Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,804
- 2,128
Dah! Hii Kali. Nafikiri Tuendelee kujenga nchi yetu. Wagonjwa wengi hutibiwa private sikuvhz kutokana na urahisi. Sasa hawa madktari kule hufanya Kazi sana kushinda huko serikalini ambako muda wote hufanya issue za Utawala na vikao badala ya kutibu wagonjwa.