Rais Magufuli aagiza Madaktari waliohama Hospitali ya Rufaa mkoani Tabora kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi wafuatiliwe


Hizo ni signs za depression na kukata tamaa! He’s dying slowly!
 

Hapa kapiga mochwari
 
Uonezi

Alikopa, analipa riba ya mkopo,
 
Ingekua sahihi kama angaelipa kwanza 100% ya mkopo wa Serikali aliokopa na riba yake ndio atoke
Mnatetea kila kitu wakuu..kwani kuna makubaliano kwamba ukikopeshwa mkopo wa masomo ufanye kazi na Serikali? Mbona tukisema ajira hakuna mnatuuliza lini serikali iliingia mkataba wa kutoa ajira kwa wasomi wote?
 
View attachment 1689777
wakati wa kusomesha hawatuchangii, tukishawasomesha wanakwenda kuwaiba, sio sawa”

Mchango gani tena zaidi ya kulipa Kodi ya mapato?
Serikali haina pesa, pesa ni zawalipa kodi cha msingi aliyekopeshwa alipe deni lake basi inatosha tofauti na hapo Rais nae ana sifa za hao mabeberu anaowaponda majukwaani kila siku.
 
Na serikali inahakikisha wanapata kazi hata nchi nyingine.
Cuba hawana shida kutoa madokta wao provided mwajiri anapeleka maombi kupitia serikali yao; mnaingia makubaliano unapewa hao wataalamu.
 
Mbona wanasiasa wanakula hela za serikali za kila siku mnawaacha. Si jana kasamehewa alonunua gari la anasa na zahanati hazina ambulance.
 
Nafikiri hichi kitu kipo na wanafunzi wa Udaktari huwa hawapewi mikopo bali grants hawalipi. Ila kunakipengele cha kufanya kazi 5 yrs.
 
Cuba hawana shida kutoa madokta wao provided mwajiri anapeleka maombi kupitia serikali yao; mnaingia makubaliano unapewa hao wataalamu.
Sasa sio kosa la daktari. Kama serikali haina huo utaratibu ni tatizo la serikali.
 
Majengo, vifaa tiba inabidi yaende na maslahi kwa watoa huduma. Ni sawa na kupaka rangi gari ila kutoweka oili katika injini. Itafika mahala itakwama.
Mtu anapelekwa sehemu anacheleweshewa stahiki.
Watawala, watunga sera wakipewa nyazifa wanapewa stahiki ikiwa ni pamoja na mishahara mizuri, magari mazuri na makazi mazuri pamoja na ulinzi.
Sekta ya Afya inaitambua huduma za idara binafsi na inahudumia watanzania hao hao.

Kuna watu wengi wanahitaji ajira waajiriwe hao kwa mshahara wa mtu aliyeondoka.
Vitisho kwa watumishi vitasaidia kwa muda ila madhara yake kwa ujumla ni makubwa. Kuna vitu havihitaji hisia bali hekima.
Uzalendo si kunyenyekea tu hata kutumia ubongo na kutengeneza maslahi bora ni uzalendo. Si afya kwa taifa kuwa na watu woga wanaoshindwa kujieleza.
Nchi ya watanzania ni ya wote tupendane.
 
On the positive side:
Alitakiwa kutambua kuwa wanapolalamika maslahi yao kuwa madogo wanamaanisha.
Wameona wanapuuzwa maeamua kwenda kwenye unafuu.
Halafu huwezi kuiwajibisha hospital binafsi kwa kumuajili mtu,mission ya hizo hospitali ni huduma bora ili biashara iwe viable.
Kama hawezi kufikiria badi aombe msaada wa fikra.
 
Kwani mkuu kama ni hizo hela si bado anailipa serikali? Kwan amelikimbia deni? Na kama mnajua kumpata daktari tena ni kisanga, sasa kwanini hamyathamini maslahi yao? Kwann hamwathamini??? Alafu daktar alichokifanya amehamia kituo kingne tu ila jukumu atakalolifanya huko aliko n sawa na ambalo angelifanya akiwa serikalin!

Waswahili husema, huwezi kujua umhimu wa tako mpk upate majipu matakoni ndo utajua kumbe tako lina umhimu sana!
Alafu kwani wale walimu wanaofundisha st Francis girls wametoka Kenya?

Private institutions zishajua udhaifu wa serikali thus y wanatembea mle mle. Serikal ipandishe masilahi uone kama hawatatoka huko sekita binafs kuja serikalini.
Mnajifanya hamjui tatz et
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…