Kwakuwa tunapenda kuiga mabeberu nimeweka standard framework ya mkataba wa ajira NHS uchukue mfanyakazi wao bila ya ruhusa yao au kuwalipa compensation halafu uone watakachokufanya.
Kwa haraka wale wabishi wapitie page 6 or 8 waone madhara ya kuongea na mtaalamu wao bila ya ruhusa yao au kuchukua mfanyakazi mwenye mkataba nae bila ya idhini yao au kuwalipa fidia.
It costs lots of money to train medical professionals and giving them experience; that’s why they are valuable to any employer.
Sisi watanzania tunatabia ya kuchukulia vitu rahisi sana, serikali yetu imekuwa ya kibepari zaidi kuliko wananchi wanaopiga kelele kudai free market.