ataweza kupanda cheo hadi kufikia uongozi wa juu wa kiutendaji ( ukurugenzi, uafisa tawala wa mkoa au wilaya na ukatibu mkuu).Try to be constructive katika hoja yako.
Ni kwa vipi utumishi wa umma wanajisiwa na ni vipi watumishi wa umma wavunjwa moyo?
Ndio maana hawataki katiba mpyaView attachment 1877625
View attachment 1877629
View attachment 1877630
Hawa ni baadhi ya vijana wadogo kabisa toka UVCCM walioteuliwa kuwa makurugenzi.
KWA MUJIBU WA MEMORANDA YA FEDHA SERIKALI ZA MITAA(LGA) HAYA NDIO MAJUMKUMU MAZITO YA DED...
Kwa sasa mnaotaga mnafahamika.Mataga utataga
Tungepata sifa zao kwanza huendaSasa katoto kama hako kametoka chuo kikuu juzi,
Hayo mambo katayasimamia?
Katoto kadogo ambako bado kana muwasho muwasho?
Umesema vizuri kwamba wanaopendekeza,kwa hiyo kupendekeza Siyo kuteua,kweli kama kuna wanaopendekeza???Kwa nini asikae ofisini apitie mafaili ajiridhishe kwamba kilichopendekezwa kinafaa? Ndiyo maana unakuta mtu apangwa Halmashauri 2,angesoma hata ilo angeliona.Tatizo siyo Rais Samia, ni washauri, wanaopendekeza na wanaomzunguka.
Ni lazima kuwe na succession plan nzuri kwa watumishi wa serikali...