Rais Magufuli aagiza Madaktari waliohama Hospitali ya Rufaa mkoani Tabora kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi wafuatiliwe

Hapa ndipo nilipokuwa napataka! Kwa mtazamo na kauli hii ya Rais ni dhahiri kuwa mikopo ya elimu ya juu inapaswa kulipwa kupitia utumishi/ajira ya mnufaika serikali na si sekta binafsi. Yaani aliyesoma kwa mkopo wa serikali hapaswi kuajiriwa kwenye sekta binafsi.
 
What if alichukua mkopo?

We dont have any facts to ramble on about the case

Former employer, the President, may have had the background before he spoke
Background gani kila siku anaongea then anabadilisha maamuzi,Yule aliyenunua gari kinyume na utaratibu,Pm,Jafo na yeye mwenyewe walipiga kelele kibao,juzi kamrudisha kwa mbwembwe zote,Pm na Jafo wataficha wapi sura zao? Ni mengi anayasema Ila hasimamii sheria....
 
Ndio maana nikakwambia inategemea na nafasi, sasa mtu keshakuwa experienced Dr na hiyo experience kapewa na serikari jumlisha na elimu yake iligharamiwa na serikali halafu asepe tu.

It’s not hard to train a teacher or replacing one uitaji kumuwekea ‘restrictive covenant’ kwenye mkataba wake. But a doctor is another story it takes time and money to train one and they become more valuable with years of experience.

Halafu experienced Dr asepe tu kirahisi rahisi bila ya ridhaa ya mwajiri wake ilo kwakweli hapana atapike hela za serikali; kwanza sio kitendo cha kiungwana wala kizalendo.
 
Kwani hiyo mikopo wanapewa bure?
Si kuna sheria inayo wataka mulipa hiyo mikopo?
 
Hapana
Na hakuna sheria ya kuwaadhibu hao watu.
 
Na serikali inahakikisha wanapata kazi hata nchi nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…