Rais Magufuli aagiza Madaktari waliohama Hospitali ya Rufaa mkoani Tabora kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi wafuatiliwe

Rais Magufuli aagiza Madaktari waliohama Hospitali ya Rufaa mkoani Tabora kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi wafuatiliwe

Taarifa imeshatolewa katika ziara ya Mh.Rais leo Tabora .haiwezekani serikali ikukopeshe Ada halafu ukishapata ajira unahamia kwenye maslahi zaidi. Hii haikubaliki .kwahiyo mlioko serikalini na mtakaoapata Ajira mpya za serikali mkae mkilitambua hilo.

Ukiingia umeingia Hakuna kutoka

Nawasilisha.
 
View attachment 1690117

Huyo ni government employer kama wizara ya afya kwetu, kwanini unadhani ata huko kwao awachukulii poa watu kuondoka kiholela?

Jioni njema, time for my evening walk.
Naona unabadili magoli! Kuna mtu anayezungumzia suala la kuondoka kiholela hapa?! Kilichoandikwa hapo kinafanyika kwenye ofisi yoyote ili mradi mwajiriwa ana contract!! Ukitaka kumtetea Mheshimiwa Rais kwa kupitia hiyo doc yako, onesha ni wapi wameandika kwamba ni haramu kwa mwajiriwa kuacha kazi na kwenda kufanya kazi hospitali binafsi!! Onesha ni wapi wamesema watu kama hao wanastahili hata kufungiwa kama anavyotaka rais wetu.
 
Mkuu hataki kazi wakati anafanya kazi kwa mtu mwingine kisa kulizisha tamaa yake ya mapesa

Mkuu nani apimwe - usifuate ushauri wa kigogo
Ungekuwa wew ungefanyaje?
Ivi umewaza huyo doctir ana changamoto gani za kimaisha ambazo zinahitaji fedha?madoctor wapo wengi kama kakataa si waajiriwe wengine.
Alafu tangu lini mtoto anaetapika akila ugali alazimishwe kula ugali wakat kuna jirani yupo tayari kumpa wali?
Kama wewe hujaona umuhimu wake,muache awahusudu wanaotambua umuhimu wake.
 
Mkuu hataki kazi wakati anafanya kazi kwa mtu mwingine kisa kulizisha tamaa yake ya mapesa

Mkuu nani apimwe - usifuate ushauri wa kigogo
Hata kuandika huwezi mkopo unaujulia wapi wewe!!? Basi jifunze kudadisi mambo hata uelewe?? Uwe na hoja
 
Taarifa imeshatolewa katika ziara ya Mh.Rais leo Tabora .haiwezekani serikali ikukopeshe Ada halafu ukishapata ajira unahamia kwenye maslahi zaidi. Hii haikubaliki .kwahiyo mlioko serikalini na mtakaoapata Ajira mpya za serikali mkae mkilitambua hilo.

Ukiingia umeingia Hakuna kutoka

Nawasilisha.
Magufuli mwenyewe kasomeshwa Bure bila mkopo na alitoka. Iweje waliosomeshwa kwa mkopo!?
 
Kuna watu watamlaumu huyu mtu wa Mungu, mimi nailaumu SYSTEM! Huyu Mkuu hajawahi kubadilika wala kuficha 'recklessness' yake ktk maamuzi na matamshi.

Dear System, how the fvck did you see him fit for the highest, most powerful office in the land? So you were not keeping tabs on him when he was an MP and minister for 20yrs?

Lakin pia what the fvck happened in October 2020? Was it a must to make it 84% for presidential votes and 99% MPs? If you have to steal, at least do it INTELLIGENTLY, we deserve that at the very least.

All these blunders point to you!
Kwa Sasa Mimi Imani yangu imebaki walau kwa jeshi la wananchi wa Tanzania, ndo walau wanaonekana hawapo ki CCM kivile
 
Miaka mitano iliyopita alilalamikiwa sana kwa kugandamiza na kuua sekta binafsi. Malalamiko haya akayajibu katika hotuba yake ya kufungua bunge baada ya ushindi wake wa kishindo mwaka jana kuwa serikali yake itasaidia kukuza sekta binafsi.

Lakini leo Mungu ajuaye ya moyoni mwa mtu amemuweka wazi jinsi alivyo na chuki kwa sekta binafsi. Yaani mtu kwenda kutafuta ugali wake na watoto tena wa halali anawindwa kama mwizi!!!!. Kwa kweli leo ile chuki imejidhihirisha waziwazi

Kweli kabisa mkuu.

Nyuma ya haya yote ni chuki iliyokubuhu dhidi ya private sector na tamanio la kuiangamiza ila hilo halitawezekena.
 
Mimi Imani yangu imebaki walau kwa jeshi la kujenga Taifa.

Kweli kabisa mkuu.

Nyuma ya haya yote ni chuki iliyokubuhu dhidi private sector na tamanio la kuiangamiza ila hilo halitawezekena.
Katika uchumi wa dunia ya kileo sekta binafsi ndo injini ya Maendeleo na utoaji huduma..ndivyo dunia ilivyo leo. Huku kwingine ni mtu anajihangaisha kwa kutokujua lip Ni lipi....
Mwacheni ahangaike lakini Private sector is here to stay.
 
Huo mkopo hamuwapi bure wanafundisha kupitia zile 15% milizoweka

So msiwapangie wakatafute wapi ugali maana mwisho wa siku mtataka hela yenu mkopo

This is crazy[emoji849]
 

Kwakuwa tunapenda kuiga mabeberu nimeweka standard framework ya mkataba wa ajira NHS uchukue mfanyakazi wao bila ya ruhusa yao au kuwalipa compensation halafu uone watakachokufanya.

Kwa haraka wale wabishi wapitie page 6 or 8 waone madhara ya kuongea na mtaalamu wao bila ya ruhusa yao au kuchukua mfanyakazi mwenye mkataba nae bila ya idhini yao au kuwalipa fidia.

It costs lots of money to train medical professionals and giving them experience; that’s why they are valuable to any employer.

Sisi watanzania tunatabia ya kuchukulia vitu rahisi sana, serikali yetu imekuwa ya kibepari zaidi kuliko wananchi wanaopiga kelele kudai free market.
Vi paste hivyo vifungu hapa.
 

Mtu anatakiwa akaitumikie jamii ambayo inamuhitaji kama sababu za kusomeshwa kwake na kupewa experience.
Unaelewa nini maana ya jamii?
Je, Daktari huyo alikokimbilia kaenda kuitumikia familia au ukoo wake tu?


Magufuli yupo right hapa huyo daktari ateme hela ya serikali tena anaondoka bila ya kujali kama kuna mtu wa-ku replace nafasi; halafu mnataka achekewe.
Magufuli hayuko sahihi, na hawezi kuwa sahihi na hatokuwa sahihi. Kiufupi, kapuyanga. Mkopo unalipwa kwa staili yoyote ile.
Madaktari wa kureplace wako wengi tu mitaani, hawana ajira.
 
Back
Top Bottom