Rais Magufuli aagiza Madaktari waliohama Hospitali ya Rufaa mkoani Tabora kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi wafuatiliwe

Hivi umeelewa kilichoandikwa au kinachojadiliwa?! Umeambiwa huko hospitali binafsi huwa hawalipi mkopo?!
Naelewa...
Kama hakufuata taratibu za kuacha kazi ni shida, na kama hajalipa deni ni shida pia
 
Kuna mambo huwa anaongea haya-make hata sense.
 
Kwa akili hizi mbilikimo utaendelea kuwa zumbukuku mpaka unaingia kaburin
 
Ukapimwe akiliii
 
Acha kutetea ujinga kwa sababu tu kinacholalamikiwa unadhani hakikuhusu! Nani alitarajia ujinga kama huo unaweza kufanywa kwa madaktari as if mtu akifanya sekta binafsi atakaotibu huko sio Watanzania. Na kama madaktari yanawakuta hayo basi hata wewe au watu wako wa karibu yanaweza kuwakuta kwenye sekta zao ingawaje hapa unaoona bora kutetea ujinga kwa sababu haukuhusu! Hata hiyo link uliyowek kuhalalisha utetezi wako haihusiani kabisa na alichosema Mheshimiwa Rais
 
Naelewa...
Kama hakufuata taratibu za kuacha kazi ni shida, na kama hajalipa deni ni shida pia
Ndo alivyosema hakufuata taratibu?! Ina maana hujaona kwamba anacholamimikia ni hao madaktari kwenda kufanya kazi hospitali binafsi as if huko wanaoitibiwa sio Watanzania!!
 
Ndo alivyosema hakufuata taratibu?! Ina maana hujaona kwamba anacholamimikia ni hao madaktari kwenda kufanya kazi hospitali binafsi as if huko wanaoitibiwa sio Watanzania!!
Wewe unazijua taratibu?
 
Hawawezi kuweka hiyo clause ya lazima wafanye kazi serikalini kwanza kwa kuwa serikali haina uwezo wa kuajiri.
Kwa kifupi mzee akili yake imepatwa na 'changamoto ya upumuaji'
 
Wewe unazijua taratibu?
Issue sio kuzijua au kutozijua; issue ni kwamba ana-mind kuona madaktari waliopewa mkopo 100% wanakataa kufanya kazi hospitali za serikali na kwenda hospitali binafsi kwa ajili ya kufuata maslahi! Cha kujiuliza ni kwamba, sasa ikiwa tumeruhusu hospitali binafsi kujengwa; sasa tunatarajiwa wao watoe wapi madaktari ikiwa madaktari waliopewa mkopo ni serikali inakuwa nongwa kwenda huko!!
 
Miaka mitano iliyopita alilalamikiwa sana kwa kugandamiza na kuua sekta binafsi. Malalamiko haya akayajibu katika hotuba yake ya kufungua bunge baada ya ushindi wake wa kishindo mwaka jana kuwa serikali yake itasaidia kukuza sekta binafsi.

Lakini leo Mungu ajuaye ya moyoni mwa mtu amemuweka wazi jinsi alivyo na chuki kwa sekta binafsi. Yaani mtu kwenda kutafuta ugali wake na watoto tena wa halali anawindwa kama mwizi!!!!. Kwa kweli leo ile chuki imejidhihirisha waziwazi
 
Miaka ya 70 hiyo sheria ilikuwepo kwa sababu serikali ilikuwa na uwezo wa kuajiri, hii ya CCM mpya JPM imekata pumzi na imeishiwa ubunifu, hivyo haiwezi kutunga hiyo sheria.
 


Huyo ni government employer kama wizara ya afya kwetu, kwanini unadhani ata huko kwao awachukulii poa watu kuondoka kiholela?

Jioni njema, time for my evening walk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…