Hivi umeelewa kilichoandikwa au kinachojadiliwa?! Umeambiwa huko hospitali binafsi huwa hawalipi mkopo?!Kama ilivyo Kukopa ni harusi na kulipa iwe harusi pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi umeelewa kilichoandikwa au kinachojadiliwa?! Umeambiwa huko hospitali binafsi huwa hawalipi mkopo?!Kama ilivyo Kukopa ni harusi na kulipa iwe harusi pia
Naelewa...Hivi umeelewa kilichoandikwa au kinachojadiliwa?! Umeambiwa huko hospitali binafsi huwa hawalipi mkopo?!
Labda yeye hakusomeshwa kwa mkopoNa yeye awajibishwe maana aliacha ualimu kahamia kwenye siasa
Ndio maana nikakwambia inategemea na nafasi, sasa mtu keshakuwa experienced Dr na hiyo experience kapewa na serikari jumlisha na elimu yake iligharamiwa na serikali halafu asepe tu.
It’s not hard to train a teacher or replacing one uitaji kumuwekea ‘restrictive covenant’ kwenye mkataba wake. But a doctor is another story it takes time and money to train one and they become more valuable with years of experience.
Halafu experienced Dr asepe tu kirahisi rahisi bila ya ridhaa ya mwajiri wake ilo kwakweli hapana atapike hela za serikali; kwanza sio kitendo cha kiungwana wala kizalendo.
Kalipe mkopo[emoji41][emoji41]
Ukapimwe akiliiiHuu ni upumbavu, Rais lazima asaidiwe na wasaidizi wake.....kauli zake za siku hizi hata chekechea anashangaa. Kuwekeana masharti mtu anatafuta maisha yake ni ujinga, ajirini wengine wapo mtaani kibao tu...........what if alijisomesha mwenyewe hakutumia huu mkopo ambao umeturudisha kwenye Ukoloni aliopambana nao Nyerere.
Hii ndio comment bora kabisa katika huu uzi.Hana akili huyu mzee
Basi yameishaaa potezea tuNimemwambia mie nanukia waridi yeye awamu nyumbani akawanuse wanaomhusu
Acha kutetea ujinga kwa sababu tu kinacholalamikiwa unadhani hakikuhusu! Nani alitarajia ujinga kama huo unaweza kufanywa kwa madaktari as if mtu akifanya sekta binafsi atakaotibu huko sio Watanzania. Na kama madaktari yanawakuta hayo basi hata wewe au watu wako wa karibu yanaweza kuwakuta kwenye sekta zao ingawaje hapa unaoona bora kutetea ujinga kwa sababu haukuhusu! Hata hiyo link uliyowek kuhalalisha utetezi wako haihusiani kabisa na alichosema Mheshimiwa Rais
Kwakuwa tunapenda kuiga mabeberu nimeweka standard framework ya mkataba wa ajira NHS uchukue mfanyakazi wao bila ya ruhusa yao au kuwalipa compensation halafu uone watakachokufanya.
Kwa haraka wale wabishi wapitie page 6 or 8 waone madhara ya kuongea na mtaalamu wao bila ya ruhusa yao au kuchukua mfanyakazi mwenye mkataba nae bila ya idhini yao au kuwalipa fidia.
It costs lots of money to train medical professionals and giving them experience; that’s why they are valuable to any employer.
Sisi watanzania tunatabia ya kuchukulia vitu rahisi sana, serikali yetu imekuwa ya kibepari zaidi kuliko wananchi wanaopiga kelele kudai free market.
Ndo alivyosema hakufuata taratibu?! Ina maana hujaona kwamba anacholamimikia ni hao madaktari kwenda kufanya kazi hospitali binafsi as if huko wanaoitibiwa sio Watanzania!!Naelewa...
Kama hakufuata taratibu za kuacha kazi ni shida, na kama hajalipa deni ni shida pia
Wewe unazijua taratibu?Ndo alivyosema hakufuata taratibu?! Ina maana hujaona kwamba anacholamimikia ni hao madaktari kwenda kufanya kazi hospitali binafsi as if huko wanaoitibiwa sio Watanzania!!
Hawawezi kuweka hiyo clause ya lazima wafanye kazi serikalini kwanza kwa kuwa serikali haina uwezo wa kuajiri.Kule hawatibu watu ?
Wanadaiwa ?, Wamelipa hawajalipa ?, kuliko kufungia hospital / mtu anayetibu watu pia ni rahisi sana kwenye mkataba wa mkopo waseme kwa miaka kadhaa lazima ufanye kazi ya serikali sehemu yoyote utakayopelekwa (hapo mtu anakuwa anabanwa kwa mkataba) sio aina hii ya sheria / maamuzi kutoka kwenye kinywa cha mtu
Issue sio kuzijua au kutozijua; issue ni kwamba ana-mind kuona madaktari waliopewa mkopo 100% wanakataa kufanya kazi hospitali za serikali na kwenda hospitali binafsi kwa ajili ya kufuata maslahi! Cha kujiuliza ni kwamba, sasa ikiwa tumeruhusu hospitali binafsi kujengwa; sasa tunatarajiwa wao watoe wapi madaktari ikiwa madaktari waliopewa mkopo ni serikali inakuwa nongwa kwenda huko!!Wewe unazijua taratibu?
Miaka ya 70 hiyo sheria ilikuwepo kwa sababu serikali ilikuwa na uwezo wa kuajiri, hii ya CCM mpya JPM imekata pumzi na imeishiwa ubunifu, hivyo haiwezi kutunga hiyo sheria.Hapa inabidi kuangalia kipi ni kipi. Uzalendo ni kitu kizuri, lakini uzalendo ni kwa kila mtu, na si kwa watu wachache tu. Sis binadamu siku zote tunataka zaidi na bora, kwa hiyi daktari kuhama kwa ajili ya maslahi siyo kukosa uzalendo. Huyu daktari kahamia hospitali binafsi lakini anatibu Watanzania.
Katika hili la uzalendo pia inabidi tuangalie. Kama hakuna sheria inayowalazimisha waliyopata mikopo kuitumikia serkali, basi huyu daktari asilazimishwe, maana hata huo mkopo anaulipa. Sasa kama anaulipa kwa ni alazimishwe kutumikia hospitali ya serkali wakati huo mkataba haukuwepo?
Miaka ya nyumba 60s/70s kulikuwa na sheria ambayo mwanafunzi akisomeshwa anatakiwa aifanyie serkali miaka mitano. Kama serkali inataka hivyo, inatakiwa iiweke hii kama mojawapo ya masharti ya mkopo. Bila hii kuwepo, huwezi kumlazimisha mtu kuitumikia serkali. Tuepuke kutunga sheria kwa midomo yetu. Tuweke hivi vitu wazi na siyo kila kukicha matamko yanatoka ambayo ni sawa na sheria.
Acha kutetea ujinga kwa sababu tu kinacholalamikiwa unadhani hakikuhusu! Nani alitarajia ujinga kama huo unaweza kufanywa kwa madaktari as if mtu akifanya sekta binafsi atakaotibu huko sio Watanzania. Na kama madaktari yanawakuta hayo basi hata wewe au watu wako wa karibu yanaweza kuwakuta kwenye sekta zao ingawaje hapa unaoona bora kutetea ujinga kwa sababu haukuhusu! Hata hiyo link uliyowek kuhalalisha utetezi wako haihusiani kabisa na alichosema Mheshimiwa Rais